Jinsi ya kupika biriani ya kawaida

Ndio shemeji yako kanipendea hivi lakini...!

Mdogo gani unamdomo mchafu hivyo?ndio maana yule binti kaepuka ng'ombe.🤣
Hii ng'ombe ndio iliyo muepuka yeye 😂😂, .Hata cr7 asinge kubali😂

Nishaona dawa yako ni kukuchana ukweli😂, since uondoke na remaining chenchi za familia🤣.
 
Ok,nimeelewa ni rangi zenye taste.

Wait nikatafute rangi,

Hazina lugha nyingine?
1.binzari nyembamba
2.Abdala sinni

Kutopata hizi naona sitokamilisha biryan,nitapika vitu za ajabu.
Sasa ukipika wewe.....au basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…