Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Mchele special au huu huu wa Morogoro?Habari, natumaini nyote mko poa
Leo tutajifunza simple biriani waweza pika mahala popote.
Moja kwa moja niingie jikoni
MAANDALIZI.
kitunguu thoumu
Tangawizi
pilipili manga ya unga
binzari nyembamba
Abdala sinni
chumvi
Nyama mbichi
Maziwa
Tomato past
Karoti
Nyanya ya kawaida
wazichanganya kwenye sufuria moja then watia jikoni
Kisha wapika wali ambao watia rangi mbili,
Viazi watia rangi,chumvi kisha wakaanga
Kitunguu maji wakaanga halafu wachanganya kwenye mchuzi wako.
Mpaka hapo biriani liko tayari kuliwa.
Wew utapika wali tepetepe nna mashakaOk,nimeelewa ni rangi zenye taste.
Wait nikatafute rangi,
Hazina lugha nyingine?
1.binzari nyembamba
2.Abdala sinni
Kutopata hizi naona sitokamilisha biryan,nitapika vitu za ajabu.
Kumbe ndio maana umeniambia kuhusu biryan😂😂😂Watia jikoni kwa muda gani?
Wali watia rangi mbili zipi rafiki?
Hizo rangi rangia WATIA toka wapi na ni rangi gani?
Ila hizo mchanganyiko kupata si mchezo...
Nielekeze nipike muda huu rafiki.
Kitunguu maji wakaanga halafu wachanganya 'kwenye mchuzi wako". Huko kote nimeweza ila hapo kwenye mchuzi wako ndipo nimekwama, nimeshindwa kuupata.Habari, natumaini nyote mko poa
Leo tutajifunza simple biriani waweza pika mahala popote.
Moja kwa moja niingie jikoni
MAANDALIZI.
kitunguu thoumu
Tangawizi
pilipili manga ya unga
binzari nyembamba
Abdala sinni
chumvi
Nyama mbichi
Maziwa
Tomato past
Karoti
Nyanya ya kawaida
wazichanganya kwenye sufuria moja then watia jikoni
Kisha wapika wali ambao watia rangi mbili,
Viazi watia rangi,chumvi kisha wakaanga
Kitunguu maji wakaanga halafu wachanganya kwenye mchuzi wako.
Mpaka hapo biriani liko tayari kuliwa.
Ufike kupika ,nitatengeneza sumu nife.Kumbe ndio maana umeniambia kuhusu biryan😂😂😂
Nakupa mbinu Moja ya kimedani ukishaweka maji yakipata moto tia chumvi onja kama imebalance punguza maji tia mchele ukiona maji na mchele vimebalance ndo uweke mafuta🤣Wali ndo na ufundi, ila chumvi lazima I miss😆🤓
Halafu acha maswali we juha, hizo rangi waweza tia collar paint au kiboko.Ok,nimeelewa ni rangi zenye taste.
Wait nikatafute rangi,
Hazina lugha nyingine?
1.binzari nyembamba
2.Abdala sinni
Kutopata hizi naona sitokamilisha biryan,nitapika vitu za ajabu.
Kaka napitaga humo humo, sijui chumvi Ina uhasama gani na mimi 🤣Nakupa mbinu Moja ya kimedani ukishaweka maji yakipata moto tia chumvi onja kama imebalance punguza maji tia mchele ukiona maji na mchele vimebalance ndo uweke mafuta🤣
Sawa, asante Su.Yaani ukisha kaanga kitunguu pembeni wachanganya kwenye rosti ya birihani
Nimeghairi tayari.Wew utapika wali tepetepe nna mashaka
Ndio maana nimeshtuka niliposikia rangi ila sasa nimefurahi tusiofahamu tuko wengi.Halafu acha maswali we juha, hizo rangi waweza tia collar paint au kiboko.
Hizo ni rangi nzuri na Zina ujazo mkubwa😆🤓
Ngoja niongee na mhasibu wangu,nafikiri anakuona hapa...atanipa ruhusa private.Kwa huko zulu natal, zi google picha zake Kisha nenda super market.
Kuhusu ka kitu, nimesha die Kwa sababu ya hunger.
So hii ni resurrection yangu😆🤓
✍️Upo mchele special
We na mhasibu wako ni dump shit, nime survive 🤓🤣.Ngoja niongee na mhasibu wangu,nafikiri anakuona hapa...atanipa ruhusa private.