Jinsi ya kupika biriani ya kawaida

Jinsi ya kupika biriani ya kawaida

Habari, natumaini nyote mko poa
Leo tutajifunza simple biriani waweza pika mahala popote.

Moja kwa moja niingie jikoni

MAANDALIZI.
kitunguu thoumu
Tangawizi
pilipili manga ya unga
binzari nyembamba
Abdala sinni
chumvi
Nyama mbichi
Maziwa
Tomato past
Karoti
Nyanya ya kawaida

wazichanganya kwenye sufuria moja then watia jikoni

Kisha wapika wali ambao watia rangi mbili,

Viazi watia rangi,chumvi kisha wakaanga

Kitunguu maji wakaanga halafu wachanganya kwenye mchuzi wako.

Mpaka hapo biriani liko tayari kuliwa.
Mchele special au huu huu wa Morogoro?
 
Watia jikoni kwa muda gani?

Wali watia rangi mbili zipi rafiki?

Hizo rangi rangia WATIA toka wapi na ni rangi gani?

Ila hizo mchanganyiko kupata si mchezo...

Nielekeze nipike muda huu rafiki.
Kumbe ndio maana umeniambia kuhusu biryan😂😂😂
 
Habari, natumaini nyote mko poa
Leo tutajifunza simple biriani waweza pika mahala popote.

Moja kwa moja niingie jikoni

MAANDALIZI.
kitunguu thoumu
Tangawizi
pilipili manga ya unga
binzari nyembamba
Abdala sinni
chumvi
Nyama mbichi
Maziwa
Tomato past
Karoti
Nyanya ya kawaida

wazichanganya kwenye sufuria moja then watia jikoni

Kisha wapika wali ambao watia rangi mbili,

Viazi watia rangi,chumvi kisha wakaanga

Kitunguu maji wakaanga halafu wachanganya kwenye mchuzi wako.

Mpaka hapo biriani liko tayari kuliwa.
Kitunguu maji wakaanga halafu wachanganya 'kwenye mchuzi wako". Huko kote nimeweza ila hapo kwenye mchuzi wako ndipo nimekwama, nimeshindwa kuupata.
 
Ok,nimeelewa ni rangi zenye taste.

Wait nikatafute rangi,

Hazina lugha nyingine?
1.binzari nyembamba
2.Abdala sinni

Kutopata hizi naona sitokamilisha biryan,nitapika vitu za ajabu.
Halafu acha maswali we juha, hizo rangi waweza tia collar paint au kiboko.
Hizo ni rangi nzuri na Zina ujazo mkubwa😆🤓
 
Acheni kuchanganya changanya mavitu alafu mnakula. Wazee wetu walikua wanakula mizizi na nyama tu
 
Back
Top Bottom