Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Chapati kitu gani si unamnunulia kitabu cha mapishi anajifundisha mkuu?Unalipa mahari Mil.5, halafu mke anakupikia chapati ngumu kuliko maisha yako.!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chapati kitu gani si unamnunulia kitabu cha mapishi anajifundisha mkuu?Unalipa mahari Mil.5, halafu mke anakupikia chapati ngumu kuliko maisha yako.!!
😛😛😛😛😛😛😛😛Mgeni kutoka mbezi ipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi kuna siku ulishaniona napika chapati? !mbona unanisema.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna zile zinavunjikaga kama ule mkate wa kwenye video ya Yesu!
Hizo hata sijawahi fuatilia upishi wake maana sizipendi ila nikipewa nakulaZa kumimina huwa hazipendwi na wengi kama za kusukuma. Ila ndio shughuli yake sio mchezo[emoji134]
Haaa best UGALI tena njoo nikufundishe shemela hata juta kukuwowa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana jamani dada!!
Sasa mimi bora kupika chapati kuliko ugali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona mnanichekesha na comments za huu uziZimetoka na mikia kama Pweza ?[emoji23][emoji23][emoji23]
Experience makes a person so better[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi nimeanza zipika nikiwa std 5.. saivi napika nauza
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji173]Hongera sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haaa best UGALI tena njoo nikufundishe shemela hata juta kukuwowa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi wa kike mkuu, ahsante kwa ushauri nitajinunulia kitabu mwenyewe! btw, don't take this things so serious..!!Chapati kitu gani si unamnunulia kitabu cha mapishi anajifundisha mkuu?
Hapo kwenye kusubilia ndipo penyewe ila unga wa mhongo ndiyo hauna muda wakusubil [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ugali najua dear, sema sipendi ile kukoroga uji, halafu unasubiri mpaka uive, usonge tena weeee halafu usubirie uive huku ukisonga kila baada ya muda kadhaa!! Naonaga napoteza muda mimi jamani!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yote mema tunajifunza humu humu kumbe mwenzangu, samahaniMimi wa kike mkuu, ahsante kwa ushauri nitajinunulia kitabu mwenyewe! btw, don't take this things so serious..!!
OoohHapo kwenye kusubilia ndipo penyewe ila unga wa mhongo ndiyo hauna muda wakusubil [emoji23]
Mbezi [emoji14][emoji14][emoji14] ipo maeneo gani?[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
NdioLeo si ndio jumamosi
Shangazii...!!Ndio
Basi usijaliNdio
Hakika zinanipiga chenga nikiitoa imekatikaZa kumimina huwa hazipendwi na wengi kama za kusukuma. Ila ndio shughuli yake sio mchezo[emoji134]