Vipimo.
Unga vikombe 4 vikubwa.
Maziwa vikombe 2 kasorobo.
Chumvi kiasi.
Baking powder 1 tea spoon
Hamira 1 tea spoon
Yai 1
Ufuta kiasi
Samli
Siagi vijiko 2 vya kulia
Namna ya kutaarisha
1)Changanya pamoja unga,maziwa,chumvi,siagi,hamira na baking powder..
2)fanya madonge kama 8 kwa kipimo hicho cha unga
3)sukuma kila donge na upake samli na ukunje kama chapati.
4)ukimaliza kukunja zote 8 then sukuma duara kiasi na uweke kwenye trey ya kuchomea kwenye oven...
5)subiria mpaka iumuke then pakaa yai kwa kutumia brush then nyunyuzia ufuta
6)washa oven moto kiasi hadi iwive
7)pakaa mafuta juu na tayar kwa kuliwa.