Jinsi ya kupika Kabichi la nyama

Wow shukraan wallah hadi raha jf chef pamechangamka kwa kweli recipe nzuri nzuri tutanenepajeeeee lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Cc Nyani Ngabu ndetichia Kim nana


Mie nimeanza diet kidogo menu za JF jamani mnanitamanisha ,
Nilijifungua nikaongezeka kilo mia mbili kasoro tatu ..yelewii i need my body back:smile-big:
 
Asante sana, hili limetulia mno, mimi hupenda kwa ugali hii kitu, sjawahi eka njegere na viazi, kumbe yapendeza hivyo ntajaribu mwenzang
 
Mie nimeanza diet kidogo menu za JF jamani mnanitamanisha ,
Nilijifungua nikaongezeka kilo mia mbili kasoro tatu ..yelewii i need my body back:smile-big:

Hahahahah ulikua wala sana nini? Mie nimegain kg 1 tu lol na zile za ujauzito zote zimepungua

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hahahahah ulikua wala sana nini? Mie nimegain kg 1 tu lol na zile za ujauzito zote zimepungua

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

jamani umepunguzaje mpendwa hebu nipe siri ,mie baby ana 9 month now lakini huu uzito hadi najishangaa
 

ntapika agosti
 
Ulikuwa unakula nini mamito!?

nilipojifungua ukoo mzima ulihamia home kwangu aubuhi Uji wa Ulezi kwa lazima
saa nne mtori ,saa nane supu ya samaki au kuku yaani my mother alikuwa busy kunilazimisha..sina hamu
Nipeni tu diet gani nzuri itayonisaidia na mtoto aendelee kupata maziwa yake,,
Kingine huyo mtoto ananyonya usiku kucha kula yeye ni kumkamata mdomo na ukizubaa anatema chote:smile-big:
 
Jana nimepikia family Pishi hili ,ni tamu sana family walienjoy na Wali wa Nazi

thanks Gorgeusmimi
 
Last edited by a moderator:
hili pishi limekaa poa sana, ngoja nilishushe mchana, vipi kalimao ukiweka kidogo itakuwaje?? au ndo kuharibu ladha farkhina
 
Last edited by a moderator:
yaani itabidi nikapike hichi chakula nione test yake ikoje asante kwa pishi lako bestito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…