Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hujakutana na mapishi,,,kabichi na ugali,,pembeni dagaa Wa kukaanga ,,mkuu wacha kutania mboga za watuKabichi na ugari mkuu ata lipikweje .
Fungu LA samaki wa kukaanga 1000 ..tu...changanya na ugali kabichi,,hatariMkuu wewe ni wa mboga saba mi nazungumzia sisi wa mboga moja kama ni kabichi basi ni yenyewe tu .
Mtandao gani mkuu unaosemea.?
UGARI gani? Au ugali. Ugari unatokana na gari na ugali unatokana na unga. Sasa sijui unazungumzia kipi.Hivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,
Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugari kitu kinaenda.
Hivi ugari na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?
Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugari bila mboga kuliko kula ugari na kabichi.
Unasemea nyama ipi mkuu mkuu yakucompare na kula ugali na kabichi?Hata pilau likiandaliwa na asiyejua kuandaa. Lazima uje hapa utushawishi tusile pilau. Ninyime nyama, nipe kabichi iliyoandaliwa vyema, utakuwa umenitendea haja ya moyo wangu.
ndiyo mkuu changanya hivyo viungo halafu ichemshe usiweke maji inakua poa au ukichanganya ns samaki au maharage inakua poa sanaNi ile ikiwa nyeupe vile vile mkuu.?
basi weka karoti,hoho,tango na kitunguu itakuwa poaMi nataka yenyewe tu bila kuchanganya dagaa wala samaki Alafu iliwe na ugali.