Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Kabisa mkuu na kitu donaMkuu kabichi lenye nyanya ukabalansi chumvi vizuri asee mbona unaweza ukajiuma ulimi, huyu mtoa mada anadeka au kamaliza form six
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu na kitu donaMkuu kabichi lenye nyanya ukabalansi chumvi vizuri asee mbona unaweza ukajiuma ulimi, huyu mtoa mada anadeka au kamaliza form six
Mkuu nimekulia bush kwenye ugali tembele,ugali,mrenda,ugali mchicha siku mkibadilisha sana mboga ni ugari maharage ,Mkuu kabichi lenye nyanya ukabalansi chumvi vizuri asee mbona unaweza ukajiuma ulimi, huyu mtoa mada anadeka au kamaliza form six
Ni mapishi tu kama ukute maharage yaliyokolea nazi na dona Tena kuwe na kasamaki ka kukaanga pembeniDona tena na kabichi mkuu unasema kweli?
Safi kabisa, basi kwa kuwa umeumbwa wa kiume, kitu kigumu kwako kula ni mawe, nyaya, misumari na michanga. Ila ukija kupanga familia yako jaribu kuwazoesha kula kila kitu ili waelewe hawatakiwi kuchagua vyakula km baba yao unavyofanyaMkuu nimekulia bush kwenye ugali tembele,ugari,mrenda,ugari mchicha siku mkibadilisha sana mboga ni ugari maharage ,
Lakini sijawahi kuuelewa ugari kabichi toka enzi zile mpaka leo .
Kama shule nimemaliza kitambo tu mkuu hilo usiwe na shaka na ndio maana kila siku niko humu kulisongesha gurudumu aliloliunda Max
Habari ya serengeti Poti, msimu wa vimoro huu hebu tutafutane nimevimisMboga ni Kimoro tu .
Nyingine hamka nitu
Mkuu tunakulia shida tu ila Havipandi ngoo .Mleta mada watu wanakula ugali na chumvi sembuse kabichi!!?
Bila shaka utakuwa wa dar wewe.
Aiseee mtandao upi huu Mkuu?embu tutoe tongotongoZile zinafanya mtandao unaacha kushika kwenye simu
Funguka Mkuu,TTCL au?Mtandao mkonga wa taifa
Ha ha ha umenikumbusha Mbali mpaka nimecheka Sio siri nimepata tabu sana ha ha ha utotoni yani nilikuwa sipendi kula kabichi na ugali yani Siku nikisia wanapika kabichi nakosa raha, nilikuwa Nakula ugali unazunguka mdomoni hamna radha kama azabu vile,ugali ulikuwa haupandi yani Da ! ! !, Siku hiyo Nakula basi tu ,kweli asee kabichi na ugali sio poa, labda umpate anayejua kuipika hapo sawa alafu iwe na harufu ya kuungua alafu iwe imekaangwa na mafuta mengi hapo kidogo angalau na isiwe na majiHivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,
Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugari kitu kinaenda.
Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?
Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
Aiseee mtandao upi huu Mkuu?embu tutoe tongotongo
Huku kwetu pumbujepakavu hizo mashine zinapatikana kweli huwa tunakata na panga mkuu sasa najua umevuta picha mapande yake.View attachment 877679
Raha ya kebichi inaanzia kwenye ukataji
Huko mbali unapopakumbuka mkuu ndio nilikotokea ata mimi ugari unazunguka mdomoni utafikir unafanya mashindano ya ya kapia.Ha ha ha umenikumbusha Mbali mpaka nimecheka Sio siri nimepata tabu sana ha ha ha utotoni yani nilikuwa sipendi kula kabichi na ugali yani Siku nikisia wanapika kabichi nakosa raha, nilikuwa Nakula ugali unazunguka mdomoni hamna radha kama azabu vile,ugali ulikuwa haupandi yani Da ! ! !, Siku hiyo Nakula basi tu ,kweli asee kabichi na ugali sio poa, labda umpate anayejua kuipika hapo sawa alafu iwe na harufu ya kuungua alafu iwe imekaangwa na mafuta mengi hapo kidogo angalau na isiwe na maji
Au kisu kisicho na makali. Watoto wangu wanaulizia kabisa kabichi tutakula liniHuku kwetu pumbujepakavu hizo mashine zinapatikana kweli huwa tunakata na panga mkuu sasa najua umevuta picha mapande yake.