Jinsi ya kupika kabichi pekee na yenye mchanganyiko na mboga za aina nyingine

Jinsi ya kupika kabichi pekee na yenye mchanganyiko na mboga za aina nyingine

Mkuu sina mazoea ya kula kwa mama ntilie ata kama nimebanwa na kazi gheto nina jiko ,sufuria na vifaa vyote vya kufanikisha kupika kile ninachoitaji kula kwa siku husika.
Umebanwa namajukum unarud getto uko hoi cjui iyo hamu yakuanza kupika unaitoa wap!. Tunaotumia nguvu Na akil tunajua thaman ya mama ntilie
 
Hivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,

Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugari kitu kinaenda.

Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?

Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
Kabichi ikikosewa kupikwa huli maisha, ila kwa wajuzi utaipenda
 
Umebanwa namajukum unarud getto uko hoi cjui iyo hamu yakuanza kupika unaitoa wap!. Tunaotumia nguvu Na akil tunajua thaman ya mama ntilie
Mkuu ukija gheto kwangu kuna simple simpe huwezi kukosa kama tray za mayai hizo,mkate .

Nikiona nimechoka nawasha gase tu nakaanga mayai nakula na mkate nalala nikishapumzika ugari unapikwa mambo fresh.
 
Ni mboga tamu sana kwa ugali ikiungwa na karanga.

Sikuli kabichi ila si kwa sababu kama yako, niliambiwa kabichi na spinachi zinazorotesha nguvu za kiume.
 
Hivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,

Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugari kitu kinaenda.

Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?

Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
Vyote sawa kwani ugali ni chakula?
 
Back
Top Bottom