Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tigo au vodaZile zinafanya mtandao unaacha kushika kwenye simu
Kama unabana bajeti tumia nyanya kunakshi kabichi lakoSamaki au Nyama zinatoka wapi mkuu ikiwa umenunua Kabichi ili kusave bajeti yako?
Ha ha nimependa jibu lako maana kabichi linashuka vizuri tu labda kala mchemshoUnakulaga kwa mamantilie gani asiyejua kupika....
Tigo au voda
Umebanwa namajukum unarud getto uko hoi cjui iyo hamu yakuanza kupika unaitoa wap!. Tunaotumia nguvu Na akil tunajua thaman ya mama ntilieMkuu sina mazoea ya kula kwa mama ntilie ata kama nimebanwa na kazi gheto nina jiko ,sufuria na vifaa vyote vya kufanikisha kupika kile ninachoitaji kula kwa siku husika.
Kabichi ikikosewa kupikwa huli maisha, ila kwa wajuzi utaipendaHivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,
Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugari kitu kinaenda.
Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?
Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
watu watashangaa ugali unaisha mboga inachovewa tu vimchuzi mchuziAlafu upo ukweni mkuu sijui utafanyaje
Mkuu ukija gheto kwangu kuna simple simpe huwezi kukosa kama tray za mayai hizo,mkate .Umebanwa namajukum unarud getto uko hoi cjui iyo hamu yakuanza kupika unaitoa wap!. Tunaotumia nguvu Na akil tunajua thaman ya mama ntilie
Na mm nmeuliza the same qnMkuu unamaanisha Kabichi kama ndomu au unamaanisha nini?maana wewe akili zako unazijua mwenyewe.
Sifaham mana nasikia akili zako zipo mbele maili 200Kwani kuna kabichi gani nyingine mkuu ?
Vyote sawa kwani ugali ni chakula?Hivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,
Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugari kitu kinaenda.
Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?
Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.