Jinsi ya kupika kabichi pekee na yenye mchanganyiko na mboga za aina nyingine

Jinsi ya kupika kabichi pekee na yenye mchanganyiko na mboga za aina nyingine

Daa mtoa mada amenikumbusha mbali sana mwaka 2003 nikiwa naanza darasa la kwanza baba aliondoka kwenda kutafuta maisha baada ya ufukara kuzidi hadi leo hajawahi kurudi home.
Mama alikuwa hana kazi nakumbuka mboga tuliokuwa tunakula home ni ugali na chumvi karibia kila siku kwani mama alikuwa hana uwezo wa kununua mboga ya aina yoyote kitu alichokua akituambia mimi na dada yangu nikuwa ugali ndo unanguvu hayo mengine hawezi kununua. nakumbuka nilikula ugali kwa chumvi hadi ulimi ukafa ganzi.
Kuna msimu ulifika mavuno yalikuwa machache mama akashindwa kununua hata kasuku ya mahindi tukakosa kabisa chakula.
Nakumbuka jirani yetu alikuwa amepanda kabichi kwani alikuwa anakisima anamwagilia mimi na dada yangu ilikuwa ikifika usiku wa saa sita watu wamesha lala ndo tunanyatia tunaenda kuiba tena zile changa usiku tunawasha moto kwenye mafiga tunachemsha tunakula pamoja na mchicha .
Yani tulikuwa tukifika shambani sista anafata kabichi mimi mchicha yani nilikuwa nikipeleka mkono nashika rundo la mchicha huyo nakimbia.
Hizo kabichi zilikuwa tamu sana maana mchana wote mmepiga deshi .
Nakumbuka kunasiku tulienda mtembelea mjomba kijiji tofauti tuliletewa uji uliokuwa unasukari sister akagoma kunywa akaanza kumwambia mama anataka ule uji aliozoea kunywa maana toka nazaliwa tulikuwa hatujui kunakitu kinaitwa sukari.
 
Daa mtoa mada amenikumbusha mbali sana mwaka 2003 nikiwa naanza darasa la kwanza baba aliondoka kwenda kutafuta maisha baada ya ufukara kuzidi hadi leo hajawahi kurudi home.
Mama alikuwa hana kazi nakumbuka mboga tuliokuwa tunakula home ni ugali na chumvi karibia kila siku kwani mama alikuwa hana uwezo wa kununua mboga ya aina yoyote kitu alichokua akituambia mimi na dada yangu nikuwa ugali ndo unanguvu hayo mengine hawezi kununua. nakumbuka nilikula ugali kwa chumvi hadi ulimi ukafa ganzi.
Kuna msimu ulifika mavuno yalikuwa machache mama akashindwa kununua hata kasuku ya mahindi tukakosa kabisa chakula.
Nakumbuka jirani yetu alikuwa amepanda kabichi kwani alikuwa anakisima anamwagilia mimi na dada yangu ilikuwa ikifika usiku wa saa sita watu wamesha lala ndo tunanyatia tunaenda kuiba tena zile changa usiku tunawasha moto kwenye mafiga tunachemsha tunakula pamoja na mchicha .
Yani tulikuwa tukifika shambani sista anafata kabichi mimi mchicha yani nilikuwa nikipeleka mkono nashika rundo la mchicha huyo nakimbia.
Hizo kabichi zilikuwa tamu sana maana mchana wote mmepiga deshi .
Nakumbuka kunasiku tulienda mtembelea mjomba kijiji tofauti tuliletewa uji uliokuwa unasukari sister akagoma kunywa akaanza kumwambia mama anataka ule uji aliozoea kunywa maana toka nazaliwa tulikuwa hatujui kunakitu kinaitwa sukari.
Da mkuu watu tunatoka mbali sana basi tu mtu akikuona leo ukimwambi ulikotokea hatokaa haamini ata kidogo ila cha muhimu ni kumshukuru Mungu kwa kila jambo.
 
Zamani home ratiba ikiwa ugali kabichi nilikua nipo radhi kushinda na kunywa maji tu na chai bi mkubwa alikua anayapenda akikatakata anayaanika kuna siku kuku kapindua ungo nilifurahi balaa😀😀
 
Hahahaha kuna kabichi,kisavu na mlenda aisee hizi mboga sizipendi kweli kuna siku nilienda maeneo ya pwani huko karibu na mkuranga usiku wake walipika ugali na kisamvu dah kuwaambia hii mboga sili miyayusho ugenini da nilitafuta mboga nikaja kuangukia kwenye ngwara za kuku aisee [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Aiseee kisamvu kilivyo kitamu
 
Zamani home ratiba ikiwa ugali kabichi nilikua nipo radhi kushinda na kunywa maji tu na chai bi mkubwa alikua anayapenda akikatakata anayaanika kuna siku kuku kapindua ungo nilifurahi balaa[emoji3][emoji3]
Na alichukuliwa huyo kuku kuwa mbadala wa mboga nini mkuu?
 
Daa mtoa mada amenikumbusha mbali sana mwaka 2003 nikiwa naanza darasa la kwanza baba aliondoka kwenda kutafuta maisha baada ya ufukara kuzidi hadi leo hajawahi kurudi home.
Mama alikuwa hana kazi nakumbuka mboga tuliokuwa tunakula home ni ugali na chumvi karibia kila siku kwani mama alikuwa hana uwezo wa kununua mboga ya aina yoyote kitu alichokua akituambia mimi na dada yangu nikuwa ugali ndo unanguvu hayo mengine hawezi kununua. nakumbuka nilikula ugali kwa chumvi hadi ulimi ukafa ganzi.
Kuna msimu ulifika mavuno yalikuwa machache mama akashindwa kununua hata kasuku ya mahindi tukakosa kabisa chakula.
Nakumbuka jirani yetu alikuwa amepanda kabichi kwani alikuwa anakisima anamwagilia mimi na dada yangu ilikuwa ikifika usiku wa saa sita watu wamesha lala ndo tunanyatia tunaenda kuiba tena zile changa usiku tunawasha moto kwenye mafiga tunachemsha tunakula pamoja na mchicha .
Yani tulikuwa tukifika shambani sista anafata kabichi mimi mchicha yani nilikuwa nikipeleka mkono nashika rundo la mchicha huyo nakimbia.
Hizo kabichi zilikuwa tamu sana maana mchana wote mmepiga deshi .
Nakumbuka kunasiku tulienda mtembelea mjomba kijiji tofauti tuliletewa uji uliokuwa unasukari sister akagoma kunywa akaanza kumwambia mama anataka ule uji aliozoea kunywa maana toka nazaliwa tulikuwa hatujui kunakitu kinaitwa sukari.
Ahahahahahah poleni sanaa aisee nyumbani kukiwa hakuna kitu halaf kikapikwa hata chakula cha ajabu unakiona kizuri na kitamu tu,ni sawa na ukiwa na pesa njaa yake sio kali kama ukiwa huna pesa mfukoni njaa inakuwa kali balaa
 
Back
Top Bottom