Jinsi ya kupika kabichi pekee na yenye mchanganyiko na mboga za aina nyingine

Jinsi ya kupika kabichi pekee na yenye mchanganyiko na mboga za aina nyingine

Kula kikufaacho......vngne achana navyo maana kwa wengne kabej ni sawa na nyama
 
Ahahahahahah poleni sanaa aisee nyumbani kukiwa hakuna kitu halaf kikapikwa hata chakula cha ajabu unakiona kizuri na kitamu tu,ni sawa na ukiwa na pesa njaa yake sio kali kama ukiwa huna pesa mfukoni njaa inakuwa kali balaa
Daah kusema kweli nikiwa mwenyewe hata iweje nitaenda kuchukua bamia nitengeneze mboga, au spinachi, ila kabichi ile kuikatakata afu naiona km sishibi hata nile vipi
 
Back
Top Bottom