Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Hata mke wangu hawachi anapenda kande igweeeeKesho sio leo kitu harage na mahindi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mke wangu hawachi anapenda kande igweeeeKesho sio leo kitu harage na mahindi.
Hivi wewe mshana ni mpare? Kuna Uzi niliuona 2014 mtu alisema wewe ni msambaaYamewaokoa wengi... Yamewakuza wengi... Sasa hivi una shibe usiyabeze right now kuna mtu anatafuta apate walau vijiko viwili vya hayo makande hapatichakula ni ibada usikibeze
kuna binti moja alipita k/koo ya miaka hiyo akiwa amevaa kimini, kuna jamaa pembeni yangu nilisikia anasema huyo dada anauchi kama kabichi. Tokea siku hiyo niliacha kula hiyo mboga.Hahaaaaa bora makandeeee
Kebichi ni funga kaziiii....
Half kuna watu wanasemaa
oooooh hujakutana na lililopikwa vizuriiiii, tusitetee njaaa.....
lile dude tunakula kuokoa roho tuuuu...
Hawa mababu zetu ndio maana walitawaliwa,
wenzako wanagundua vitu vya maana, kweli kweli ww unagundua kebich kua ni mboga? Huwezi kua na akili ukila lile dubwasha,
Dude kubwaa lakn ndan hamna kitu, hata sura yenyewe mbaya.
Wapare na wasabatoYaani hiki chakula tuseme tu jamani, tulio wengi tunakilia shida.
Halafu dada/mama zetu, hivi mkipika, ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana, tuyale jioni na kesho tuyanywee chai duuh
Yaani hiki chakula tuseme tu jamani, tulio wengi tunakilia shida.
Halafu dada/mama zetu, hivi mkipika, ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana, tuyale jioni na kesho tuyanywee chai duuh
Siipend hiyo mbogaHahaaaaa bora makandeeee
Kebichi ni funga kaziiii....
Half kuna watu wanasemaa
oooooh hujakutana na lililopikwa vizuriiiii, tusitetee njaaa.....
lile dude tunakula kuokoa roho tuuuu...
Hawa mababu zetu ndio maana walitawaliwa,
wenzako wanagundua vitu vya maana, kweli kweli ww unagundua kebich kua ni mboga? Huwezi kua na akili ukila lile dubwasha,
Dude kubwaa lakn ndan hamna kitu, hata sura yenyewe mbaya.
Mimi makande hata uyapambe na maua sili nikija kwako ukanipa makande nitakufanyia maombi makubwa sana
humo mixer boga karanga njugu mawe we siku litafute utaona mwenyewe si unajua radha ya msosi haiahadithiwi?
This made my day[emoji7]Hahaaaaa bora makandeeee
Kebichi ni funga kaziiii....
Half kuna watu wanasemaa
oooooh hujakutana na lililopikwa vizuriiiii, tusitetee njaaa.....
lile dude tunakula kuokoa roho tuuuu...
Hawa mababu zetu ndio maana walitawaliwa,
wenzako wanagundua vitu vya maana, kweli kweli ww unagundua kebich kua ni mboga? Huwezi kua na akili ukila lile dubwasha,
Dude kubwaa lakn ndan hamna kitu, hata sura yenyewe mbaya.
Lol,kebich halijawah kua zurii, hata kwenye kachumbari tunazugaa tuuuu....
Sasa usiombee upige ugali na kebich tuuuu....
Alooo tonge linaenda km linarudi...
Yaani unahisi kbsa tonge linataka kurudi ila ww unasukumizaa tuu,
kwanza hata mate hayatokii nayo yanagomaaa.....
Mi nahisi hata Likifika tumboni hata minyoo wanalikaushia lipite
Chipsi Mayai na Fanta au chips kuku na Coke. Wewe ndio maana haunenepi.Hahahaaa ila hakuna chakula sikipendi kama viazi mviringo! Yaani ile harufu inanitapisha mimi. Mabayaaaa na michips sipendiiii
Nimekulia kwenye ugali dagaa au samaki.. mambo ya chips sijazoea. Chips mara ya kwanza nimekula 2016. Sikupenda ataChipsi Mayai na Fanta au chips kuku na Coke. Wewe ndio maana haunenepi.
Chipsi ni tamu sana.Nimekulia kwenye ugali dagaa au samaki.. mambo ya chips sijazoea. Chips mara ya kwanza nimekula 2016. Sikupenda ata
Kwetu haijawahi pikwa.. labda siku moja uniandalie naweza kulaChipsi ni tamu sana.
Unakosa mambo mazuri mkwe.
Watakua wapare ndo waligundua hii kitu , kwa ajili ya kubana matumiziYaani hiki chakula tuseme tu jamani, tulio wengi tunakilia shida.
Halafu dada/mama zetu, hivi mkipika, ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana, tuyale jioni na kesho tuyanywee chai duuh