Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Nimekumbuka makande ya mahindi na maharage mabichi. .wacha leo nifanyeje mchakato
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi japo kwetu ndizi ndio chakula kikubwa, ila sijawah penda yale madude labda sbb sikuish kule,Ndizi toka utotoni sili asee. Bora ndizi kuliko viazi mviringo daah hayo madude yanaharafu mbayaa
[emoji51] [emoji51] [emoji51]Hahaaaaa bora makandeeee
Kebichi ni funga kaziiii....
Half kuna watu wanasemaa
oooooh hujakutana na lililopikwa vizuriiiii, tusitetee njaaa.....
lile dude tunakula kuokoa roho tuuuu...
Hawa mababu zetu ndio maana walitawaliwa,
wenzako wanagundua vitu vya maana, kweli kweli ww unagundua kebich kua ni mboga? Huwezi kua na akili ukila lile dubwasha,
Dude kubwaa lakn ndan hamna kitu, hata sura yenyewe mbaya.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] jamaa comments zako uwa zinanibariki sanakebich halijawah kua zurii, hata kwenye kachumbari tunazugaa tuuuu....
Sasa usiombee upige ugali na kebich tuuuu....
Alooo tonge linaenda km linarudi...
Yaani unahisi kbsa tonge linataka kurudi ila ww unasukumizaa tuu,
kwanza hata mate hayatokii nayo yanagomaaa.....
Mi nahisi hata Likifika tumboni hata minyoo wanalikaushia lipite
Umeelezea vizuri sana aisee! naomba siku moja unikaribishe lunch.Ila bwana upate ugali laini hivi alafu wamoto na harage pembeni na dagaa wa kukaanga kipilipili kwa mbaali..iwe mchana..nakulaga ugali hadi navimbiwa.
Mchanganyiko wa mahindi wengine hutumia mabichi wengine makavu..na maharage mabichi au makavu.. wengine huweka na karanga mbichi.. unaweka na Nazi ..vitunguu na vicarrot kuongeza udambwidambwi.Makande ni chakula gani? kinapikwa kwa kutumia ingredients zipi? naomba kufahamishwa pls.
[emoji23][emoji23]Umeelezea vizuri sana aisee! naomba siku moja unikaribishe lunch.
Kuna Uzi nimekuTag ukaone jinsi yanavyoandaliwa.Makande ni chakula gani? kinapikwa kwa kutumia ingredients zipi? naomba kufahamishwa pls.
Asante sana atleast nimepata idea.Mchanganyiko wa mahindi wengine hutumia mabichi wengine makavu..na maharage mabichi au makavu.. wengine huweka na karanga mbichi.. unaweka na Nazi ..vitunguu na vicarrot kuongeza udambwidambwi.
Kaanga vitunguu, vikianza kuwa brownJee inajuwa jinsi ya kupika makande?
Makande ni chakula cha mchanganyiko wa mahindi na maharage pamoja na vikorombwezo vingine kama vile vitunguu,karoti,hoho muda mwingine hata nyanya unaweza kuweka.
Katika mapishi ya makande unaweza kuunga kwa kutumia mafuta au ukaweka hata nazi.
Hivi ndivyo jinsi ya kupika makande ya nazi,karibuni sana
Mimi huwa nayapenda ya Nazi
na Hiriki...
Mahitaji:
*Nazi (kubwa) yakikolea Nazi yananoga sanaaa
*Kitunguu maji
*mafuta ya kupikia kiasi
*Karoti (ukipenda)
*Hiriki
View attachment 477880*chumvi kiasi
Baada ya kuchemsha makande yako na kuiva vizuri, yaepue yaweke pembeni
Bandika sufuria jikoni, tia mafuta ya kupikia kiasi, yakipata moto tia vitunguu ulivyovikatakata... Kaanga vitunguu, vikianza kuwa brown tia karoti ulizokata katika shape uipendayo
Vikishachanganyika mimina makande ulochemsha tia na hiriki uchanganye pamoja
Kisha weka tui la pili la Nazi, na chumvi, koroga tui lichanganyike na makande, acha vichemke pamoja... Kisha weka tui zito, koroga vizuri, vikishachemka na kuchanganyika vizuri epua...Makande yako tayari kwa kuliwa... Mimi huyaweka na sukari pia ... Hebu jaribu kumtagi na mwenzio aje naye ajuwe ni namna gani ya kupika makande.
Mbona sijaiona hiyo tag!Kuna Uzi nimekuTag ukaone jinsi yanavyoandaliwa.
[emoji1] [emoji1] Kwelituende mbele turudi nyuma..
ugali kabichi ni kula ili usife tyuu
Duuh yaani unayala Kama 'unameza dawa" ...hayasikii hata ungeyanogesha na paja la kuku
Hahahahahaha aiseeMzee umeamka nacho hicho kiporo cha kande,[emoji3][emoji3]
Hakuna chakula nachokulaga kwa manun'guniko Kama kande.
Hahaaaaa bora makandeeee
Kebichi ni funga kaziiii....
Half kuna watu wanasemaa
oooooh hujakutana na lililopikwa vizuriiiii, tusitetee njaaa.....
lile dude tunakula kuokoa roho tuuuu...
Hawa mababu zetu ndio maana walitawaliwa,
wenzako wanagundua vitu vya maana, kweli kweli ww unagundua kebich kua ni mboga? Huwezi kua na akili ukila lile dubwasha,
Dude kubwaa lakn ndan hamna kitu, hata sura yenyewe mbaya.
Kaka haya ratiba yake hapa nyumbani ni jtatu...yaani ndo wanaifanya jtatu inakua black Monday
Hiyo ngoma tunaamka nayo kesho Tena...duh
Na mimi kama wewe vile, huwa nakula mpaka najishangaa halafu muda kidogo tuu njaaNinavyoyapenda makande nikila huwa nachelewa kushiba na nikishiba dakika 10 njaa tena umenikumbusha kesho napika.