Jinsi ya kupika makande

Jinsi ya kupika makande

Ndizi toka utotoni sili asee. Bora ndizi kuliko viazi mviringo daah hayo madude yanaharafu mbayaa
Mimi japo kwetu ndizi ndio chakula kikubwa, ila sijawah penda yale madude labda sbb sikuish kule,
na sehem niliyoish viazi mviringo vilikua vinalimwa sana,
ila navyo ni jau havipandi kbsa,

yaani mara mia kande kuliko haya mavitu,

tukizungumzia mapish mazuri, basi viazi mviringo nishakutana navyo vilivyopikwa vizuri, nakula swaf kbsa,

ila ndizi sijawah zipenda hata kwa pish la namna gani, zaid ya kuokoteza nyama, tena kama zimechanganywa na viazi bora niokoteze viazi,
au zile ndizi zinapikwa zikiwa zimeiva iva hv hapo sawa,

binafsi mm kande sina kesi nazo sana, napitaga nazo, inshu ipo kwenye
kebich, ugali wa mhogo, ndizi na viaz mviringo

halaf haya mambo sio kutishiana eti unachagua chakula,
hapana, huwezi kua multpurpose unakula/unapenda kila kitu kama nguruwe,
ukiwa hvyo nawe sio mzima,
huo ni uroho,

haiwezekani kila kitu kwako ni lulu, labda kama unakiwanda cha gongo au dampo lako tumboni,
na watu kama hawa ndio wachafuzi wa kubwa wa hewa.
 
Hahaaaaa bora makandeeee
Kebichi ni funga kaziiii....
Half kuna watu wanasemaa
oooooh hujakutana na lililopikwa vizuriiiii, tusitetee njaaa.....

lile dude tunakula kuokoa roho tuuuu...
Hawa mababu zetu ndio maana walitawaliwa,
wenzako wanagundua vitu vya maana, kweli kweli ww unagundua kebich kua ni mboga? Huwezi kua na akili ukila lile dubwasha,
Dude kubwaa lakn ndan hamna kitu, hata sura yenyewe mbaya.
[emoji51] [emoji51] [emoji51]
 
kebich halijawah kua zurii, hata kwenye kachumbari tunazugaa tuuuu....

Sasa usiombee upige ugali na kebich tuuuu....
Alooo tonge linaenda km linarudi...
Yaani unahisi kbsa tonge linataka kurudi ila ww unasukumizaa tuu,
kwanza hata mate hayatokii nayo yanagomaaa.....

Mi nahisi hata Likifika tumboni hata minyoo wanalikaushia lipite
[emoji1] [emoji1] [emoji1] jamaa comments zako uwa zinanibariki sana
 
Mchanganyiko wa mahindi wengine hutumia mabichi wengine makavu..na maharage mabichi au makavu.. wengine huweka na karanga mbichi.. unaweka na Nazi ..vitunguu na vicarrot kuongeza udambwidambwi.
Asante sana atleast nimepata idea.
 
Jee inajuwa jinsi ya kupika makande?

Makande ni chakula cha mchanganyiko wa mahindi na maharage pamoja na vikorombwezo vingine kama vile vitunguu,karoti,hoho muda mwingine hata nyanya unaweza kuweka.
Katika mapishi ya makande unaweza kuunga kwa kutumia mafuta au ukaweka hata nazi.

Hivi ndivyo jinsi ya kupika makande ya nazi,karibuni sana

Mimi huwa nayapenda ya Nazi
na Hiriki...

Mahitaji:

*Nazi (kubwa) yakikolea Nazi yananoga sanaaa
*Kitunguu maji
*mafuta ya kupikia kiasi
*Karoti (ukipenda)
*Hiriki
View attachment 477880*chumvi kiasi

Baada ya kuchemsha makande yako na kuiva vizuri, yaepue yaweke pembeni

Bandika sufuria jikoni, tia mafuta ya kupikia kiasi, yakipata moto tia vitunguu ulivyovikatakata... Kaanga vitunguu, vikianza kuwa brown tia karoti ulizokata katika shape uipendayo

Vikishachanganyika mimina makande ulochemsha tia na hiriki uchanganye pamoja

Kisha weka tui la pili la Nazi, na chumvi, koroga tui lichanganyike na makande, acha vichemke pamoja... Kisha weka tui zito, koroga vizuri, vikishachemka na kuchanganyika vizuri epua...Makande yako tayari kwa kuliwa... Mimi huyaweka na sukari pia ... Hebu jaribu kumtagi na mwenzio aje naye ajuwe ni namna gani ya kupika makande.
Kaanga vitunguu, vikianza kuwa brown
sasa rafiki unakaanga vitunguu mpaka brown! si unakula makapi? vitungu vina kazi njema mwilini! habari ya kuviunguza m[aka brown ladha sawa lakini makapi!
 
Nyumbani kwetu hatukuwa hi kupika makande, nilikulaga boarding tu na sikumbuki last time kuyala lini.
Hata nikikukita unakula siwezi kukudoea [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna chakula nachokulaga kwa manun'guniko Kama kande.
 
Siwezi pika kabichi wala makande aiseee.
Kabichi naikutaga kwenye chips tu.
By the way nimekumiss[emoji12][emoji12][emoji12]
Hahaaaaa bora makandeeee
Kebichi ni funga kaziiii....
Half kuna watu wanasemaa
oooooh hujakutana na lililopikwa vizuriiiii, tusitetee njaaa.....

lile dude tunakula kuokoa roho tuuuu...
Hawa mababu zetu ndio maana walitawaliwa,
wenzako wanagundua vitu vya maana, kweli kweli ww unagundua kebich kua ni mboga? Huwezi kua na akili ukila lile dubwasha,
Dude kubwaa lakn ndan hamna kitu, hata sura yenyewe mbaya.
 
Ninavyoyapenda makande nikila huwa nachelewa kushiba na nikishiba dakika 10 njaa tena umenikumbusha kesho napika.
Na mimi kama wewe vile, huwa nakula mpaka najishangaa halafu muda kidogo tuu njaa
 
Back
Top Bottom