binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Mie huyu! Aliya kila akipika namuomba nimtumie kikontena 😆Au mwenzangu unapenda kupika?🙈🙈🙈
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie huyu! Aliya kila akipika namuomba nimtumie kikontena 😆Au mwenzangu unapenda kupika?🙈🙈🙈
Kumbe wa vikontena tuko wengi🤣🤣Mie huyu! Aliya kila akipika namuomba nimtumie kikontena 😆
Nimeangalia hizi picha,njaa imeanza kuniuma ghafla...Nafikir mna Weeknd nzuri sana nduguzangu
Leo tupike ndiz nyama za Nazi
Mahitaji
Ndizi mbichi mzuzu
Kitunguu nyanya moja(Huwa haipendez kutumia nyanya nyingi)
Karot na hoho
Nyama iliyochomshwa(usisahau kuchemsha na viungo kitunguu swaumu tangawiz na currypowder)
Nazi unaweza tumia ya pakt au ya kawaida
Hatua ya kwanza
Andaa mahitaji menya ndiz kata utakavyopenda saga nyanya,kwangua karot,kata vitunguu size upendayo
Chuja Nazi tui zito kama ya pakti acha kma ilivo
Hatua ya pili
Weka sufuria jikoni weka mafuta kidogo sana sababu tunatumia Nazi
Yakipata moto kaanga kitunguu kikilainika weka karot kaanga kidogo Kisha weka nyanya acha ziive kidogo
Zikiiva weka ndizi weka na chumvi Kwa ajili ya ladha changanya ndiz zako na nyanya vizuri Kisha weka nyama koroga pia acha zichemche pamoja na mchuz wa nyama kma mchuz ni kidogo ongeza maji au Nazi tui la jepes acha zichemke
Hatua ya Tatu
Zikiiva weka hoho kata size upendayo huleta harufu nzuri
Kisha weka Nazi changanya Kwa kuzungungusha sufuria kama unatumia mwiko koroga taratibu
Acha ziive baada ya dakika 5 zitakuwa tayari Kwa kuliwaView attachment 3136337View attachment 3136339View attachment 3136340
Nanunua vikontena tu navisambaza. Kimoja kwako, kingine kwa Evelyn Salt kingine kwa Makiwendo yaani nabakia na kazi ya kupasha tu.😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣MwehuNanunua vikontena tu navisambaza. Kimoja kwako, kingine kwa Evelyn Salt kingine kwa Makiwendo yaani nabakia na kazi ya kupasha tu.
Aaah wewe tena!!Ndizi nyama....
Namba moja kwenye orodha ya vyakula vyangu pendwa😋
Yaani utaenjoy sanaNanunua vikontena tu navisambaza. Kimoja kwako, kingine kwa Evelyn Salt kingine kwa Makiwendo yaani nabakia na kazi ya kupasha tu.
Uko wapi? Niko tayari kuhamia karibu na wewe🤗🤗Yaani utaenjoy sana
Ungekaa karibu na kwangu nimekwambia uviache kwangu kumi maana npikaga naanza kuita jirani tuje kula nisingepat tabu kabisa