Jinsi ya kupika ndizi ya mchuzi!!

Jinsi ya kupika ndizi ya mchuzi!!

Mshangazi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
1,143
Reaction score
4,462
Kwanza mahitaji

1. Ndizi
Iliyomenywa tayari au ambayo haijamenywa

Hatua
Anza kwa kuisafisha ndizi yako, isafishe kwa mikono yako taratibu. Usikubali kuiweka kwenye sufuria yako ndizi ambayo hujaisafisha coz MASOKO sio masafi siku hizi.
Endelea kuisafisha taratibu kisha isogeze karibu na sufuria lako kuona kama itatosha kuwekwa humo na mchuzi wako.
Ziandae nyanya mbili kwa ajili ya mchuzi wako

INAENDELEA
 
Huyu ni JF Senior Member

1000012500.gif
 
Back
Top Bottom