Sijawahi jaribu na ngisi navowapenda Sasa hiv jodari yupoje jamni mm nikienda buchani nakutaga Hawa vibua weus ila ni wakubwa nashindwa kuelewa ndio jodari auBimkubwa wangu anakichafuaga na Jodari...mi nampenda Sansuri ila anapatikana Tanga tu. Kuna bi mdashi mmoja ye anakichafuaga cha Pilau la ngisi...na ukila, weeeee huchomoki.
Nitashukuru sana kipenzi kupika kitu kipyaHata sato unatumia muhimu uwakaushe vizuri tu ngoja nitapika pilau la sato siku moja uone
Unataka kuninyima pilau Aaliyyah ☺️raraa reree shikamoo
Pilau la sangara,Kiukweli ni zuri sana Tena upate Ile minofu asee
Sema unajua aisee fungua mgahawaPilau nimekuwekea 😀
Ttz nn mpka sahv hujafunguaInshallah Niombee dua ziwe nyingi
Mnooo nilikula samaki kiasi kwamba harufu ya jasho na mkojo ilikuwa ni shombo la samaki 🙌Ulikuwa unaenjoy sana