cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Hakikisha kila kitu umeweka katika Vipimo sahihi ili Vitumbua vyako viwe vitamu sana.
Sawa, ila mbona haujaweka vipimo vyote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakikisha kila kitu umeweka katika Vipimo sahihi ili Vitumbua vyako viwe vitamu sana.
Hiyo tu ndiyo shida. Ila unaweza vikausha mafuta baada ya kutoa jikoni. Ila ukute kitumbua kitamu, mafuta unasahau 😃😃😃Sema huwa vinakunywa mafuta, ukila vitatu unakunywa mafuta nusu lita🤣
😁😁 kabisaHiyo tu ndiyo shida. Ila unaweza vikausha mafuta baada ya kutoa jikoni. Ila ukute kitumbua kitamu, mafuta unasahau 😃😃😃
Kitumbua cha moto😅😅😅😜Unamaanisha nini
Mashallah 😍 😍 😋😋😋😋 hiki ukikiminya mafuta mengi 😎😎😎 Raha hizi vitumbua Vitamu sana upate chai yenye mchai chai iliyo na karafuu mashallah 😎 😋😋Vitumbua ni aina nyingine ya Chakula kinachopendwa zaidi katika maeneo mbalimbali nchini.
Vitumbua vina aina mbalimbali ya Mapishi, kuna Vitumbua vya Nazi, Mayai, Nyama na aina nyinginezo.
Vifaa vya kupikia vinapatikana Sokoni kwa Gharama nafuu inategemea na ukubwa unaoutaka.
Ni vizuri kupika nyumbani kuliko kununua, kwani usalama wake ni wa uhakika zaidi.
Ni rahisi kuandaa na kupikia pia.
Mahitaji.
Unga wa Mchele Nusu/ Kilomoja.
Unga wa Ngano Kidogo.
Tui la Nazi (Sio Lazima)
Maji ya Uvugu vugu.
Hiriki.
Sukari.
Mafuta ya Kuchomea.
Kikaangio cha Vitumbua
Jinsi ya Kuandaa.
Changanya Mchanganyiko wako Vizuri kabisa usiwe mlaini sana Wala Mzito sana.
Hakikisha kila kitu umeweka katika Vipimo sahihi ili Vitumbua vyako viwe vitamu sana.
Baada ya Kuchanganya acha Mchanganyiko wako kwa muda wa Nusu saa au Saa nzima ili uumuke vizuri. Na muda huu ni kulingana na hali ya hewa ya sehemu ulipo.
Utaweka kikaangio chako kwenye Moto hadi kipate Moto kidogo kisha weka mafuta kidogo yakichemka vizuri Chota Unga wako na kuweka kidogo kigogo.
Pika hadi Vitumbua vigeuke rangi na kuwa vya kahawia. Kisha toa kwenye kikaangio.
Vitumbua huliwa wakati wote na Chai, Soda,Juice na kahawa.
View attachment 3091000
Habari za asubuhi tajiri 😎😎 huna baya ishi sana tajiriiiii Cc min -meHiyo tu ndiyo shida. Ila unaweza vikausha mafuta baada ya kutoa jikoni. Ila ukute kitumbua kitamu, mafuta unasahau 😃😃😃
Inaanzia na cun__😎😎Hiriki ndio nini kwa lugha ya kiingereza?
Ee.. 😋😋😋 hapa swafii mpishi mwenye pishi lakeUtakulaje Cha baridi sasa 😅😅😅 ni vya Moto
Si useme mkuu inaitwaje?Inaanzia na cun__😎😎
Nikuombe siku moja uje kunipikia ghetto na wanangu 😄😄😅😅😅😜Unamaanisha nini
Tajiri Hana baya mtu maana kabisa 😎 😍 namuombea siku yake iende vizuri Leo inshallah 😎Kabisa , mkuu .