Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda Shivaz pale huwezi kukosa
Yaani umeogopa kusema Biriani ukaona uandike wali wa biriani na ukaweka picha! Vinginevyo huu uzi ungeshafika mbali sana.Kwa wakazi wa mkoa wa Arusha ..wapi naweza kupata wali wa biriani mzuri na nyama nzuri either ya ngo'mbe au kuku.
View attachment 1089504
bila kusahau viatu vikubwa mashati over sizeNa maji ya mitaro.
Kwa wakazi wa mkoa wa Arusha ..wapi naweza kupata wali wa biriani mzuri na nyama nzuri either ya ngo'mbe au kuku.
View attachment 1089504
[/QUOTE
BIRIANI NZURI ZIPO KWA MAMU TUUU
[emoji23] [emoji23]bila kusahau viatu vikubwa mashati over size
😅😅😅😅😅😅😅 arusha waulizie wapi ntapata gomba sio birianiArusha na biriani wapi na wapi labda uulize bangi.
Shivaz?, labda kama anatafuta malaya, wapo wazuri kwa bei cheeNenda Shivaz pale huwezi kukosa
Haha umewahi ku prove wapi wanaokula wanaongezeka makalio.. hahaahaha..ntakula hata sahani mbilihivi wanaume wa R chuga tumeaanza kuiga wanaume wa dar au tunakosea wapi jamani? siye tunatakiwa tule ugali dona, udaga knk. na si biriani.Ukitaka kujua adhari za kula biriani kwa mwanaume mwangalie mariam birian alivyojaa nyuma....je we mwanaume wa r chuga unataka kuwa na makalio makubwa na laini laini?
Basi usiende shivaz labda siku ukitaka kuburudikaSiwatafut hao..wali wa biriani kitu cha mtume ..msosi wa ukweli ..