Jinsi ya Kupika Wali wa Biriani ya Kuku

Jinsi ya Kupika Wali wa Biriani ya Kuku

Mimi mwenyewe leo nimekula biriani. Mkuu njoo zanzibar. Huwezi pita restaurent mbili moja ikawa haina
 
Isije ikawa unataka t.ako la mwanamke...maana watu wa mjini mna lugha nyingi sana!.... kuna muuza biriani yupo dar anauza biriani....tangazo tako lake....
 
Hauna lolote zaidi ya marangi rangi ya kutengenezea barafu wanayoyapaka. tena wanatumia mamichele ya bandia ya thailand na uarabuni yasiyokuwa na chuya, yaliyonyooka lakini hayana harufu ya mchele na ladha ni kama makande
Wote mmepotezwa mnadhani huyo jamaa anataka wali wa kula??? really!
 
1089696


Yaani nafika nyumbani ndo chakula alochoandaa my wife
 
Hili Ni swali fikirishi kabisa.

Ungeuliza tu. Wapi utapata mwanamke mwenye matako....wali_Mwanamke, Biriani_matako.
Hayo ni ya kwako..akili yako ndio iko hivyo siku zote maisha yote
 
Back
Top Bottom