Jinsi ya kupunguza gharama ya maji ya kunywa

Jinsi ya kupunguza gharama ya maji ya kunywa

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Kwakuwa kipato changu hakiniruhusu kununua maji ya kunywa, nimechukua hatua zifuatazo:

1. Kununua water dispenser na chupa zake 2, nikiweka chupa moja ya pili inabaki kuwa spea.

Pia nimenunua water boiler ya lita 30, hivyo nachemsha maji, nayachuja na kitambaa kisafi cha nailoni, yakipoa nayaweka kwenye chupa ya dispenser.

Shida nayopata hapa ni namna ya kuchuja uchafu maana haya maji ya bomba huwa yana uchafu, japo nachemsha kuua wadudu, nachuja na kitambaa, bado uchafu unakuwepo.

2. Kifaa cha kusafisha maji. Nimenunua kifaa fulani made in India ambacho chenyewe kinasafisha maji na kuua wadudu, ambacho kila baada ya wiki 2 nasafisha ule utumbo wa ndani unaosafisha maji na kila baada ya miezi 6 nanunua utumbo mpya. Kwa njia hizo nimedhibiti matumizi ya kununua maji, japo kuna kazi ya kuosha chupa za water dispenser kutoa uchafu ambao hubaki na kung'ang'ania kwenye chupa kwa ndani.

Wadau kama mna njia bora zaidi ya hizi, mchangie hapa
 
Mbona kama process sana bwashee? Maji siku hizi 500 unapata lita moja, sijajua upo mkoa gani, lakini kwa hali ya hewa kama dsm kwa siku 1000-1500 unaweza kutumia kama bajeti ya maji, kuliko kufuata huo mlolongo Mara uoshe utumbo, sikui uchuje na vitambaa, mara dawa ya kutibu n.k
 
Labda unakaa mbali aise.
Mbona jijini wamerahisisha mambo! Kidumu cha lita 13, unapata kwa sh800 tu. Wewe unaenda na kidumu chako,unajaziwa. Mbona sehemu hizo zipo kwa wingi! Vinginevyo,jitafute,uwe na vihela vyako,maji ya 4k uuziwe 10k.
 
Mbona kama process sana bwashee? Maji siku hizi 500 unapata lita moja, sijajua upo mkoa gani, lakini kwa hali ya hewa kama dsm kwa siku 1000-1500 unaweza kutumia kama bajeti ya maji, kuliko kufuata huo mlolongo Mara uoshe utumbo, sikui uchuje na vitambaa, mara dawa ya kutibu n.k
Hadi nimecheka bwashee
 
Kwakuwa kipato changu hakiniruhusu kununua maji ya kunywa,nimechukua hatua zifuatazo:
1.Kununua water dispenser na chupa zake 2,nikiweka chupa moja ya pili inabaki kuwa spea.Pia nimenunua water boiler ya lita 30,hivyo nachemsha maji,nayachuja na kitambaa kisafi cha nailoni,yakipoa nayaweka kwenye chupa ya dispenser.Shida nayopata hapa ni namna ya kuchuja uchafu maana haya maji ya bomba huwa yana uchafu,japo nachemsha kuua wadudu,nachuja na kitambaa,bado uchafu unakuwepo.
2.Kifaa cha kusafisha maji.Nimenunua kifaa fulani made in India ambacho chenyewe kinasafisha maji na kuua wadudu,ambacho kila baada ya wiki 2 nasafisha ule utumbo wa ndani unaofafisha maji na kila baada ya miezi 6 nanunua utumbo mpya.Kwa njia hizo nimedhibiti matumizi ya kununua maji,japo kuna kazi ya kuosha chupa za water dispenser kutoa uchafu ambao hubaki na kung'ang'ania kwenye chupa kwa ndani.Wafau kama mna njia bora zaidi ya hizi,mchangie hapa
Mkuu uko mkoa gani??
Huku Shimbi kwetu unachota maji bombani na kunywa,hamna kuchemsha Wala Nini!!
Ila hongera kwa kujali afya yako
 
Labda unakaa mbali aise.
Mbona jijini wamerahisisha mambo! Kidumu cha lita 13, unapata kwa sh800 tu. Wewe unaenda na kidumu chako,unajaziwa. Mbona sehemu hizo zipo kwa wingi! Vinginevyo,jitafute,uwe na vihela vyako,maji ya 4k uuziwe 10k.
Maji ya kupima mwanza hakuna
 
Kwakuwa kipato changu hakiniruhusu kununua maji ya kunywa,nimechukua hatua zifuatazo:
1.Kununua water dispenser na chupa zake 2,nikiweka chupa moja ya pili inabaki kuwa spea.Pia nimenunua water boiler ya lita 30,hivyo nachemsha maji,nayachuja na kitambaa kisafi cha nailoni,yakipoa nayaweka kwenye chupa ya dispenser.Shida nayopata hapa ni namna ya kuchuja uchafu maana haya maji ya bomba huwa yana uchafu,japo nachemsha kuua wadudu,nachuja na kitambaa,bado uchafu unakuwepo.
2.Kifaa cha kusafisha maji.Nimenunua kifaa fulani made in India ambacho chenyewe kinasafisha maji na kuua wadudu,ambacho kila baada ya wiki 2 nasafisha ule utumbo wa ndani unaofafisha maji na kila baada ya miezi 6 nanunua utumbo mpya.Kwa njia hizo nimedhibiti matumizi ya kununua maji,japo kuna kazi ya kuosha chupa za water dispenser kutoa uchafu ambao hubaki na kung'ang'ania kwenye chupa kwa ndani.Wafau kama mna njia bora zaidi ya hizi,mchangie hapa
if you deny nature, nature will deny you.
 
Sema Dah huku sisi tunafungulia kwenye jug bombani unakunywa hapohapo
 
Back
Top Bottom