fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
- Thread starter
-
- #21
kabisa mekuAiseeee,kumbe wewe mwanedu kabisa,all the best mkuu
sinunui nachemsha majiRafiki uko na mke na wajukuu na wafanyakazi utanunua chupa ngapi kwa siku?
Anaongelea familia achana na singleMbona kama process sana bwashee? Maji siku hizi 500 unapata lita moja, sijajua upo mkoa gani, lakini kwa hali ya hewa kama dsm kwa siku 1000-1500 unaweza kutumia kama bajeti ya maji, kuliko kufuata huo mlolongo Mara uoshe utumbo, sikui uchuje na vitambaa, mara dawa ya kutibu n.k
Kirokomu parokiani nina mwanamke huko wa kiromboOk napajua hapo shimbi kati rombo,nina shamba dogo maeneo hayo,ila kwa sasa naishi mwanza