Jinsi ya kupunguza gharama ya maji ya kunywa

Una familia wa watu wangapi??
Maji masafi kutoka viwandani yapo tena bei nafuu mkuu mahangaiko yote ya nini??
 
Anaongelea familia achana na single
 
Mwanaume kunywa maji yaliyochemshwa huo ni umama.me kipindi niko salawe shinyanga nalima mpunga nlikua nikihisi kiu naangalia jaruba lenye maji yametulia nainama nakunywa kama ngombe na wala spati shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…