Jinsi Ya Kupunguza Mawazo Baada Ya Kuachwa.

Jinsi Ya Kupunguza Mawazo Baada Ya Kuachwa.

Infinite_Kiumeni

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2023
Posts
382
Reaction score
687
Unapoachwa na mtu umpendaye inauma.
Hasa ukifikiria kwamba huyo mtu mlikua mnaendana sana. Mlikua mnaelewana.
Mawazo huwa ni mengi, lakini kitu kinachotokea ni kwamba unajikuta huwezi waza kitu kingine zaidi ya mawazo ya kuachwa.
Kila ukiwaza unaumia.
Unaona mambo ni mabaya kila sehemu, hupati unafuu.
Huoni mwanga wa kupata mwingine mtu mwingine kama yeye.
Yani mawazo yanayokujia kichwani hayakupi ahueni/ amani hata kidogo.
Apo unakua umeshikamana/ umejifunga na mawazo yasiyokusaidia.
Njia nzuri ya kujitoa na hayo mawazo ni;
.
Kuwa na shukrani.
Shukuru umapata mlo leo.
Shukuru umeweza kuamka leo.
Shukuru una uwezo wa kusoma haya.
Kinachotokea ni kwamba mawazo/ maumivu ya kuachwa yanakufanya usione sehemu nyingine za maisha yako ambazo bado zipo vizuri.

Haijalishi umeumizwa vipi, kuna sehemu tu ya maisha yako ambayo bado Mungu amekupa nafasi na inaenda vizuri.
Shukuru kwa hilo.
Kwa kila wazo kwamba “maisha yangu ndo yameshaharibika…” liwekee na shukurani “nashukuru Mungu kwa … maishani mwangu”.
Na kama unaona mawazo ni makali/ mengi, basi shukuru zaidi.
Mshukuru mtu anayekuhudumia kwa ukitakacho maishani.
Itakusaidia kuona upande mwingine wa maisha unaoenda vizuri badala ya kuhangaika na mambo yaliyoharibika.
.
Kubaliana na hali.
Kubali umeachwa.
Kubali kuwa saivi mwenzio ameona hufai tena. Jana ni jana, leo ni leo ndo mana leo ameona hufai.
Kubali kuwa hamuendani tena.
Watu wanaoendana hawaachani, kama mmeachana ujue hamuendani tena. Haijalishi zamani mlikua mnaendana vipi.
Kubali mambo yanapobadilika.
.
Jitoe ulipo kimawazo.
Una uwezo wa kuendesha akili yako.
Una uwezo wa kubadilisha mawazo na ukawaza kile ukitakacho.
Kujitoa ulipo kimawazo ni kufikiria nje ya boksi. Unafikiria kama mtu wa nje/ rafiki yako/ ndugu yako.
Yaani ni kama vile unavyomshauri mtu, we unakua unaona mengi kuliko yeye. Kwa sababu wewe haujashikamana na mawazo/ haujafungwa na mawazo.

Unapojitoa ulipo kimawazo unakua unafikiria vitu kama;
Ni jambo la mpito tu,
Hii sio mara ya kwanza kuachwa,
Mungu atanipatia mwingine mzuri zaidi,
Hii ni sehemu ya maisha, kuna kupata na kukosa,
Baada ya miaka miwili sitakua hivi tena, (kama ukiwa ivo ivo ujue una shida), na,
Tulipata muda mzuri pamoja, nimefurahia kuwa naye kwa kuwa nimejifunza kitu hiki na kile.

Kadri unavyojitoa na kuangalia jambo lako kama mtu wa nje unazidi kujijua.
Unaona wapi ulikosea, wapi ulifanikiwa, nini chanzo cha kuachana, na utafanyaje ili usiyarudie.
Muda mwingine unaona kuwa kiukweli bora umeachana na huyo mtu.
Sababu alikua anafanya maisha yako kuwa magumu, mshukuru mola.
Mwisho wa siku unagundua kuachwa si kubaya ni jambo zuri.
Umepata nafasi mpya ya kuwa na mtu mwingine bora zaidi, na
Umepata nafasi mpya ya kukua na kujiboresha mwenyewe zaidi.

Hautaona mwanga, hautopata nafuu na utakua mtu wa kulaumu tu pale ukiendelea kushikamana na mawazo ya kuachwa.
Na kuyawaza hayo tu bila kujitoa na kufikiria kama mtu wa nje.
Utakua mtu wa huzuni na utapishana na fursa mpya zinazokujia.
 
cb0ff9e3-edf0-494d-bc57-d90de85c371c.jpg
 
Unapoachwa na mtu umpendaye inauma.
Hasa ukifikiria kwamba huyo mtu mlikua mnaendana sana. Mlikua mnaelewana.
Mawazo huwa ni mengi, lakini kitu kinachotokea ni kwamba unajikuta huwezi waza kitu kingine zaidi ya mawazo ya kuachwa.
Kila ukiwaza unaumia.
Unaona mambo ni mabaya kila sehemu, hupati unafuu.
Huoni mwanga wa kupata mwingine mtu mwingine kama yeye.
Yani mawazo yanayokujia kichwani hayakupi ahueni/ amani hata kidogo.
Apo unakua umeshikamana/ umejifunga na mawazo yasiyokusaidia.
Njia nzuri ya kujitoa na hayo mawazo ni;
.
Kuwa na shukrani.
Shukuru umapata mlo leo.
Shukuru umeweza kuamka leo.
Shukuru una uwezo wa kusoma haya.
Kinachotokea ni kwamba mawazo/ maumivu ya kuachwa yanakufanya usione sehemu nyingine za maisha yako ambazo bado zipo vizuri.

Haijalishi umeumizwa vipi, kuna sehemu tu ya maisha yako ambayo bado Mungu amekupa nafasi na inaenda vizuri.
Shukuru kwa hilo.
Kwa kila wazo kwamba “maisha yangu ndo yameshaharibika…” liwekee na shukurani “nashukuru Mungu kwa … maishani mwangu”.
Na kama unaona mawazo ni makali/ mengi, basi shukuru zaidi.
Mshukuru mtu anayekuhudumia kwa ukitakacho maishani.
Itakusaidia kuona upande mwingine wa maisha unaoenda vizuri badala ya kuhangaika na mambo yaliyoharibika.
.
Kubaliana na hali.
Kubali umeachwa.
Kubali kuwa saivi mwenzio ameona hufai tena. Jana ni jana, leo ni leo ndo mana leo ameona hufai.
Kubali kuwa hamuendani tena.
Watu wanaoendana hawaachani, kama mmeachana ujue hamuendani tena. Haijalishi zamani mlikua mnaendana vipi.
Kubali mambo yanapobadilika.
.
Jitoe ulipo kimawazo.
Una uwezo wa kuendesha akili yako.
Una uwezo wa kubadilisha mawazo na ukawaza kile ukitakacho.
Kujitoa ulipo kimawazo ni kufikiria nje ya boksi. Unafikiria kama mtu wa nje/ rafiki yako/ ndugu yako.
Yaani ni kama vile unavyomshauri mtu, we unakua unaona mengi kuliko yeye. Kwa sababu wewe haujashikamana na mawazo/ haujafungwa na mawazo.

Unapojitoa ulipo kimawazo unakua unafikiria vitu kama;
Ni jambo la mpito tu,
Hii sio mara ya kwanza kuachwa,
Mungu atanipatia mwingine mzuri zaidi,
Hii ni sehemu ya maisha, kuna kupata na kukosa,
Baada ya miaka miwili sitakua hivi tena, (kama ukiwa ivo ivo ujue una shida), na,
Tulipata muda mzuri pamoja, nimefurahia kuwa naye kwa kuwa nimejifunza kitu hiki na kile.

Kadri unavyojitoa na kuangalia jambo lako kama mtu wa nje unazidi kujijua.
Unaona wapi ulikosea, wapi ulifanikiwa, nini chanzo cha kuachana, na utafanyaje ili usiyarudie.
Muda mwingine unaona kuwa kiukweli bora umeachana na huyo mtu.
Sababu alikua anafanya maisha yako kuwa magumu, mshukuru mola.
Mwisho wa siku unagundua kuachwa si kubaya ni jambo zuri.
Umepata nafasi mpya ya kuwa na mtu mwingine bora zaidi, na
Umepata nafasi mpya ya kukua na kujiboresha mwenyewe zaidi.

Hautaona mwanga, hautopata nafuu na utakua mtu wa kulaumu tu pale ukiendelea kushikamana na mawazo ya kuachwa.
Na kuyawaza hayo tu bila kujitoa na kufikiria kama mtu wa nje.
Utakua mtu wa huzuni na utapishana na fursa mpya zinazokujia.
Utakuwa umeachwa mkuu, ukiachwa na unayempenda jitahd uwe unazifikiria kasoro zake chap tuu Anatoka mawazon ,
 
Huo muda wa kuwaza yaliyopita sijui mnautoa wapi.....ukishazaliwa ushazaliwa huwezi rudi tumboni mkuu
 
Capitalize kwenye udhaifu wake, mabaya yake aliyokufanyia, maneno ya kuvunja moyo kejeli na dharau alishawahi kukufanyia, ukiweza kuzijua kasoro za mama yake, baba, yake, ukoo, kabila, dini, taifa, rangi, wajihi, wembamba au unene yaani kila kitu hadi kucha vidole, kicheko chake, yaani chukia vyote hata kama alishakwambia anapenda pilau biriani au ndizi utumbo we chukia tu.

Hii ndiyo siri ya ushindi.

Utakuwa umeachwa mkuu, ukiachwa na unayempenda jitunazifikiria kasoro zake chap tuu Anatoka mawazon ,
 
Kuna wale kwa tabia yake unaamua kumuacha ila unampenda sana tu, huwa inauma sana tu tuache wengine ku pretend hapa jukwaani
 
Una ushauri gani kwa wale ambao wameachana ila bado wanaishi pamoja na kulala pamoja ila kimsingi mapenzi wameachana
 
Unapoachwa na mtu umpendaye inauma.
Hasa ukifikiria kwamba huyo mtu mlikua mnaendana sana. Mlikua mnaelewana.
Mawazo huwa ni mengi, lakini kitu kinachotokea ni kwamba unajikuta huwezi waza kitu kingine zaidi ya mawazo ya kuachwa.
Kila ukiwaza unaumia.
Unaona mambo ni mabaya kila sehemu, hupati unafuu.
Huoni mwanga wa kupata mwingine mtu mwingine kama yeye.
Yani mawazo yanayokujia kichwani hayakupi ahueni/ amani hata kidogo.
Apo unakua umeshikamana/ umejifunga na mawazo yasiyokusaidia.
Njia nzuri ya kujitoa na hayo mawazo ni;
.
Kuwa na shukrani.
Shukuru umapata mlo leo.
Shukuru umeweza kuamka leo.
Shukuru una uwezo wa kusoma haya.
Kinachotokea ni kwamba mawazo/ maumivu ya kuachwa yanakufanya usione sehemu nyingine za maisha yako ambazo bado zipo vizuri.

Haijalishi umeumizwa vipi, kuna sehemu tu ya maisha yako ambayo bado Mungu amekupa nafasi na inaenda vizuri.
Shukuru kwa hilo.
Kwa kila wazo kwamba “maisha yangu ndo yameshaharibika…” liwekee na shukurani “nashukuru Mungu kwa … maishani mwangu”.
Na kama unaona mawazo ni makali/ mengi, basi shukuru zaidi.
Mshukuru mtu anayekuhudumia kwa ukitakacho maishani.
Itakusaidia kuona upande mwingine wa maisha unaoenda vizuri badala ya kuhangaika na mambo yaliyoharibika.
.
Kubaliana na hali.
Kubali umeachwa.
Kubali kuwa saivi mwenzio ameona hufai tena. Jana ni jana, leo ni leo ndo mana leo ameona hufai.
Kubali kuwa hamuendani tena.
Watu wanaoendana hawaachani, kama mmeachana ujue hamuendani tena. Haijalishi zamani mlikua mnaendana vipi.
Kubali mambo yanapobadilika.
.
Jitoe ulipo kimawazo.
Una uwezo wa kuendesha akili yako.
Una uwezo wa kubadilisha mawazo na ukawaza kile ukitakacho.
Kujitoa ulipo kimawazo ni kufikiria nje ya boksi. Unafikiria kama mtu wa nje/ rafiki yako/ ndugu yako.
Yaani ni kama vile unavyomshauri mtu, we unakua unaona mengi kuliko yeye. Kwa sababu wewe haujashikamana na mawazo/ haujafungwa na mawazo.

Unapojitoa ulipo kimawazo unakua unafikiria vitu kama;
Ni jambo la mpito tu,
Hii sio mara ya kwanza kuachwa,
Mungu atanipatia mwingine mzuri zaidi,
Hii ni sehemu ya maisha, kuna kupata na kukosa,
Baada ya miaka miwili sitakua hivi tena, (kama ukiwa ivo ivo ujue una shida), na,
Tulipata muda mzuri pamoja, nimefurahia kuwa naye kwa kuwa nimejifunza kitu hiki na kile.

Kadri unavyojitoa na kuangalia jambo lako kama mtu wa nje unazidi kujijua.
Unaona wapi ulikosea, wapi ulifanikiwa, nini chanzo cha kuachana, na utafanyaje ili usiyarudie.
Muda mwingine unaona kuwa kiukweli bora umeachana na huyo mtu.
Sababu alikua anafanya maisha yako kuwa magumu, mshukuru mola.
Mwisho wa siku unagundua kuachwa si kubaya ni jambo zuri.
Umepata nafasi mpya ya kuwa na mtu mwingine bora zaidi, na
Umepata nafasi mpya ya kukua na kujiboresha mwenyewe zaidi.

Hautaona mwanga, hautopata nafuu na utakua mtu wa kulaumu tu pale ukiendelea kushikamana na mawazo ya kuachwa.
Na kuyawaza hayo tu bila kujitoa na kufikiria kama mtu wa nje.
Utakua mtu wa huzuni na utapishana na fursa mpya zinazokujia.

Umeandika vingi ila njia rahis ni kurudia hobbies zako, marafiki, tembelea ndugu au vile vitu ambavyo ulicha kufanya wkt upo nae. Vitakuwa easy transition
 
Masaa machache yajayo kwanzia sasa kuna mtu anaenda kuachwa vibaya sana najua ataumia sana ila no way out kuliko kupotezeana muda nibola nmpige chini kila mtu afate maisha yake Natamani angeiyona hii thread labda ingempunguzia maumivu lakin bahati mbaya hatumii Jf
 
Back
Top Bottom