Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

tunatoa huduma zenye ubora na tija,haraka na nafuu utalipia malipo ya serikali kwa control number ya kazi unalipa baada ya kazi kukamilika pia huduma zetu ni kama zinavyoonekana kwenye poster hapo waweza kuwasiliana nasi 24hrs
 
1. Kwanza chagua jina halafu nenda Brela kasajili jina. It's a one day process.

2. Baada ya kupata 'OK' ya jina. Nenda kwa mwanasheria akuandalie documents mbili muhimu. Hii ni The Memorandum of the Company na Articles of Association copy nne nne. This is a Two days Job.

3. Unarudi Brella na kujaza forms na ku-submit na hizo documents na unalipia - applicable fees. This is another two days job.

In total 5 working days zinatosha kusajili kampuni. Ukianza Jumatatu, unamaliza Ijumaa. Kama una mkono mrefu, unaweza kufanyiwa kwa Fast Track na ukamaliza mambo yote in a day or two
Nami umenipa mwanga kaka, Kuna kitu nahitaji kukifanya. Japo bado sina idea katika usimamizi wa mambo ya kifedha( mapato na matumizi)na Kodi. Je, ni lazima uajiri permanent accountant au huwa wapo ambao mnaelewana tu kila anapofunga hesabu?
Naomba msaada kaka. Pascal Mayalla
 
Habari mkuu, Napenda kukujulisha anachongelea pascal ni procedure za zamani zilizobadilika tangu 2018 , Kwa Sasa unaweza PATA hivi vyote ukiwa home kwako, mkoani kwako, kijijini kwako nk. Karibu kwa msaada siku ukianza hatua za usajili.

pili ndio unaweza pats accountant Kwa part-time job Yan pale unapohitaji huduma .
Nami umenipa mwanga kaka, Kuna kitu nahitaji kukifanya. Japo bado sina idea katika usimamizi wa mambo ya kifedha( mapato na matumizi)na Kodi. Je, ni lazima uajiri permanent accountant au huwa wapo ambao mnaelewana tu kila anapofunga hesabu?
Naomba msaada kaka. Pascal Mayalla[/US
[/QUOTE]
 
Habari mkuu, Napenda kukujulisha anachongelea pascal ni procedure za zamani zilizobadilika tangu 2018 , Kwa Sasa unaweza PATA hivi vyote ukiwa home kwako, mkoani kwako, kijijini kwako nk. Karibu kwa msaada siku ukianza hatua za usajili.

pili ndio unaweza pats accountant Kwa part-time job Yan pale unapohitaji huduma .
Asante sana mkuu.
 
HABARINI WANA JAMII,, NAOMBA KUCHANGIWA MAWAZO, USHAURI, UFAHAMU NK, KTK YAFUATAYO ILI KUWEKA REKODI SAWASAWA..
KWANZA KABISA, NILIMSIKIA MTU MMOJA, SIMKUMBUKI JINA, NA SIKUMBUKI WAPI ILA NI MFANYAKAZI WA TRA... KWENYE MAKODI YA KUKADIRIA BIASHARA MBALIMBALI YA WATEJA.

JAMAA: bro nakushauri kama unampango
Wa kufanya biashara, nakushauri
Usifungue kampuni, its a tidius
Work. Kuna lot of ishu ambazo
Zitakusumbua ikiwa ni pamoja
TRA, plus hayo ya ku files return
Kama sio mhasibu utaingia chaji
za kuwalipa consult wakufanyie
N.K. aliniambia mambo mengi.

Akanishauri, ni VYEMA UKAFUNGUA BUSINESS NAME TUU, ukaendesha biashara zako ukiwa na iyo business name.

NIMEONA NILETE HII KITU APA KUPATA MAWAZO MBALIMBALI, Naamini kuna waliobobea kwenye fani hii..

PILI:
Let say, nimefanya procedures za kufungua kampuni BRELLA online, na hatimae nimefanikiwa, nina iyo memort and certificate mkononi, ILA BADO SIJAENDA TRA ili wanifungulie file ili oficial nianze biashara.. SASA KUTOKANA NA CHANGAMOTO ZA DHARURA, nahisi nashindwa kuanza hii company business, na fkilia ku CANCEL kila kitu.. Je, kwa mfano, nikiacha tuu, bila kufanya lolote,, kuna chaji na penalts nitadaiwa na TRA au pengine na Brella? Kumbuka, tra sijawai enda, so sina faili kule......

Msaada kwa hayo machache....
Asanteni..
Swali zuri. Ngoja wataalam waje
 
JE PRIVATE COMPANY inasajiliwa namna gani?

Pia Tour Company inasajiliwa vipi?

Leseni ya Tour Operator ni 2000 US $ per year, je utawezaje kulipa bila hujaanza biashara? Kama bado sina wateja nitalipaje kodi?
Tafta muhasibu wakujitegemea waondiowanamaliza kilakituu wanafanya Hadi makadirio wanakufanyia oditing kama hujafanya biashara hulipiii chochote tatizo lenu mnajikimbilisha TRA direct mnapigwa hela ishini na watu vizuri
 
Tunaweza kukusaidia hatua zote toka hatua ya kwanza name clearance hadi mwisho tunapatikana kwa whtsp/call/sms +255626 402 722 au etj.prof@gmail.com
ofisi zetu zipo songea mjini mkabala na TRA RUVUMA BRANCH NEAR BY TO TCB SONGEA BRANCH
20240728_154539.jpg
 
HUDUMA ZETU NI RAFIKI KWA WOTE NA TUNAKIDHI MATAKWA YA MTEJA KARIBU ADA YA KAZI UNALIPA BAADA YA KAZI YAKO MALIPO YA SERIKALI LIPIA KWA CONTROL NUMBER WEWE MWENYEWE
 
ingia brela kila kitu kipo straight forward.

ukihitaji memarts and other legal facilities njoo inbox chap
 
Habari za muda wakuu!
Hivi ukiwa umesajili kampuni... mfano ya Mambo ya Mambo ya nafaka, ukawa umeweka DSM kama makao makuu. Sasa baadae katika kuanza kazi... Ukatamani uifanyie sehemu nyingine tuseme Mbeya.

Je, natakiwa kufanyaje ili nisivunje sheria za nchi? Leseni nachukua ya BRELA au halmashauri/manispaa?
 
Habari za muda wakuu!
Hivi ukiwa umesajili kampuni... mfano ya Mambo ya Mambo ya nafaka, ukawa umeweka DSM kama makao makuu. Sasa baadae katika kuanza kazi... Ukatamani uifanyie sehemu nyingine tuseme Mbeya.

Je, natakiwa kufanyaje ili nisivunje sheria za nchi? Leseni nachukua ya BRELA au halmashauri/manispaa?
Brela..
 
Etj Consultancy: tunakusaidia kwa hatua zote hadi unamiliki kampuni yako ndani ya siku tatu baada ya wewe kulipia ada ya usajili tukishakupa control number

Etj Consultancy: na mahitaj yake ni haya
1.Jina la kampuni
2.nida za wakurugenzi
3.tin za wakurugenz
4.mtaji wa kampuni yako
5.anuani ya makazi ya wakurugenzi(mkoa,wilaya,kata,mtaa,jina la barabara,plot,block na nambaya nyumba)
6.Anuani ya ofisi kama taarifa za no.5 hapo juu
Hivi kampuni ni lazima awe mtu zaidi ya mmoja nahitaji kufungua general trader company, unaweza kunipa mchanganuo
 
Habari za muda wakuu!
Hivi ukiwa umesajili kampuni... mfano ya Mambo ya Mambo ya nafaka, ukawa umeweka DSM kama makao makuu. Sasa baadae katika kuanza kazi... Ukatamani uifanyie sehemu nyingine tuseme Mbeya.

Je, natakiwa kufanyaje ili nisivunje sheria za nchi? Leseni nachukua ya BRELA au halmashauri/manispaa?
Kwenye location unabadili address na kumjulisha msajili wa makampuni
 
Back
Top Bottom