Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

vipi kuhusu malipo ya taratibu zote hizo za chama na serikali???
 
[NJINSI YA KUSAJIRI KAMPUNI]1. Kwanza chagua jina halafu nenda Brela kasajili jina. It's a one day process.

2. Baada ya kupata 'OK' ya jina. Nenda kwa mwanasheria akuandalie documents mbili muhimu. Hii ni The Memorandum of the Company na Articles of Association copy nne nne. This is a Two days Job.

3. Unarudi Brella na kujaza forms na ku-submit na hizo documents na unalipia - applicable fees. This is another two days job.

In total 5 working days zinatosha kusajili kampuni. Ukianza Jumatatu, unamaliza Ijumaa. Kama una mkono mrefu, unaweza kufanyiwa kwa Fast Track na ukamaliza mambo yote in a day or two.
 
Wana JF wanaohitaji msaada wa huduma hiyo wamtafute Singo ambaye amenisaidia sana bila usumbufu wowote kama nilivyoeleza kwenye topic nyingine nami nimempata kupitia hapa.
 
Wana JF wanaohitaji msaada wa huduma hiyo wamtafute Singo ambaye amenisaidia sana bila usumbufu wowote kama nilivyoeleza kwenye topic nyingine nami nimempata kupitia hapa.

asante kwa kutoa ushuhuda, nitamtafuta .
 
(Gharama za za usajili wa company ,businessname n.k brela zimeongzeka kuanzia July 1,2015, hizo za post hii ni kabla ya ongezeko,nitaleta hivi karibuni gharama walizoongeza pamoja na zangu pia kwa sababu na mimi nimeongeza kiasi)
Mimi ndiye Singo ambaye member Qsm ametoa ushuhuda wa kumsajilia jina la biashara(bisinessname).Business name nafanya 40,000/=Tshs only,gharama ikijumuisha na gharama ya brela ambayo ni sh 6000/=tu,ndani ya week mbili kazi inakamilika na unapata Certificate of Registration.(kwa sasa ni ndani ya week)

Pia ninauzoefu wa kuandaa Memorundum and Articles of Association ya kampuni ya aina yoyote ile ilimradi tu haipingani na Companies ACT 2002

kuona baadhi ya kazi na feed back ya nilio wasaidia kusajili bn na ltd ,waweza pitia thread https://www.jamiiforums.com/ujasiri...ess-names-na-company-limited-2013-2014-a.html(maelezo ya hapo chini nime quote thread yangu ambayo link yake hiyo hapo juu kwa ambao hawajaweza kuisoma)
Ninayo furaha kuwafahamisha kwamba nimeweza fanya kazi na member kadhaa wa Jamiiforums,waishio mikoa tofauti tofauti zinazohusu usajili wa Business Name na Company Limited .

Walifahamu kuhusu mimi na ujuzi wa maswala ya usajili baada ya kujibu thread za member kadhaa humu waliouliza maswala ya usajili , rejea thread : Msaada juu ya kusajili jina la biashara(rejea post na 6 na kuendelea) na Jinsi ya Kusajili Kampuni Tanzania (rejea post no 128 page ya 7)

Wafuatao niliwasajilia Business names

Ally Msangi (Mwanza)

CHASHA POULTRY FARM(ARUSHA)

Mc Hestone Jr (Arusha)

Qsm ( Arusha)

PACMA ADVENTURE AND SAFARI(Arusha )

ALF(DAR ES SALAAM) kazi FALON ENTERPRISES

Elie Chansa (Arusha) kazi ni INHOUSE INFO

Kln Investment Group(Dar es salaam)

Velx school and Office Supplies(Dar es Salaam)

Wizmark Solution (DA ES SALAAM)

Open Academy-KLM(DAR ES SALAAM)

Bilesi General Supplies(Dar)


Kwa Upande wa Limited Company


  • Elie Chansa (Arusha)Nimeshamsajilia Company(ilichukua takribani wiki mbili mpaka kukamilika......(Certificate of Incorporation ya TUCK AND ROLL COMPANY LIMITED nimemkabidhi 3rd Appril alipokuja Dar


  • nimemkabidhi muhusika ambaye sikufahamu jf id yake Certificate of Incorporation-ya KAE CREDIT AND FINANCE LIMITED (DAR)


  • J&K QUALITY SERVICE LIMITED(DAR ES SALAAM)hii ni company nyingine mpya niliyomsajilia JF member, uzuri wa kazi hii certificate imetoka muda mfupi zaidi ndani ya week hiyo tuliyolipia, ila kuna gharama tulikubaliana kufanikisha hilo ( April 2014 )


  • KIWALANI MICROCREDIT AND INVESTMENT COMPANY LIMITED(DAR) May, 2014 .Awali niliwasajilia kama business name na ilikuwa ni KLN INVESTMENT GROUP miezi minne iliyopita


  • Pia nimefanya kazi na jf member wa id ya GreenHouse(Dar ) limited company yake inafanya kazi rejea thread yake jukwaa hili la ujasiliamali



  • JAE & BOMA LIMITED (Hai ) JUNE 2014, nimeanya kazi na jf member wa hii Id Simburya.



  • COMMUNITY SUPERMARKET & COMPANY LIMITED(DAR ES SALAAM ) Nimemkabidhi kazi hii 30 June 2014

Nawashukuru wote wanaondelea kuniamini kufanya kazi na mimi kazi huku hawanijui zaidi ya hii JF ID,mnanijengea CV nzuri kwa kazi za mtandaoni hasa kuhusu usajili.

Nawakaribisha wengine niwasaidie aidha kwa ushauri ama kwa vitendo kuhusu usajili wa Business Names na Company Limited.

Niliowataja IDS zenu samahani kama itawaletea usumbufu,ila nimefanya hivi ili wengine ambao hawajafahamu kuhusu kazi ninazofanya ,basi wafahamu na wawe na imani kupitia ninyi

---------- Updates

kuhsiana na gharama za usajili kwa mujibu wa Brela kuanzia company ya mtaji mdogo kabisa hadi mkubwa zaidi soma post na 28 kwenye hii thread .

Pia naweza speed process za usajili , ila ni "kwa nguvu za ziada" ikiwa wewe muhusika utataka hivyo japo gharama zitaongezeka.

nipigie 0712 74 22 33 Kwa swala linalohusu usajili Brela .





Gharama za usajili wa Company Limited by Shares

capital 200,000---------not more than 500,000 = Tsh 111,200(registration,filling fee +stamp duty)

'' 500,000---------not more than 1,000,000 = '' 141,200 ''

'' 1000,000------- '' 2000,000 = '' 161,200 ''

'' 2,000,000------ '' 3000,000 = '' 181,200 ''

'' 3000,000------- '' 5000,000 = '' 211,200 ''

'' 5000,000------- '' 10,000,000 = '' 241,200 ''

'' 10,000,000----- '' 30,000,000 = '' 262,200 ''

above 30,000,000 na kuendelea = '' 361,200 ''

NB; Gharama hizi ni kwa mujibu wa Brela(kabla ya tarehe 1 july 2015, bei mpya nitaziweka hivi karibuni), pia ikiwa umewasilisha vitabu vitatu(Memorandum and Articles of Association),ukiwasilisha vitabu zaidi ya viatatu, bei yake itaongezeka sh 5000,kwa kila kitabu ( for stamp duty).Pia ifahamike kwamba kitabu kimoja kinabaki brela kwa ajili ya kuwa filed pamoja form 14 a and 14 b kwa hiyo vitabu vikiwa vitatu viwili ndio utabaki navyo baada ya usajili kukamilika

Malipo yangu

nitakuchaji 180,000 (hiyo bei ni kabla ya July 1,2015 kutokana na brela kupandisha gharama na mimi nitaongeza kiasi),mpaka unapata Certificate of Incorporation. Kazi niatazokufanyia itajumuisha kuandika barua ya Company Name Search(kwa kawaida majibu hutoka baada ya siku tatu) ,kuandaa vitabu vitatu(Memorandum) ambavyo vinagongwa na wanesheria sehemu 6 ambazo Directors mmesaini kugawana share za company, maelekezo ya ujazaji wa form itayoambatana na vitabu na gharama za ufuatiliaji mpaka document ina kamilika ambayo kwa uzoefu wangu ndani ya week mbili usajili unakuwa umekamilika
.

kama vitabu mtataka viwe vingi gharama zangu zitaongezeka kidogo,sababu gharama za printing na binding zitaongezeka,pia gharama za mihuri ya wakili zitaongezeka
 
Nahitaji kusajili kampuni yangu mara moja, mtaji wangu mill.45.
Mkuu Dominic, gharama za brela kwa huo mtaji itakuwa ni 345,000 for registration and filling fee + 16,200 for stamp duty ,jumla= 361,200, gharama zangu nakufanyia 180,000 ikijumuisha Kuandaa Memorandum, Mihuri ya wanasheria na ufuatiliaji ambayo ndani ya siku 5-7 za kazi naweza fanikiwa kupata cert of incorporation

Muhimu kwa sasa kwako ni kunipa majina unayopendekeza kutumia kama jina la kampuni,kisha niyaandikie barua ya search name ,na jina litalopitishwa ndio litatumika kwenye memorandum.
 
Wana JF naomba mwenye taarifa za taratibu za kusajili kampuni ya madini pale nyumbani Tanzania anisaidie.

Natanguliza shukrani zangu.

-------------------------------------

Napita ntarudi
 
duu mimi mwenyewe nilikuwa sijui lolote kuhusu kumiliki kampuni binafsi kwani nina dreams hizo
 
Mkuu Dominic, gharama za
brela kwa huo mtaji itakuwa ni 345,000 for registration and filling fee +
16,200 for stamp duty ,jumla= 361,200, gharama zangu nakufanyia
150,000(offer ya mwezi 1) ikijumuisha Kuandaa Memorandum, Mihuri ya
wanasheria na ufuatiliaji ambayo bila presha ndani ya week mbili
Certificate of Incorporation inakuwa tayari, pia ukitaka ndani ya week
naweza,ila kuna gharama zitaongezeka sababu nitakiuka taratibu ku speed
kazi.

Muhimu kwa sasa kwako ni kunipa majina unayopendekeza kutumia kama jina
la kampuni,kisha niyaandikie barua ya search name ,na jina
litalopitishwa ndio litatumika kwenye memorandum.

Naomba kuuliza usajili wa Club (Kikundi) pia Brela wanahusika na kama wanahusika ni kiasi gani cha pesa?
 
Naomba kuuliza usajili wa Club (Kikundi) pia Brela wanahusika na kama wanahusika ni kiasi gani cha pesa?
kikundi kinakubalika kusajiliwa,ila kiwe kinafanya biashara na wanachama hawazidi ishirini,bei yake ni sh 6000, hela ya brela , (nikikusaidia kusajili kikundi chenu itabidi uwe na 40,000/=tu ) siku hizi mbili simu yangu haipo hewani, waweza tumia PM kwa ufafanuzi zaidi
 
naombeni mnisaidie kwaanaefahamu utaratibu wa kufungua kampuni ni hatua gani za kufuata na gharama zake?na je wale tuliopo mikoani tunafanyaje ili tusajili kampuni,NB hiyo kampuni isiyokuwa limited.nawasirisha
 
naombeni mnisaidie kwaanaefahamu utaratibu wa kufungua kampuni ni hatua gani za kufuata na gharama zake?na je wale tuliopo mikoani tunafanyaje ili tusajili kampuni,NB hiyo kampuni isiyokuwa limited.nawasirisha

Company isiyokuwa limited ,hiyo itakuwa katika kundi la business name, gharama za businessname ni 20,000 tu kuanzia JULY 2015,
 
Last edited:
Company isiyokuwa limited ,hiyo itakuwa katika kundi la business name, gharama za businessname ni 6000 tu, na kwa nyie mlioko mkoani ,aidha unitumie mimi nikusjilie ambapo itabidi unipatie 40,000 tu kukusaidia kukusajilia na ufuatiliaji ama uje wewe Dar na ufanye mwenyewe usajili(hii itagharimu zaidi na nisingekushauri).kuna form maalum ya usajili, na kuna taarifa muhimu nitahitaji kupata kutoka kwako.

Kwa kunifahamu zaidi kwa maswala ya usajili pitiaprofile yangu,kisha utakutana feedback ya jf members kadhaa wa sehemu tofauti tofauti niliowasijilia.Pia waweza nipigia kwa na yangu 0712 74 22 33

nimekupata mkuu kiufupi mim naishi dar ila nilitaka nifungue kampuni mkoani sasa sikuwa nafahamu utaratibu na vitu vya kuzingatia unapotaka kufungua kampuni na jumla ya ghalama hadi utaratibu wote unakamilika wa usajiri,hadi kuwa kampuni kamili,
 
Back
Top Bottom