Jinsi ya kushauri mabinti wasishiriki ngono

Tatizo la kugegedana mapema kwa watoto wa kike inatokana hamu kubwa ambayo kwa wao ni wageni kuweza kuizuia, cha msingi 'mzazi, dada au kaka sema nae kuhusu kusubiri', madhara ya kuanza kugegedana mapema ni kupoteza umakini kwenye masomo.
hivi unaanzaje kuwa na hamu ya kitu ambacho hujawai kukila na kujua ladha yake jamani? hapa tuseme wanakuwa na tamaa lkn sio hamu na hii tamaa wanaipata kutokana na stori za marafiki zao au kuangalia hizo mapicha machafu
 
hivi binti ambaye hajawai kufanya mapenzi kabisaa hizo.............zinatoka wapi kwa mfano?kama sio vile anakaa na wenzie anawasikiliza na yeye anakuwa na tamaa tu yakutaka kujua na kule kujua ndio huko kuharibika
Labda kama sijakuelewa, hivi umemaanisha ukimkuza binti asikutane na yeyote (ndani) akifikisha umri wa balehe hizo........hazimpati kwakuwa hajawahi kusikia hayo au?
 
Point, atakuwa amempata mmoja tu atakayemlinda. Wanasaikolojia waje watujuze hili, kuna athari yoyote kielimu mtoto akiolewa huku anasoma pasi kupata mimba?
 
hakuna namna wao wenyewe wanahitaji ni fimbo tuu
 
hivi unaanzaje kuwa na hamu ya kitu ambacho hujawai kukila na kujua ladha yake jamani? hapa tuseme wanakuwa na tamaa lkn sio hamu na hii tamaa wanaipata kutokana na stori za marafiki zao au kuangalia hizo mapicha machafu
Hapana, kufanya sex ni nature tu. Hata ukiwafungia mapacha wawili jinsia tofauti ndani pasi kuwaambia chochote kile umri ukifika watafanya tu. Ni kama ununuavyo wanyama na kuwafuga huwafundishi kufanya, asili itafanya kazi yake.
 
Kunywa Sumu Ufe,Pilipili Usiyoila Yakuwashia Nini? Ulivyokuwa Unasuguliwa Mpaka Inatoa Moshi Kuna Aliekuonea Wivu?? Kitulize Kama Tushakichoka Nenda Kakiupgrade. Umechina Umechacha Umevunda. Jidada Zima Ovyoo,Au Unataka Uwasage? Tuliza Mpapa Watu Tule Vitu Sealed Vyenye Warranty,Sio Wako Hata Haueleweki Mbele Wapi Nyuma Wapi.
 
Huwa nahisi tuwaambie tu ukweli kinaga ubaga, tusiwafiche eti kufanya ni dhambi au si tendo zuri au wataumia nk. Hapa hawatatuelewa, wanatuona sisi tunafanya, tuwaambie umuhimu wa kusubiri. Madhara ya kufanya kabla ya kuolewa, mfano maradhi, kutoswa, kuumizwa na mengine mengi tena kwa mifano.

Yote haya yafanyike kwa upendo na umakini mkubwa. Onesha unajua hali anayoipitia, na wote walizipitia, waliozishinda wakoje na walioshindwa wapoje. Labda watatuelewa.
 
inao
hivi binti ambaye hajawai kufanya mapenzi kabisaa hizo.............zinatoka wapi kwa mfano?kama sio vile anakaa na wenzie anawasikiliza na yeye anakuwa na tamaa tu yakutaka kujua na kule kujua ndio huko kuharibika
nekana wewe ni mnafiki,,,angalia hata watoto wadogo kabisa asubuhi lazima kidyudyu kisimame ,,sasa binti na kuvunja ungo tayari kwanini asiwe na hamu???kama sio mnafiki itakua bado hujakua au ulikeketwa ukiwa mchanga,,,shit
 
inao

nekana wewe ni mnafiki,,,angalia hata watoto wadogo kabisa asubuhi lazima kidyudyu kisimame ,,sasa binti na kuvunja ungo tayari kwanini asiwe na hamu???kama sio mnafiki itakua bado hujakua au ulikeketwa ukiwa mchanga,,,shit
hahahahahahahahha mbona kama limekuwa lako hilo tuende taratibu tu tutafika mtoto inapomtokea vile huwa anajua ni nini?hahhahahah nimejikuta nacheka sana
 
kabisaaaaaaaaaaaaaaa hivi unafikiri ungemjibu kwa hekima asingekusikia na kukuelewa yaani hapa ni bora ungenyamaza tu vitu vingine kujizalilisha tu daaaaahhh
 
Point, atakuwa amempata mmoja tu atakayemlinda. Wanasaikolojia waje watujuze hili, kuna athari yoyote kielimu mtoto akiolewa huku anasoma pasi kupata mimba?
serekali tu yenyewe hairuhusu.
 
Siku mabinti wakianza kukusikiliza wewe, dunia itakuwa jehanamu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…