Jinsi ya kushinda kesi Mahakamani kwa kutumia "Plan B"

Mcheza Karate

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2011
Posts
690
Reaction score
350
Hapa naamini ni jukwaa mchanganyiko na hoja pamoja na mijadala ya kila namna hujadiliwa hapa.

JINSI YA KUFUTA/KUSHINDA KESI KWA KUTUMIA SAYANSI YETU WAAFRIKA.

mahitaji

-mvinje/mwanzi wa njano.
-Yai la kuku wa kienyeji
-maji ya baharini au ya kwenye maporoko..
-jembe lililotumika.
-jina la aliyekushtaki au hakimu au mwendesha mashtaka.
-udi(4 sticks).

hatua za kufuata

1. Ikiwa usiku tulivu wa saa 7 hadi 9 chukua yai lako na ubani kisha ingia chumbani ambako kumetulia na hakuna mtu zaidi yako.

2. Choma udi njiti zote nne kisha shika yai lako huku ukinuizia kwa kutaka kesi yako ifutwe au hukumu itoe upendeleo kwako na kumtaja mshtaki wako au hakimu au mwendesha mashtaka kwa jina kuwa alegeze moyo na asione umuhimu wa kesi hiyo.

3. Kisha chukua yai hadi porini na ukachimbe shimo kwa jembe uliloliandaa(lisiwe jipya) kisha fukia yai hilo ulilonuizia maneno yako.

4. Chukua kipande cha mvinje au kipande cha mwanzi wa njano(kumbuka hii ni aina ya mianzi) na uchomeke eneo ulikochimbia yai na uondoke pasipo kugeuka nyuma hadi chumbani ulikowasha udi pale mwanzo.

Ni sayansi yetu tu waafrika japo wengne watakuja kudhihaki hapa kwa maneno kama yesu, vigagula nk.

Kama hauko interested unapitaaaaaa!!!!!
 
Nadhan bado hii ipo local sana maana haikupi uhakika wa kushinda... Kule upareni kuna wataalamu wanaweza kulichukua faili la kesi mahakaman na wakalichomba mbele yako au kunyofoa baadh ya nyaraka. Wanatuma jini linachukua faili mchana kweupeeeee .
 
Mcheza Karate

Hatujakataa lakini before we practice tuanaomba utufahamishe yafuatayo tuatajua kama kweli njia hiyo inatija

Kwanini umetumia mwanzi wa rangi ya njano na sio rangi nyengine? i mean rangi ya njano maana yake nini?

Pia kwanini unatumia yai la kienyeji na si ya kisasa?

Kwanini utumie jembe lililochakaaa?

Kwanini iwe saa 7 - 9 usiku tuu isiwe saa 8 mchana?
 
Last edited by a moderator:

Amesema YAI na si Mayai..msome nakuelewa na si kukurupuka kama mna chamba uwanjani!
 
Naweza kutumia hii ili kushinda kura za maoni
 
Nadhan bado hii ipo local sana maana haikupi uhakika wa kushinda... Kule upareni kuna wataalamu wanaweza kulichukua faili la kesi mahakaman na wakalichomba mbele yako au kunyofoa baadh ya nyaraka. Wanatuma jini linachukua faili mchana kweupeeeee .

Uwongo mtupu
 
Nadhan bado hii ipo local sana maana haikupi uhakika wa kushinda... Kule upareni kuna wataalamu wanaweza kulichukua faili la kesi mahakaman na wakalichomba mbele yako au kunyofoa baadh ya nyaraka. Wanatuma jini linachukua faili mchana kweupeeeee .

naomba hao watu wawe wananiongezea mshahara wakati unapitishwa
 
naomba ya kuongezewa mshahara n marupu rupu kibao

Fanya kazi kwa bidii. Ongeza maarifa yako hata kama ni kwenda shule.

Pia tafuta altenatives nyingine za kukuongezea kipato.

Wakati huo huo usi-spend zaidi ya kipato chako.
 
Ngoja nimletee mtu utata wowote umuingizie hasara halafu nipelekwe polisi kisha niwaambie nataka kesi iende mahakamani,
Najua nitatoka kwa dhamana sasa ole wako nirudi nifanye kama ulivyoelekeza
Halafu nifungwe tutajuana.
 
Naweza kutumia hii ili kushinda kura za maoni

Badala ya kutegemea uchawi, washawishi wapiga kura utafanya nini kama ukishinda.

Sina maana ya kuwahonga, kuwapa ubwabwa au ahadi hewa. Be realistic.

Ikishindikana there is more in life than politics. You don't need to be a politicians to serve the poor.
 
Fanya kazi kwa bidii. Ongeza maarifa yako hata kama ni kwenda shule.

Pia tafuta altenatives nyingine za kukuongezea kipato.

Wakati huo huo usi-spend zaidi ya kipato chako.

nataka hii ya kuongea na mayai.. hayo mengine nafanya
 
Mfano tu: Naishi Obey, ndio nishachoma zangu mananiliu sasa nianze kulisaka pori lilipo bonge la safari kisha nikitoka huko chaka natakiwa nisigeuke nyuma mweeee. Kwa nanma yeyote ile lazma nitakua naendesha gari sasa nisiangalie vioo vya gari kabisa mpaka nafika nyumbani? :shocked:

Au hii sayansi inachagua maeneo ya kufanyia mandingo ndingo? :tinfoil3:
 
Mtani nadhan unamsikia mtu anaitwa Kilenga na kama hujamsikia angalau utakuwa umewah kuona zile bus zake.

ndiyo huyu anafanya hii uchawi ngoja nimtafute mtani awe kila mwenzi ananiwekea cha juu aisee
 

that means hakuna kuovertake wala kuingia kulia wala kushoto unajichomeka .. kwa kifupi kujitoa muhanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…