Mcheza Karate
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 690
- 350
Hapa naamini ni jukwaa mchanganyiko na hoja pamoja na mijadala ya kila namna hujadiliwa hapa.
JINSI YA KUFUTA/KUSHINDA KESI KWA KUTUMIA SAYANSI YETU WAAFRIKA.
mahitaji
-mvinje/mwanzi wa njano.
-Yai la kuku wa kienyeji
-maji ya baharini au ya kwenye maporoko..
-jembe lililotumika.
-jina la aliyekushtaki au hakimu au mwendesha mashtaka.
-udi(4 sticks).
hatua za kufuata
1. Ikiwa usiku tulivu wa saa 7 hadi 9 chukua yai lako na ubani kisha ingia chumbani ambako kumetulia na hakuna mtu zaidi yako.
2. Choma udi njiti zote nne kisha shika yai lako huku ukinuizia kwa kutaka kesi yako ifutwe au hukumu itoe upendeleo kwako na kumtaja mshtaki wako au hakimu au mwendesha mashtaka kwa jina kuwa alegeze moyo na asione umuhimu wa kesi hiyo.
3. Kisha chukua yai hadi porini na ukachimbe shimo kwa jembe uliloliandaa(lisiwe jipya) kisha fukia yai hilo ulilonuizia maneno yako.
4. Chukua kipande cha mvinje au kipande cha mwanzi wa njano(kumbuka hii ni aina ya mianzi) na uchomeke eneo ulikochimbia yai na uondoke pasipo kugeuka nyuma hadi chumbani ulikowasha udi pale mwanzo.
Ni sayansi yetu tu waafrika japo wengne watakuja kudhihaki hapa kwa maneno kama yesu, vigagula nk.
Kama hauko interested unapitaaaaaa!!!!!
JINSI YA KUFUTA/KUSHINDA KESI KWA KUTUMIA SAYANSI YETU WAAFRIKA.
mahitaji
-mvinje/mwanzi wa njano.
-Yai la kuku wa kienyeji
-maji ya baharini au ya kwenye maporoko..
-jembe lililotumika.
-jina la aliyekushtaki au hakimu au mwendesha mashtaka.
-udi(4 sticks).
hatua za kufuata
1. Ikiwa usiku tulivu wa saa 7 hadi 9 chukua yai lako na ubani kisha ingia chumbani ambako kumetulia na hakuna mtu zaidi yako.
2. Choma udi njiti zote nne kisha shika yai lako huku ukinuizia kwa kutaka kesi yako ifutwe au hukumu itoe upendeleo kwako na kumtaja mshtaki wako au hakimu au mwendesha mashtaka kwa jina kuwa alegeze moyo na asione umuhimu wa kesi hiyo.
3. Kisha chukua yai hadi porini na ukachimbe shimo kwa jembe uliloliandaa(lisiwe jipya) kisha fukia yai hilo ulilonuizia maneno yako.
4. Chukua kipande cha mvinje au kipande cha mwanzi wa njano(kumbuka hii ni aina ya mianzi) na uchomeke eneo ulikochimbia yai na uondoke pasipo kugeuka nyuma hadi chumbani ulikowasha udi pale mwanzo.
Ni sayansi yetu tu waafrika japo wengne watakuja kudhihaki hapa kwa maneno kama yesu, vigagula nk.
Kama hauko interested unapitaaaaaa!!!!!