Ile ni Hesabu ya kiwango cha juu na ndio maana ya kubeti ukigundua siri wala hutajuta kucheza hakuna cha laana wala nini kama uko fit jipange siku nikupe timu mbili na matokeo yake bureee kabisa utanishukuru mkeka ukitiki.kwanza,hayo maneno maana yake nini mkuu??
ila hii michezo ya kamari tunacheza tu lakini kanjibhai sio bure,lazima atakuwa anafanya udambu udambu,mambo flani mafekecho a.k.a ndumba kalawinze maana ukiingia hivi ye anatoka vile,kila ukibet unagongwa tuu..