Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Nnachoamini no one knows tomorrow! Ndio maana kwenye betting wanaweka odds kubwa kwa timu ndogo ikiwa inacheza na timu kubwa, hiyo kubwa wanaipa odds ndogo wakitarajia itashinda tu.. Ila kuna wakati matokeo yanakuwa negative
 
USHINDI WA KAMARI:

Hii ni spell rahisi itakayo kufanya ushinde michezo mbalimbali ya kamari.

lakini kumbuka kuwa kamari ni michezo mibaya na haramu lakini watu wamejikuta wakicheza na kulazimika kucheza kwa sababu imepewa kipaumbele maeneo mengi sana sasa kuliko kukosa kabisa na kupata madhambi yasiyo na faida heri utumie njia za kuweza kufilisi wahuni,

449528_origd885.jpg


Ushindi wa kamari sio tu unategemea bahati yako bali pia unategemea uwezo wako wa kuunganisha nguvu yako chanya kuweza kupata matokeo chanya na jinsi unavyoweza kutumia nguvu hii kubadili bahati yako mbaya na kuwa nzuri na kuepukana kukosa yale unayoyahitaji

kuna watu wengi wakiingia kucheza kamari hushinda jackpot lakini ukiwaangalia ni watu wa kawaida tu kama sisi hawana tofauti isipokuwa wanakuwa tu wamechannel vizuri nguvu zao za kufanya mambo kuwa chanya na wewe pia unaweza,

kitu unachotakiwa kufanya ni kuchannel nguvu yako ili uweze kupata kuaccess sehemu ya roho yako ambayo inaweza kuona ushindi ulipo yaani machale ya ushindi,

hivyo kitu cha kwanza ukisha channel hivyo basi utaona ni mchezo gani ambao ukicheza utashinda sio wote tunaweza kushinda mpira wa miguu bali wengine hutakiwa kuwa mashabiki tu na kushindania michezo mingine.

maisha sio rahisi na ili kuweza kuyaishi basi unatakiwa upate pesa kwanza za kukutosha na baada ya hapo ndio uweze kufanya mengine yaliyobaki

, Na pia kuwa na bahati katika maisha yako kuna weza kukusaidia kushinda na kufanikisha mambo mengi sana ya maisha na kuishi kwa bahati nasibu ndio asili ya mwanadamu kwa sababu unaishi hujui mambo yanaweza kukugeuka muda gani dakika yoyote mambo yanajengeka au yanaharibika, na kufanya spell kama hizi si kitu kibaya kwa sababu unachukua msaada kuchannel nguvu ya dunia na roho yako kufanikisha ushindi wako.

na wewe pia unaweza shinda bahati nasibu ikiwa tu utafanya spell ambayo ipo vema na itakayoendana na wewe.
kwa hivyo basi sasa na wewe badili maisha yako kwa kushinda jackpot moja uondoe madeni na uokoe mlolongo wako wa matumizi ya pesa yasiweze kukusumbua tena kumbuka few wins is enough for you to run your life,


pia kuna watu hufanya spell hizi zishindwe kufanya kazi kwa sababu mtu hajiamini wala hakubali ushindi wake na wala hata akishinda inakuwa hana raha wala haoni kuwa imetosha.
Also there are many who may try to cast the spell for the first time and if you have negative thoughts in your mind, don't even try to cast the spell or it may backfire on you. In that case let a professional cast the spell on your behalf.


JINSI YA KUFANYA:

images.jpg


Utatakiwa ufanye usiku wakati unaenda kulala, chukua bakuli la maji au chupa ya maji ya rose water, katika hilo jagi au chupa au kopo weka shilingi nyingi nyingi, halafu ziguse kwa kuingiza mkono kwenye maji hayo. na uanze kusema maneno yafuatayo:

"MORA PONITA PAISIE JOYE" mara 200 kisha toa mkono wako na uuweke kweny paji lako la uso ili maji yale yaguse kichwa chako

Ukimaliza nenda kalale utaota ndoto mtu anakufundisha mbinu zote za mchezo wowote wa kamali utakao muuliza humo ndotoni.

untitled_drawing_by_salomeu2-d6ewzir.png


Hii spell kwa uhakika wa kutoa pesa ni chini ya 2 hadi 3 milioni hivyo usifanye kwa kupiga zaidi ya pesa hizo utajisumbua tu

Kiongozi huyo atakayekuja kukupa muongozo ukiwa usingizini si anakuja kwa sura ya mtu na je hawezi taka umpatie kitu ili akufanyie utakayo au kukupa masharti yoyote yenye kukufanya mtu ujute baadae hebu tudadavulie kidogo tafadhali
 
kwanza,hayo maneno maana yake nini mkuu??
ila hii michezo ya kamari tunacheza tu lakini kanjibhai sio bure,lazima atakuwa anafanya udambu udambu,mambo flani mafekecho a.k.a ndumba kalawinze maana ukiingia hivi ye anatoka vile,kila ukibet unagongwa tuu..
Na wenye kamari nao wanafanya meditation za kuwaondolea wachezaji wa kamari bahati zao, Ngoma inogile
Kamali ni mchezo wa bahati tu, full stop.
Casino, Betting, Forex n.k. ukitaka kufaula fanya moja tu Become the House..., Sababu at the end the House Always Win... ? Kwanini Sababu Odds zipo stuck on their favor, Kwa kutumia probability mwisho wa siku punters (wachezaji) lazima walie na the House (Mchezeshaji)
 
Nnachoamini no one knows tomorrow! Ndio maana kwenye betting wanaweka odds kubwa kwa timu ndogo ikiwa inacheza na timu kubwa, hiyo kubwa wanaipa odds ndogo wakitarajia itashinda tu.. Ila kuna wakati matokeo yanakuwa negative
Njia rahisi ya kushinda hizo bet za mipira mkuu ni kujua nani anaanza basi waweza kushinda bila tatizo ndio maana hakuna live bet mkeka sawa?
 
Kiongozi huyo atakayekuja kukupa muongozo ukiwa usingizini si anakuja kwa sura ya mtu na je hawezi taka umpatie kitu ili akufanyie utakayo au kukupa masharti yoyote yenye kukufanya mtu ujute baadae hebu tudadavulie kidogo tafadhali
Hii ni nguvu ya kiroho inayokushukia iliyokuwa based kwenye gambling mkuu unatumia unatupa au unakaa nayo,
 
Screenshot_2018-09-07-19-39-59.png
Njia rahisi ya kushinda hizo bet za mipira mkuu ni kujua nani anaanza basi waweza kushinda bila tatizo ndio maana hakuna live bet mkeka sawa?
Sijakuelewa kwa kuangalia timu ya kwanza kuanza katika mpira ndio imeshinda? Nitafanyia kazi...

Kuhusu live bets zipo kaka
Njia rahisi ya kushinda hizo bet za mipira mkuu ni kujua nani anaanza basi waweza kushinda bila tatizo ndio maana hakuna live bet mkeka sawa?
Sijakuelewa kwa kuangalia timu ya kwanza kuanza katika mpira ndio imeshinda? Nitafanyia kazi...

Kuhusu live bets zipo kaka mfano hiyo hapo!
 
View attachment 859947
Sijakuelewa kwa kuangalia timu ya kwanza kuanza katika mpira ndio imeshinda? Nitafanyia kazi...

Kuhusu live bets zipo kaka

Sijakuelewa kwa kuangalia timu ya kwanza kuanza katika mpira ndio imeshinda? Nitafanyia kazi...

Kuhusu live bets zipo kaka mfano hiyo hapo!
Nina maana wakati wanaanza kucheza pale imeanzishwa katikati mechi lazima ujue saa iliyoanza?, timu iliyoanza? Coin iliyorushwa imelalia upande upi? Timu inayoanza imekalia upande gani? Hata goli zitafungana ngapi unaweza kufahamu mkuu,
Sasa bet ya mpira ni ngumu kwa sababu ya mahitaji, ndio maana mtu unakuta anabet gari au nyumba kutokana na possibilities anazokuwa keshapewa na astrologer wake, ulishawahi kuona nani anabet timu 4 kwa gari au nyumba?

Thinkbig

Rakims
 
USHINDI WA KAMARI:

Hii ni spell rahisi itakayo kufanya ushinde michezo mbalimbali ya kamari.

lakini kumbuka kuwa kamari ni michezo mibaya na haramu lakini watu wamejikuta wakicheza na kulazimika kucheza kwa sababu imepewa kipaumbele maeneo mengi sana sasa kuliko kukosa kabisa na kupata madhambi yasiyo na faida heri utumie njia za kuweza kufilisi wahuni,

449528_origd885.jpg


Ushindi wa kamari sio tu unategemea bahati yako bali pia unategemea uwezo wako wa kuunganisha nguvu yako chanya kuweza kupata matokeo chanya na jinsi unavyoweza kutumia nguvu hii kubadili bahati yako mbaya na kuwa nzuri na kuepukana kukosa yale unayoyahitaji

kuna watu wengi wakiingia kucheza kamari hushinda jackpot lakini ukiwaangalia ni watu wa kawaida tu kama sisi hawana tofauti isipokuwa wanakuwa tu wamechannel vizuri nguvu zao za kufanya mambo kuwa chanya na wewe pia unaweza,

kitu unachotakiwa kufanya ni kuchannel nguvu yako ili uweze kupata kuaccess sehemu ya roho yako ambayo inaweza kuona ushindi ulipo yaani machale ya ushindi,

hivyo kitu cha kwanza ukisha channel hivyo basi utaona ni mchezo gani ambao ukicheza utashinda sio wote tunaweza kushinda mpira wa miguu bali wengine hutakiwa kuwa mashabiki tu na kushindania michezo mingine.

maisha sio rahisi na ili kuweza kuyaishi basi unatakiwa upate pesa kwanza za kukutosha na baada ya hapo ndio uweze kufanya mengine yaliyobaki

, Na pia kuwa na bahati katika maisha yako kuna weza kukusaidia kushinda na kufanikisha mambo mengi sana ya maisha na kuishi kwa bahati nasibu ndio asili ya mwanadamu kwa sababu unaishi hujui mambo yanaweza kukugeuka muda gani dakika yoyote mambo yanajengeka au yanaharibika, na kufanya spell kama hizi si kitu kibaya kwa sababu unachukua msaada kuchannel nguvu ya dunia na roho yako kufanikisha ushindi wako.

na wewe pia unaweza shinda bahati nasibu ikiwa tu utafanya spell ambayo ipo vema na itakayoendana na wewe.
kwa hivyo basi sasa na wewe badili maisha yako kwa kushinda jackpot moja uondoe madeni na uokoe mlolongo wako wa matumizi ya pesa yasiweze kukusumbua tena kumbuka few wins is enough for you to run your life,

pia kuna watu hufanya spell hizi zishindwe kufanya kazi kwa sababu mtu hajiamini wala hakubali ushindi wake na wala hata akishinda inakuwa hana raha wala haoni kuwa imetosha.
Also there are many who may try to cast the spell for the first time and if you have negative thoughts in your mind, don't even try to cast the spell or it may backfire on you. In that case let a professional cast the spell on your behalf.

JINSI YA KUFANYA:

images.jpg


Utatakiwa ufanye usiku wakati unaenda kulala, chukua bakuli la maji au chupa ya maji ya rose water, katika hilo jagi au chupa au kopo weka shilingi nyingi nyingi, halafu ziguse kwa kuingiza mkono kwenye maji hayo. na uanze kusema maneno yafuatayo:

"MORA PONITA PAISIE JOYE" mara 200 kisha toa mkono wako na uuweke kweny paji lako la uso ili maji yale yaguse kichwa chako

Ukimaliza nenda kalale utaota ndoto mtu anakufundisha mbinu zote za mchezo wowote wa kamali utakao muuliza humo ndotoni.

untitled_drawing_by_salomeu2-d6ewzir.png

uH
Hii spell kwa uhakika wa kutoa pesa ni chini ya 2 hadi 3 milioni hivyo usifanye kwa kupiga zaidi ya pesa hizo utajisumbua tu

duuuuh, najifunza
 
Rakims ushawahi kujaribu ukapata majibu???
Afu haya makamuni ya betting sio kuna majini ndan yke??
 
Rakims ushawahi kujaribu ukapata majibu???
Afu haya makamuni ya betting sio kuna majini ndan yke??

na attachment yake nilishafanya mkuu, majini labda kama ukiita ukaweka akilini waje,
 
Back
Top Bottom