Sweetbert Bikonya
Member
- Aug 26, 2018
- 10
- 8
Pole kama ujaelewa maandiko kwenye biblia.Hayo ni maneno ya Mungu na yanaishi hata leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kama ujaelewa maandiko kwenye biblia.Hayo ni maneno ya Mungu na yanaishi hata leo.
Pole kama ujaelewa maandiko kwenye biblia.Hayo ni maneno ya Mungu na yanaishi hata leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah...cha Ajabu sijawahi sikia Rakims ameshinda kamari yoyote[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kupitia sayari ya nyota yako mkuu, nyota ambayo inatokana na jina lako na mama yakoUnaijuaje siku yako ya bahati?
Hii ni hali tu ya kujipa matumaini psychological unakuwa unafaraja kwamba ni kitu priceless unachokihusudu na utakipata tu, it not a big deal mkuuNaomba kuuliza, kuna wakati nawaza au huja fikra kuwa nimepata kazi au dili fulani ambayo hujiona nimetatua mambo kibaoooo halafu hujisikia nafsi yangu imepata nafuu na kutulia ilhali kiuhalisia mambo magumu kinoma..... Nini maana yake kuwa na hisia kama hizo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unairenew mkuuMkuu Rakims inamaana ukibahatika kushinda hiyo 2-3m baada ya hapo utatakiwa ku renew spell au ni kwamba unakua unashinda kiasi kisichozidi hicho in a daily basis??
[emoji23] [emoji23] [emoji23]nasubiri mrejesho kutoka kwa wazee wa kubet
Rejea maelezo jinsi ulivyofanya,Mimi nmefanya juzi na jana mkuu sijaona chochote tatizo litakuwa nini? @ Rakims
Nmechukua bakuli nikaweka shilingi nyingi nyingi za zamani then nikatia rose water after that nikaingiza mkono ndani ya bakuli huku nikiwa nmeshika shilingi na kuanza kuspel MORA PONITA PAISIE JOYE"×200 baada ya hapo nikatoa mkono na kushika paji la uso kisha nikaenda kulala
Bakuli la kigai cheupe na shilingi zinatakiwa ziwe 100,200,500 ziwe elfu 12 na rose water recomanded kale kadogo, best time usiku, ukiwa peke yako na utulize mawazo na akili bila woga wala fikra zingine mkuu, fanya hivyo you will donate 100 bucks for me tooNmechukua bakuli nikaweka shilingi nyingi nyingi za zamani then nikatia rose water after that nikaingiza mkono ndani ya bakuli huku nikiwa nmeshika shilingi na kuanza kuspel MORA PONITA PAISIE JOYE"×200 baada ya hapo nikatoa mkono na kushika paji la uso kisha nikaenda kulala
Poa mkuu bakuli la kigai mean la Udongo?Bakuli la kigai cheupe na shilingi zinatakiwa ziwe 100,200,500 ziwe elfu 12 na rose water recomanded kale kadogo, best time usiku, ukiwa peke yako na utulize mawazo na akili bila woga wala fikra zingine mkuu, fanya hivyo you will donate 100 bucks for me too
Rakims