Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Kila ndoto unayoota ni ushirikina?
Zipo ndoto zinazoletwa na "mapepo" ili kuwadanganya wanadamu. Usipokuwa makini utanapotezwa. Siyo ndoto zote lakini baadhi ya ndoto zinakuwa inspired by the Devil or his demons.
 
Zipo ndoto zinazoletwa na "mapepo" ili kuwadanganya wanadamu. Usipokuwa makini utanapotezwa. Siyo ndoto zote lakini baadhi ya ndoto zinakuwa inspired by the Devil or his demons.
Nafahamu hizi pumba mkuu, kila anayeota huona alichoota ni bora ya cha mwenzie, ndoto hutoka moja kati ya hizi sehemu 3

1: Allah/God 90%
2: Shaitan 5%
3: Ubongo 5%

Rakims
 
Unaweza tumia kwenye micbezo kama biko etc

Ova
 
Unaweza tumia kwenye micbezo kama biko etc

Ova
Biko itakubidi kwenye manuizi unuwie kujua saa na dakika za kucheza ikibidi na sekunde,, in general ni michezo yote ya kamari

Rakims
 
USHINDI WA KAMARI:

Hii ni spell rahisi itakayo kufanya ushinde michezo mbalimbali ya kamari.

lakini kumbuka kuwa kamari ni michezo mibaya na haramu lakini watu wamejikuta wakicheza na kulazimika kucheza kwa sababu imepewa kipaumbele maeneo mengi sana sasa kuliko kukosa kabisa na kupata madhambi yasiyo na faida heri utumie njia za kuweza kufilisi wahuni,


449528_origd885.jpg


Ushindi wa kamari sio tu unategemea bahati yako bali pia unategemea uwezo wako wa kuunganisha nguvu yako chanya kuweza kupata matokeo chanya na jinsi unavyoweza kutumia nguvu hii kubadili bahati yako mbaya na kuwa nzuri na kuepukana kukosa yale unayoyahitaji

kuna watu wengi wakiingia kucheza kamari hushinda jackpot lakini ukiwaangalia ni watu wa kawaida tu kama sisi hawana tofauti isipokuwa wanakuwa tu wamechannel vizuri nguvu zao za kufanya mambo kuwa chanya na wewe pia unaweza,

kitu unachotakiwa kufanya ni kuchannel nguvu yako ili uweze kupata kuaccess sehemu ya roho yako ambayo inaweza kuona ushindi ulipo yaani machale ya ushindi,

hivyo kitu cha kwanza ukisha channel hivyo basi utaona ni mchezo gani ambao ukicheza utashinda sio wote tunaweza kushinda mpira wa miguu bali wengine hutakiwa kuwa mashabiki tu na kushindania michezo mingine.

maisha sio rahisi na ili kuweza kuyaishi basi unatakiwa upate pesa kwanza za kukutosha na baada ya hapo ndio uweze kufanya mengine yaliyobaki

, Na pia kuwa na bahati katika maisha yako kuna weza kukusaidia kushinda na kufanikisha mambo mengi sana ya maisha na kuishi kwa bahati nasibu ndio asili ya mwanadamu kwa sababu unaishi hujui mambo yanaweza kukugeuka muda gani dakika yoyote mambo yanajengeka au yanaharibika, na kufanya spell kama hizi si kitu kibaya kwa sababu unachukua msaada kuchannel nguvu ya dunia na roho yako kufanikisha ushindi wako.

na wewe pia unaweza shinda bahati nasibu ikiwa tu utafanya spell ambayo ipo vema na itakayoendana na wewe.
kwa hivyo basi sasa na wewe badili maisha yako kwa kushinda jackpot moja uondoe madeni na uokoe mlolongo wako wa matumizi ya pesa yasiweze kukusumbua tena kumbuka few wins is enough for you to run your life,

pia kuna watu hufanya spell hizi zishindwe kufanya kazi kwa sababu mtu hajiamini wala hakubali ushindi wake na wala hata akishinda inakuwa hana raha wala haoni kuwa imetosha.
Also there are many who may try to cast the spell for the first time and if you have negative thoughts in your mind, don't even try to cast the spell or it may backfire on you. In that case let a professional cast the spell on your behalf.

JINSI YA KUFANYA:

images.jpg


Utatakiwa ufanye usiku wakati unaenda kulala, chukua bakuli la maji au chupa ya maji ya rose water, katika hilo jagi au chupa au kopo weka shilingi nyingi nyingi, halafu ziguse kwa kuingiza mkono kwenye maji hayo. na uanze kusema maneno yafuatayo:

"MORA PONITA PAISIE JOYE" mara 200 kisha toa mkono wako na uuweke kweny paji lako la uso ili maji yale yaguse kichwa chako


Ukimaliza nenda kalale utaota ndoto mtu anakufundisha mbinu zote za mchezo wowote wa kamali utakao muuliza humo ndotoni.

untitled_drawing_by_salomeu2-d6ewzir.png


Hii spell kwa uhakika wa kutoa pesa ni chini ya 2 hadi 3 milioni hivyo usifanye kwa kupiga zaidi ya pesa hizo utajisumbua tu

kwa haya na mengineyo tembelea Rakims Spiritual kusoma na kujifunza zaidi
Rakims
Watu tumetumika kwenye kamar kama watumwa na hatupat chocho leta hapa utufundishe
 
Je nitajishika kwenye paji la uso kwa dakika ngapi baada ya kumaliza kutamka hayo maneno?
 
HABARI
"Rakims,
Ndugu tamaa ya pesa ni kubwa na ni ya wengi sasa tafadhali Mtu asije kusema maneno hayo mara 200 mara PAAP kabadilika chatu.

LUMUMBA
Kuyasema mara200, je kuna mtu atakuwepo pembeni anakuhesabia, kisha ukifikisha idadi anakustopisha?

Maana kutamka maneno ya kigeni usiyoyaelewa maana, tena kwa njia ya kukariri mara200, sidhani kama unaweza kutimiza hesabu kiusahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuyasema mara200, je kuna mtu atakuwepo pembeni anakuhesabia, kisha ukifikisha idadi anakustopisha?

Maana kutamka maneno ya kigeni usiyoyaelewa maana, tena kwa njia ya kukariri mara200, sidhani kama unaweza kutimiza hesabu kiusahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu chukua app ipo play store inaitwa tasbihi au counter inafanya hizo kazi, au tengeneza ushanga kama unaona tabu

Rakims

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom