Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Mkuu Rakims.. Nimejaribu almost mara Tatu lakini bado sijapata matokeo.. Nothing.. No that dream nor what.. Anything wrong?

hapana mkuu ushauri wangu fanya leo saa sita usiku ukiwa na nia thabiti saa 6 usiku ni kwa leo tu ndio saa ndoto zinatawala jitahidi leo ufanye saa 6 usiku ukiwa umewasha udi na nia thabiti ya kutaka ushudie hilo na sio kujaribu na hakikisha ukijilaza usigeuke upande wowote hadi usingizi ukupitie na utakapo shtuka asubuhi usiguse sehemu ya kichwa hadi umalize kuiandika ndoto yako na pia kama umeshtuka kabla ya asubuhi muda huo huo ulioshtuka andika ndoto hiyo hapa yoyote utakayo ota post hapa takupa maana yake na mchezo unaotakiwa kubet, usiishie hapo leta mrejesho kamili ndoto yoyote wewe sema, na pia kama uliifanya kwa usahihi na hujaona majibu fuata maelekezo haya niliokupa na ufanye wa saa 11 jioni na ulale kama nusu saa au lisaa moja halafu niambie ulichoota

rakims
 
"MORA PONITA PAISIE JOYE" mara 200 kisha toa mkono wako na uuweke kweny paji lako la uso ili maji yale yaguse kichwa chako
Ukisikia ushirikina na kujitia mapepo kichwani ndiyo hii sasa. Yaani huu ni ushirikina wa hali ya juu kabisa. Huyo anayekuja kukuelekeza katika ndoto ni nani kama siyo Shetani Ibilisi?

Hakuna kitu cha bure, hapo ukishapata hizo pesa ni lazima utalipia tu, ndiyo hapo tunaanza kusikia mara ndugu wamepata ajali na kufa, mara nyumba imeungua moto usiku, mara mtoto amezaliwa taahira na mengine mengi tu. Hata siku moja Shetani hana mapenzi mema na Wanadamu.

Jamani jiepusheni na tamaa, tamaa ni mbaya na dini zote zinakemea tamaa. Imeandikwa tamaa ya pesa ni shina la maovu yote.
 
Ukisikia ushirikina na kujitia mapepo kichwani ndiyo hii sasa. Yaani huu ni ushirikina wa hali ya juu kabisa. Huyo anayekuja kukuelekeza katika ndoto ni nani kama siyo Shetani Ibilisi?

Hakuna kitu cha bure, hapo ukishapata hizo pesa ni lazima utalipia tu, ndiyo hapo tunaanza kusikia mara ndugu wamepata ajali na kufa, mara nyumba imeungua moto usiku, mara mtoto amezaliwa taahira na mengine mengi tu. Hata siku moja Shetani hana mapenzi mema na Wanadamu.

Jamani jiepusheni na tamaa, tamaa ni mbaya na dini zote zinakemea tamaa. Imeandikwa tamaa ya pesa ni shina la maovu yote.
Yani umepita mulemule urafiki na majini unaazia hapooo kwenye ndoto ukishaingia kwenye miadi tu laima utaua
 
Nguvu za pesa ni hatari waezajikuta unafuga majini nanushindwe kuyakwepa.

Au maana ya hayo maneno unamtukana Mungu kabsaa tuwe makini.

Pesa ni tamu tatizo hatuishi milele hivyo ni muhimu kuangalia tuendako zaidi
Kabla hujasema kitu chunguza kwani umekosa translate ya hayo maneno hadi useme yanaweza kuwa yanamtukana mungu? Acha kukurupuka fanya research ndio uje uzungumze thats how jamii intelligence work,

Rakims
 
Kabla hujasema kitu chunguza kwani umekosa translate ya hayo maneno hadi useme yanaweza kuwa yanamtukana mungu? Acha kukurupuka fanya research ndio uje uzungumze thats how jamii intelligence work,

Rakims
Toa tafsri ya hayo maneno hafu kwenye ndoto ni viumbe gani wanao kufundisha?
 
Ukisikia ushirikina na kujitia mapepo kichwani ndiyo hii sasa. Yaani huu ni ushirikina wa hali ya juu kabisa. Huyo anayekuja kukuelekeza katika ndoto ni nani kama siyo Shetani Ibilisi?

Hakuna kitu cha bure, hapo ukishapata hizo pesa ni lazima utalipia tu, ndiyo hapo tunaanza kusikia mara ndugu wamepata ajali na kufa, mara nyumba imeungua moto usiku, mara mtoto amezaliwa taahira na mengine mengi tu. Hata siku moja Shetani hana mapenzi mema na Wanadamu.

Jamani jiepusheni na tamaa, tamaa ni mbaya na dini zote zinakemea tamaa. Imeandikwa tamaa ya pesa ni shina la maovu yote.
Kila ndoto unayoota ni ushirikina?
 
Toa tafsri ya hayo maneno hafu kwenye ndoto ni viumbe gani wanao kufundisha?
Tafuta dictionary na nenda google
Ulishaona wapi mtu aliyekufundisha anakuhifadhia na kichwan
 
sawa mkuu
hapana mkuu ushauri wangu fanya leo saa sita usiku ukiwa na nia thabiti saa 6 usiku ni kwa leo tu ndio saa ndoto zinatawala jitahidi leo ufanye saa 6 usiku ukiwa umewasha udi na nia thabiti ya kutaka ushudie hilo na sio kujaribu na hakikisha ukijilaza usigeuke upande wowote hadi usingizi ukupitie na utakapo shtuka asubuhi usiguse sehemu ya kichwa hadi umalize kuiandika ndoto yako na pia kama umeshtuka kabla ya asubuhi muda huo huo ulioshtuka andika ndoto hiyo hapa yoyote utakayo ota post hapa takupa maana yake na mchezo unaotakiwa kubet, usiishie hapo leta mrejesho kamili ndoto yoyote wewe sema, na pia kama uliifanya kwa usahihi na hujaona majibu fuata maelekezo haya niliokupa na ufanye wa saa 11 jioni na ulale kama nusu saa au lisaa moja halafu niambie ulichoota

rakims
 
Rakims hayo maji ya rose water yanauzwa au unachanganya maua ya rose na maji ya kawaida..pili unatumia shilingi hizi 50, 100, 500,au ni zile za zamani? Na mwisho hayo maneno yanatamkwa kama yalivyoandikwa?
teh teh kwa hiyo unataka ucheze ?? awamu hii tutaona mengi
 
Back
Top Bottom