Ile ni Hesabu ya kiwango cha juu na ndio maana ya kubeti ukigundua siri wala hutajuta kucheza hakuna cha laana wala nini kama uko fit jipange siku nikupe timu mbili na matokeo yake bureee kabisa utanishukuru mkeka ukitiki.kwanza,hayo maneno maana yake nini mkuu??
ila hii michezo ya kamari tunacheza tu lakini kanjibhai sio bure,lazima atakuwa anafanya udambu udambu,mambo flani mafekecho a.k.a ndumba kalawinze maana ukiingia hivi ye anatoka vile,kila ukibet unagongwa tuu..
Ile ni Hesabu ya kiwango cha juu na ndio maana ya kubeti ukigundua siri wala hutajuta kucheza hakuna cha laana wala nini kama uko fit jipange siku nikupe timu mbili na matokeo yake bureee kabisa utanishukuru mkeka ukitiki.
naomba maelekezo mkuuvipo vingi mkuu vinavyokuza hiyo dude hata unga wa haltiti
Hapana mkuu unaita kiumbe ambaye anaweza kukusaidia katika kukokotoa hesabu za kubadhiri mara nyingi sisi hutumia baada ya kukamilisha hesabu ndio tunaangalia na yeye kaleta vipi.Mweeee mkuu kwelii??? Sio hayo maneno ukawa unamwita popobawa aje kukushughulikiaView attachment 1527960
Eti mganga hajigangi🤣🤣🤣Umeshinda mingap tuanzie hapo ...
Daaah uwe unatupa hata timu moja tuMingi mkuu sio michache
Fanya ivo mkuu hat tmu mbil tuIle ni Hesabu ya kiwango cha juu na ndio maana ya kubeti ukigundua siri wala hutajuta kucheza hakuna cha laana wala nini kama uko fit jipange siku nikupe timu mbili na matokeo yake bureee kabisa utanishukuru mkeka ukitiki.
Mkuu kwenye swala la Rawiti alishaprove hiyo kitu Ni real kabisa Wala sio Jambo la kubahatisha mkuu.....Fanya ivo mkuu hat tmu mbil tu
Nitahitaji kujua siku saa na dakika ambayo mpira husika utachezwa na rangi ya jezi watakazovaa na upande upi itakaa timu ipi kipindi cha kwanza pia eneo watakalo kuwepo ni nchi gani.Fanya ivo mkuu hat tmu mbil tu
Daahh mkuu ongeza maelezo/nyama kidog ili nijiongeze mwenyew bado kuna vitu nakosa hapoNitahitaji kujua siku saa na dakika ambayo mpira husika utachezwa na rangi ya jezi watakazovaa na upande upi itakaa timu ipi kipindi cha kwanza pia eneo watakalo kuwepo ni nchi gani.
Ukizijua hizo details unaweza kubashiri ushindani wowote katika nchi husika
Rakims
na rangi ya jezi watakazovaa na upande upi itakaa timu ipi kipindi cha kwanza pia eneo watakalo kuwepo ni nchi gani.Upande upi mkuu?
Ndio maana wenye kushinda sana beti za mipira ni wenye kubet live bet mkuu hususani watu wanaokuwa wanautizama mchezo katika asilimia [emoji817] ya watu wanaobeti mipira 85% hushinda live betna rangi ya jezi watakazovaa na upande upi itakaa timu ipi kipindi cha kwanza pia eneo watakalo kuwepo ni nchi gani.
Mmhh hay banaNdio maana wenye kushinda sana beti za mipira ni wenye kubet live bet mkuu hususani watu wanaokuwa wanautizama mchezo katika asilimia [emoji817] ya watu wanaobeti mipira 85% hushinda live bet
Rakims