Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Meridian bet
Kwanza kabisa unatakiwa kujua nyota yako ni ipi mipango ya nyumba na sayari ya bahati nasibu ipo vipi kwenye chart yako ya nyota kisha tutapata humo thamani ya namba tutakuja kurudi kwenye muandamo wa mwezi huu tulionao sasa kisha tutajua ni siku zipi za bahati kwako na kiasi gani na mizunguko mingapi unaweza kufanya kwa hizo siku kwa uhakika kisha dau gani unaweza na ukae wapi au uelekee wapi wakati unacheza au kuweka dau kisha utaona ajabu,

Ili kuweza kujua nyota yako nitahitaji jina lako na Jina la mama tarehe mwezi na mwaka wa kuzaliwa pamoja na pesa ya kuchambulia sh elfu 5 unalipa kwa airtel money kama upo teyari nikupe namba,

Lakini pia kama unaona tabu kulipia na mimi nikakuchambulia basi unaweza kuchambua mwenyewe kupitia kwenye thread yangu ya nyota ukajijua upo wapi na unatakiwa kufanya vipi vingine vitakavyobaki ni maelekezo yangu tu

Rakims
 
Nyota yangu naifaham, namba ya bahati naifahamu, siku ya bahati naifahamu na sayari yangu naifaham
 
Nyota yangu naifaham, namba ya bahati naifahamu, siku ya bahati naifahamu na sayari yangu naifaham
Ok mkuu hiyo ni nyota tuje kwenye milango ya nyota yako niambie mlango wako wa 5 upo vipi halafu uniambie uelekeo wa nyota yako na huu mwezi upo katika vipimo vipi na siku zako nzuri nikupe saa ya kutumia kwenye hizo siku na kiasi cha bet

Rakims
 
Ok mkuu hiyo ni nyota tuje kwenye milango ya nyota yako niambie mlango wako wa 5 upo vipi halafu uniambie uelekeo wa nyota yako na huu mwezi upo katika vipimo vipi na siku zako nzuri nikupe saa ya kutumia kwenye hizo siku na kiasi cha bet

Rakims
Hiyo milango ndiyo siifahamu
 
Ok mkuu hiyo ni nyota tuje kwenye milango ya nyota yako niambie mlango wako wa 5 upo vipi halafu uniambie uelekeo wa nyota yako na huu mwezi upo katika vipimo vipi na siku zako nzuri nikupe saa ya kutumia kwenye hizo siku na kiasi cha bet

Rakims
Mkuu samahani.....Inamaana mwingine akitumia hiyo bet atakayoweka jamaa baada ya kumtazamia hatofanikisha!??
 
Mkuu samahani.....Inamaana mwingine akitumia hiyo bet atakayoweka jamaa baada ya kumtazamia hatofanikisha!??
Hawezi kufanikiwa isipokuwa mipira tu ila kwenye games za gambling anakuwa tofauti na wengine
 
Ok mkuu hiyo ni nyota tuje kwenye milango ya nyota yako niambie mlango wako wa 5 upo vipi halafu uniambie uelekeo wa nyota yako na huu mwezi upo katika vipimo vipi na siku zako nzuri nikupe saa ya kutumia kwenye hizo siku na kiasi cha bet

Rakims
Mlango wangu ni wa 12
 
Mkuu Rakims nimeku pm siku nyingi Sanaa hau reply.....nisaidie Basi mawasiliano yako
 
Wewe mchawi
 
Huu Uzi bado upo, vip mirejesho asee
Wacha nikuje kwako mkuu nipate maarifa
Vip naruhusiwa kuja inbox
 
Ile ni Hesabu ya kiwango cha juu na ndio maana ya kubeti ukigundua siri wala hutajuta kucheza hakuna cha laana wala nini kama uko fit jipange siku nikupe timu mbili na matokeo yake bureee kabisa utanishukuru mkeka ukitiki.
mkuu
 
Hivi hakuna mtu aliyejaribu akapata pesa kwa njia hiyo?... Mrejesho...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…