Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Meridian bet
Kwanza kabisa unatakiwa kujua nyota yako ni ipi mipango ya nyumba na sayari ya bahati nasibu ipo vipi kwenye chart yako ya nyota kisha tutapata humo thamani ya namba tutakuja kurudi kwenye muandamo wa mwezi huu tulionao sasa kisha tutajua ni siku zipi za bahati kwako na kiasi gani na mizunguko mingapi unaweza kufanya kwa hizo siku kwa uhakika kisha dau gani unaweza na ukae wapi au uelekee wapi wakati unacheza au kuweka dau kisha utaona ajabu,

Ili kuweza kujua nyota yako nitahitaji jina lako na Jina la mama tarehe mwezi na mwaka wa kuzaliwa pamoja na pesa ya kuchambulia sh elfu 5 unalipa kwa airtel money kama upo teyari nikupe namba,

Lakini pia kama unaona tabu kulipia na mimi nikakuchambulia basi unaweza kuchambua mwenyewe kupitia kwenye thread yangu ya nyota ukajijua upo wapi na unatakiwa kufanya vipi vingine vitakavyobaki ni maelekezo yangu tu

Rakims
 
Kwanza kabisa unatakiwa kujua nyota yako ni ipi mipango ya nyumba na sayari ya bahati nasibu ipo vipi kwenye chart yako ya nyota kisha tutapata humo thamani ya namba tutakuja kurudi kwenye muandamo wa mwezi huu tulionao sasa kisha tutajua ni siku zipi za bahati kwako na kiasi gani na mizunguko mingapi unaweza kufanya kwa hizo siku kwa uhakika kisha dau gani unaweza na ukae wapi au uelekee wapi wakati unacheza au kuweka dau kisha utaona ajabu,

Ili kuweza kujua nyota yako nitahitaji jina lako na Jina la mama tarehe mwezi na mwaka wa kuzaliwa pamoja na pesa ya kuchambulia sh elfu 5 unalipa kwa airtel money kama upo teyari nikupe namba,

Lakini pia kama unaona tabu kulipia na mimi nikakuchambulia basi unaweza kuchambua mwenyewe kupitia kwenye thread yangu ya nyota ukajijua upo wapi na unatakiwa kufanya vipi vingine vitakavyobaki ni maelekezo yangu tu

Rakims
Nyota yangu naifaham, namba ya bahati naifahamu, siku ya bahati naifahamu na sayari yangu naifaham
 
Nyota yangu naifaham, namba ya bahati naifahamu, siku ya bahati naifahamu na sayari yangu naifaham
Ok mkuu hiyo ni nyota tuje kwenye milango ya nyota yako niambie mlango wako wa 5 upo vipi halafu uniambie uelekeo wa nyota yako na huu mwezi upo katika vipimo vipi na siku zako nzuri nikupe saa ya kutumia kwenye hizo siku na kiasi cha bet

Rakims
 
Ok mkuu hiyo ni nyota tuje kwenye milango ya nyota yako niambie mlango wako wa 5 upo vipi halafu uniambie uelekeo wa nyota yako na huu mwezi upo katika vipimo vipi na siku zako nzuri nikupe saa ya kutumia kwenye hizo siku na kiasi cha bet

Rakims
Hiyo milango ndiyo siifahamu
 
Ok mkuu hiyo ni nyota tuje kwenye milango ya nyota yako niambie mlango wako wa 5 upo vipi halafu uniambie uelekeo wa nyota yako na huu mwezi upo katika vipimo vipi na siku zako nzuri nikupe saa ya kutumia kwenye hizo siku na kiasi cha bet

Rakims
Mkuu samahani.....Inamaana mwingine akitumia hiyo bet atakayoweka jamaa baada ya kumtazamia hatofanikisha!??
 
Mkuu samahani.....Inamaana mwingine akitumia hiyo bet atakayoweka jamaa baada ya kumtazamia hatofanikisha!??
Hawezi kufanikiwa isipokuwa mipira tu ila kwenye games za gambling anakuwa tofauti na wengine
 
Ok mkuu hiyo ni nyota tuje kwenye milango ya nyota yako niambie mlango wako wa 5 upo vipi halafu uniambie uelekeo wa nyota yako na huu mwezi upo katika vipimo vipi na siku zako nzuri nikupe saa ya kutumia kwenye hizo siku na kiasi cha bet

Rakims
Mlango wangu ni wa 12
 
Mkuu Rakims nimeku pm siku nyingi Sanaa hau reply.....nisaidie Basi mawasiliano yako
 
USHINDI WA KAMARI:

Hii ni spell rahisi itakayo kufanya ushinde michezo mbalimbali ya kamari.

lakini kumbuka kuwa kamari ni michezo mibaya na haramu lakini watu wamejikuta wakicheza na kulazimika kucheza kwa sababu imepewa kipaumbele maeneo mengi sana sasa kuliko kukosa kabisa na kupata madhambi yasiyo na faida heri utumie njia za kuweza kufilisi wahuni,

449528_origd885.jpg


Ushindi wa kamari sio tu unategemea bahati yako bali pia unategemea uwezo wako wa kuunganisha nguvu yako chanya kuweza kupata matokeo chanya na jinsi unavyoweza kutumia nguvu hii kubadili bahati yako mbaya na kuwa nzuri na kuepukana kukosa yale unayoyahitaji

kuna watu wengi wakiingia kucheza kamari hushinda jackpot lakini ukiwaangalia ni watu wa kawaida tu kama sisi hawana tofauti isipokuwa wanakuwa tu wamechannel vizuri nguvu zao za kufanya mambo kuwa chanya na wewe pia unaweza,

kitu unachotakiwa kufanya ni kuchannel nguvu yako ili uweze kupata kuaccess sehemu ya roho yako ambayo inaweza kuona ushindi ulipo yaani machale ya ushindi,

hivyo kitu cha kwanza ukisha channel hivyo basi utaona ni mchezo gani ambao ukicheza utashinda sio wote tunaweza kushinda mpira wa miguu bali wengine hutakiwa kuwa mashabiki tu na kushindania michezo mingine.

maisha sio rahisi na ili kuweza kuyaishi basi unatakiwa upate pesa kwanza za kukutosha na baada ya hapo ndio uweze kufanya mengine yaliyobaki

, Na pia kuwa na bahati katika maisha yako kuna weza kukusaidia kushinda na kufanikisha mambo mengi sana ya maisha na kuishi kwa bahati nasibu ndio asili ya mwanadamu kwa sababu unaishi hujui mambo yanaweza kukugeuka muda gani dakika yoyote mambo yanajengeka au yanaharibika, na kufanya spell kama hizi si kitu kibaya kwa sababu unachukua msaada kuchannel nguvu ya dunia na roho yako kufanikisha ushindi wako.

na wewe pia unaweza shinda bahati nasibu ikiwa tu utafanya spell ambayo ipo vema na itakayoendana na wewe.
kwa hivyo basi sasa na wewe badili maisha yako kwa kushinda jackpot moja uondoe madeni na uokoe mlolongo wako wa matumizi ya pesa yasiweze kukusumbua tena kumbuka few wins is enough for you to run your life,

pia kuna watu hufanya spell hizi zishindwe kufanya kazi kwa sababu mtu hajiamini wala hakubali ushindi wake na wala hata akishinda inakuwa hana raha wala haoni kuwa imetosha.
Also there are many who may try to cast the spell for the first time and if you have negative thoughts in your mind, don't even try to cast the spell or it may backfire on you. In that case let a professional cast the spell on your behalf.

JINSI YA KUFANYA:

images.jpg


Utatakiwa ufanye usiku wakati unaenda kulala, chukua bakuli la maji au chupa ya maji ya rose water, katika hilo jagi au chupa au kopo weka shilingi nyingi nyingi, halafu ziguse kwa kuingiza mkono kwenye maji hayo. na uanze kusema maneno yafuatayo:

"MORA PONITA PAISIE JOYE" mara 200 kisha toa mkono wako na uuweke kweny paji lako la uso ili maji yale yaguse kichwa chako

Ukimaliza nenda kalale utaota ndoto mtu anakufundisha mbinu zote za mchezo wowote wa kamali utakao muuliza humo ndotoni.

untitled_drawing_by_salomeu2-d6ewzir.png


Hii spell kwa uhakika wa kutoa pesa ni chini ya 2 hadi 3 milioni hivyo usifanye kwa kupiga zaidi ya pesa hizo utajisumbua tu



Baadhi ya majaribio ni hapo chini

RakimsView attachment 1537396View attachment 1537395View attachment 1537397


NB:
Ingawa watu wengi wanashinda michezo ya bahati nasibu yenye majina mengi mengi mazuri, hii haifanyi kamari kuwa nzuri isipokuwa ni haramu kama haramu zingine tu

Dini zote zinakataza mambo haramu kumbuka.

Rakims
Wewe mchawi
 
Ile ni Hesabu ya kiwango cha juu na ndio maana ya kubeti ukigundua siri wala hutajuta kucheza hakuna cha laana wala nini kama uko fit jipange siku nikupe timu mbili na matokeo yake bureee kabisa utanishukuru mkeka ukitiki.
mkuu
 
Hivi hakuna mtu aliyejaribu akapata pesa kwa njia hiyo?... Mrejesho...
 
Back
Top Bottom