Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

sasa mkuu! unapotoa maelekezo ni vyema ukatoa maelekezo yaliyokamilika na si nusu nusu

maana ulivyoelekeza pale juu tofauti na ulivyoelekeza hapa chini nadhani hata wewe mwenyewe unaona

hapa chini kuna vitu vimeongezeka kama kulala kuanzia saa sita, ukilala upande mmoja hutakiwi kuveuka, kuchoma udi, usijishike kichwani, uandike ndoka uliyoota pale unaposhtuka

sasa hivi vitu vyote ulitakiwa uviandike kwa pamoja ili mtu ajue mahitaji ni kitu fln
 
sasa we ndio unatuuza hapo kaka , mbona muda wote unaongeza mambo!? sasa hv unasema bakuli la kigaye cheupe na sarafu ziwe za 12 elf! sasa .walimu gani hutoi maelekezo ya kutosha? mtu akiyafanya ayo utaongeza tena kitu ki gine.

unatakiwa utoe maelezo yanayojitosheleza kama
 
Huo ni mkazo tu na msisitizo wa mada husika
 
Duh nitajaribu na hizo silver zinatakiwa ziwe ngapi kwa idadi? Au hata kumi zinatosha
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Maisha magumu sana acha niendelee kucheka tu
 
Wakuu kama kuna mtu ameshafanyia kazi hili andiko naomba mrejesho wa matokeo yake
 
Dah...cha Ajabu sijawahi sikia Rakims ameshinda kamari yoyote[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
...Sijawahi kuona Maneno yanayotakiwa kutamkwa kwenye Ganguzi mbali mbali, yakini Chini ya 100!
Ni lazima yawe Mia na Kuendelea! [emoji57]
Nasubiri siku kuambiwa ' Rudia maneno haya,,, Mara Kumi TU [emoji1][emoji1][emoji1]!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…