Rakims
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 5,002
- 4,571
- Thread starter
- #281
Ndio mkuu lakini fuatilia pia channel yangu hii kuweza kujifunza zaidi https://www.youtube.com/channel/UCtFJDNV8M2sc7VUPr_miulw/videosBila shaka ni hivi karibuni mkuu Rakims.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu lakini fuatilia pia channel yangu hii kuweza kujifunza zaidi https://www.youtube.com/channel/UCtFJDNV8M2sc7VUPr_miulw/videosBila shaka ni hivi karibuni mkuu Rakims.
sasa mkuu! unapotoa maelekezo ni vyema ukatoa maelekezo yaliyokamilika na si nusu nusuhapana mkuu ushauri wangu fanya leo saa sita usiku ukiwa na nia thabiti saa 6 usiku ni kwa leo tu ndio saa ndoto zinatawala jitahidi leo ufanye saa 6 usiku ukiwa umewasha udi na nia thabiti ya kutaka ushudie hilo na sio kujaribu na hakikisha ukijilaza usigeuke upande wowote hadi usingizi ukupitie na utakapo shtuka asubuhi usiguse sehemu ya kichwa hadi umalize kuiandika ndoto yako na pia kama umeshtuka kabla ya asubuhi muda huo huo ulioshtuka andika ndoto hiyo hapa yoyote utakayo ota post hapa takupa maana yake na mchezo unaotakiwa kubet, usiishie hapo leta mrejesho kamili ndoto yoyote wewe sema, na pia kama uliifanya kwa usahihi na hujaona majibu fuata maelekezo haya niliokupa na ufanye wa saa 11 jioni na ulale kama nusu saa au lisaa moja halafu niambie ulichoota
rakims
sasa we ndio unatuuza hapo kaka , mbona muda wote unaongeza mambo!? sasa hv unasema bakuli la kigaye cheupe na sarafu ziwe za 12 elf! sasa .walimu gani hutoi maelekezo ya kutosha? mtu akiyafanya ayo utaongeza tena kitu ki gine.Bakuli la kigai cheupe na shilingi zinatakiwa ziwe 100,200,500 ziwe elfu 12 na rose water recomanded kale kadogo, best time usiku, ukiwa peke yako na utulize mawazo na akili bila woga wala fikra zingine mkuu, fanya hivyo you will donate 100 bucks for me too
Rakims
Bakuri la kigai cheupe, ndiyo bakuli la vipi?Zipo mbinu tofauti tofauti nitafundisha
Huo ni mkazo tu na msisitizo wa mada husikasasa mkuu! unapotoa maelekezo ni vyema ukatoa maelekezo yaliyokamilika na si nusu nusu
maana ulivyoelekeza pale juu tofauti na ulivyoelekeza hapa chini nadhani hata wewe mwenyewe unaona
hapa chini kuna vitu vimeongezeka kama kulala kuanzia saa sita, ukilala upande mmoja hutakiwi kuveuka, kuchoma udi, usijishike kichwani, uandike ndoka uliyoota pale unaposhtuka
sasa hivi vitu vyote ulitakiwa uviandike kwa pamoja ili mtu ajue mahitaji ni kitu fln
Nielekeze bossKuna kombe inaandikwa kisha unamwagia mazao na nyingine unanywesha mifugo inazaliana kama utitili.
Ipoje hii mkuuvipo vingi mkuu vinavyokuza hiyo dude hata unga wa haltiti
...Sijawahi kuona Maneno yanayotakiwa kutamkwa kwenye Ganguzi mbali mbali, yakini Chini ya 100!Dah...cha Ajabu sijawahi sikia Rakims ameshinda kamari yoyote[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]