Jinsi ya kushinda michezo ya kamari


Wajinga ndiwo waliwao

Mchezeshaji kamari siku zote ndiyeu mshindi huchukuwa zaidi ya 90%
 
Mkuu aviator ni shida. Nakumbuka niliiset auto cashout kwenye 1.3 odds, ilichonifanya ni Mungu pekee ndio shahid
Mkuu auto cashout haifanyo kazi nahisi maana hata mimi mara kadhaa imetokea hii....

Kuna jamaa naona ameshinda mwez huu mil 52 kwakutumia 5000 ..
Mpaka nimehisi kuna namna....ngoja ake Rakims atupe muongozo
 
Juzi nilipata mgao Jackpot nilichofanya Mungu ndio anajua ni bahati tu,
 
Mkuu auto cashout haifanyo kazi nahisi maana hata mimi mara kadhaa imetokea hii....

Kuna jamaa naona ameshinda mwez huu mil 52 kwakutumia 5000 ..
Mpaka nimehisi kuna namna....ngoja ake Rakims atupe muongozo
Mkuu auto ipo vizuri, sema nilipoweka 1.3, ikawa inachezea under 1.3. Hadi hela ikaisha yote. Hilo dude ni hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…