Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,090
- 13,511
Mkuu nikupe mechi moja unitabirie kwa hizi detailsIjulikane wanacheza wapi nani yupo nyumbani na nani mgeni, jersey gani wanavaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nikupe mechi moja unitabirie kwa hizi detailsIjulikane wanacheza wapi nani yupo nyumbani na nani mgeni, jersey gani wanavaa
Manchester united jezi nyekunduKaribu
Malizia maelekezo yake mkuu. Nani yupo nyumbani na nani ugenini. Me nimebet man city atashinda. Game itaisha 1:3Manchester united jezi nyekundu
Vs
Manchester City jezi light blue
Muda ni 15:30 Tz (12:30 uingereza)
USHINDI WA KAMARI:
Hii ni spell rahisi itakayo kufanya ushinde michezo mbalimbali ya kamari.
lakini kumbuka kuwa kamari ni michezo mibaya na haramu lakini watu wamejikuta wakicheza na kulazimika kucheza kwa sababu imepewa kipaumbele maeneo mengi sana sasa kuliko kukosa kabisa na kupata madhambi yasiyo na faida heri utumie njia za kuweza kufilisi wahuni,
![]()
Ushindi wa kamari sio tu unategemea bahati yako bali pia unategemea uwezo wako wa kuunganisha nguvu yako chanya kuweza kupata matokeo chanya na jinsi unavyoweza kutumia nguvu hii kubadili bahati yako mbaya na kuwa nzuri na kuepukana kukosa yale unayoyahitaji
kuna watu wengi wakiingia kucheza kamari hushinda jackpot lakini ukiwaangalia ni watu wa kawaida tu kama sisi hawana tofauti isipokuwa wanakuwa tu wamechannel vizuri nguvu zao za kufanya mambo kuwa chanya na wewe pia unaweza,
kitu unachotakiwa kufanya ni kuchannel nguvu yako ili uweze kupata kuaccess sehemu ya roho yako ambayo inaweza kuona ushindi ulipo yaani machale ya ushindi,
hivyo kitu cha kwanza ukisha channel hivyo basi utaona ni mchezo gani ambao ukicheza utashinda sio wote tunaweza kushinda mpira wa miguu bali wengine hutakiwa kuwa mashabiki tu na kushindania michezo mingine.
maisha sio rahisi na ili kuweza kuyaishi basi unatakiwa upate pesa kwanza za kukutosha na baada ya hapo ndio uweze kufanya mengine yaliyobaki
, Na pia kuwa na bahati katika maisha yako kuna weza kukusaidia kushinda na kufanikisha mambo mengi sana ya maisha na kuishi kwa bahati nasibu ndio asili ya mwanadamu kwa sababu unaishi hujui mambo yanaweza kukugeuka muda gani dakika yoyote mambo yanajengeka au yanaharibika, na kufanya spell kama hizi si kitu kibaya kwa sababu unachukua msaada kuchannel nguvu ya dunia na roho yako kufanikisha ushindi wako.
na wewe pia unaweza shinda bahati nasibu ikiwa tu utafanya spell ambayo ipo vema na itakayoendana na wewe.
kwa hivyo basi sasa na wewe badili maisha yako kwa kushinda jackpot moja uondoe madeni na uokoe mlolongo wako wa matumizi ya pesa yasiweze kukusumbua tena kumbuka few wins is enough for you to run your life,
pia kuna watu hufanya spell hizi zishindwe kufanya kazi kwa sababu mtu hajiamini wala hakubali ushindi wake na wala hata akishinda inakuwa hana raha wala haoni kuwa imetosha.
Also there are many who may try to cast the spell for the first time and if you have negative thoughts in your mind, don't even try to cast the spell or it may backfire on you. In that case let a professional cast the spell on your behalf.
JINSI YA KUFANYA:
![]()
Utatakiwa ufanye usiku wakati unaenda kulala, chukua bakuli la maji au chupa ya maji ya rose water, katika hilo jagi au chupa au kopo weka shilingi nyingi nyingi, halafu ziguse kwa kuingiza mkono kwenye maji hayo. na uanze kusema maneno yafuatayo:
"MORA PONITA PAISIE JOYE" mara 200 kisha toa mkono wako na uuweke kweny paji lako la uso ili maji yale yaguse kichwa chako
Ukimaliza nenda kalale utaota ndoto mtu anakufundisha mbinu zote za mchezo wowote wa kamali utakao muuliza humo ndotoni.
![]()
Hii spell kwa uhakika wa kutoa pesa ni chini ya 2 hadi 3 milioni hivyo usifanye kwa kupiga zaidi ya pesa hizo utajisumbua tu
Baadhi ya majaribio ni hapo chini
RakimsView attachment 1537396View attachment 1537395View attachment 1537397
NB:
Ingawa watu wengi wanashinda michezo ya bahati nasibu yenye majina mengi mengi mazuri, hii haifanyi kamari kuwa nzuri isipokuwa ni haramu kama haramu zingine tu
Dini zote zinakataza mambo haramu kumbuka.
Kwa haya na mengineyo:
Tembelea:
Rakims
Man U nyumbaniManchester united jezi nyekundu
Vs
Manchester City jezi light blue
Muda ni 15:30 Tz (12:30 uingereza)
Mkuu aliweka kila ulichosema, na game ilishachezwa.Haijajitosheleza
Mkuu aviator ni shida. Nakumbuka niliiset auto cashout kwenye 1.3 odds, ilichonifanya ni Mungu pekee ndio shahidMkuu Rakims vipi uwezekano wa kushinda mil 10 kupitia Aviator .....hii spell itafaa pia??
Mkuu auto cashout haifanyo kazi nahisi maana hata mimi mara kadhaa imetokea hii....Mkuu aviator ni shida. Nakumbuka niliiset auto cashout kwenye 1.3 odds, ilichonifanya ni Mungu pekee ndio shahid
Ndo unaicheza vp iyo aviatorMkuu auto cashout haifanyo kazi nahisi maana hata mimi mara kadhaa imetokea hii....
Kuna jamaa naona ameshinda mwez huu mil 52 kwakutumia 5000 ..
Mpaka nimehisi kuna namna....ngoja ake Rakims atupe muongozo
Mkuu auto ipo vizuri, sema nilipoweka 1.3, ikawa inachezea under 1.3. Hadi hela ikaisha yote. Hilo dude ni hatari.Mkuu auto cashout haifanyo kazi nahisi maana hata mimi mara kadhaa imetokea hii....
Kuna jamaa naona ameshinda mwez huu mil 52 kwakutumia 5000 ..
Mpaka nimehisi kuna namna....ngoja ake Rakims atupe muongozo
Kindege kinapaa ....muda unavyoongezeka Kwa hiyo ndege kukaa hewani ndio na pesa yako inaongezeka, Sportybet ipo unaweza angalia kwenye upande wa games.Ndo unaicheza vp iyo aviator
Hahaha balaa mkuu. nataka nijaribu mbinu ya mkuu rakims nione itakuwaje.Mkuu auto ipo vizuri, sema nilipoweka 1.3, ikawa inachezea under 1.3. Hadi hela ikaisha yote. Hilo dude ni hatari.