Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu games gani hata 3 ambazo unahisi zipo vizuri ? Nizipitie kabla sjafanya hii spellJapo ni mchezo ambao sishauri
Mimi naamini hii spell inafanya kazi. Ngoja nitafute michezo 3 mizuri maana rose water nimeishapataYes inafaa japo utatakiwa uwe makini kwenye kuonyeshwa.
Umeipatia wapMimi naamini hii spell inafanya kazi. Ngoja nitafute michezo 3 mizuri maana rose water nimeishapata
Mkuu hii spell si ameisema rakims hapo juu....najaribu mazima nioneUmeipatia wap
Mkuu hii spell si ameisema rakims hapo juu....najaribu mazima nione
Kuna kombe inaandikwa kisha unamwagia mazao na nyingine unanywesha mifugo inazaliana kama utitili.
Kila mtu ana uelekeo wake wewe umeshaamua kutumika kiakili basi kaa na imani yako na wengine wana imani zao sasa hii jamii forum kila kona walokole mnatangaza injili. Mbona kwenye makundi ya dini hamtangazi huko?Mafanikio yote ni kwa jina la Yesu,
Maana pesa na dhahabu ni mali za Bwana.
Tafadhali usijaribu ushetani, wewe omba kila utakalo kwa Jina la YESU KRISTO hakika utapata
Mkuu mimi nina chenchi za 8000 je zinatosha au ni lazima ziwe 12000?Huna tofauti na mtu anaeenda kuhubiri neno bar.
Sawa hiyo weka fruit and clovers kwa 400 spin 20 saa 8 usiku leo kisha 800 spin 5 kisha 1200 spin 5Mkuu mimi nina chenchi za 8000 je zinatosha au ni lazima ziwe 12000?
Nimehamia play master kidogo seven fruits na book of Ra nimezielewa.
Mkuu mimi nina chenchi za 8000 je zinatosha au ni lazima ziwe 12000?
Nimehamia play master kidogo seven fruits na book of Ra nimezielewa.
Asante Sana mkuu kwa elimu hii.Sawa hiyo weka fruit and clovers kwa 400 spin 20 saa 8 usiku leo kisha 800 spin 5 kisha 1200 spin 5
Ndio KakaKwahiyo leo usiku unafanya?