Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Mafanikio yote ni kwa jina la Yesu,
Maana pesa na dhahabu ni mali za Bwana.

Tafadhali usijaribu ushetani, wewe omba kila utakalo kwa Jina la YESU KRISTO hakika utapata
 
Mafanikio yote ni kwa jina la Yesu,
Maana pesa na dhahabu ni mali za Bwana.

Tafadhali usijaribu ushetani, wewe omba kila utakalo kwa Jina la YESU KRISTO hakika utapata
Kila mtu ana uelekeo wake wewe umeshaamua kutumika kiakili basi kaa na imani yako na wengine wana imani zao sasa hii jamii forum kila kona walokole mnatangaza injili. Mbona kwenye makundi ya dini hamtangazi huko?

Tukisema hamna akili mnasema tunawakashifu.
 
Huna tofauti na mtu anaeenda kuhubiri neno bar.
 
Mkuu mimi nina chenchi za 8000 je zinatosha au ni lazima ziwe 12000?

Nimehamia play master kidogo seven fruits na book of Ra nimezielewa.
Sawa hiyo weka fruit and clovers kwa 400 spin 20 saa 8 usiku leo kisha 800 spin 5 kisha 1200 spin 5
 
Back
Top Bottom