Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Umesema unaweka pesa na unaspin kvp? Toa maelezo yaliyoshiba
Mkuu hapo kwenye alama ya - + katikati ukiminya unakuwa unachagua pesa ya kuweka...

Alafu hapo kwenye kijani ndio ukiclick matunda hayo yanakuwa hanashuka chini sasa yakisimama kama yamekaa kwenye mstari mmoja pesa inaingia....

Kuna mistari ambayo ikifanana ndio pesa inaingia....kujua hizo lines unaweza search mkuu....maana nashinda zipa majina maana ni mpya kwangu
 
Huyu mshenzi kaweka 964.19tshs kapiga M57 leo; kudadeki
View attachment 2485221
Sio kweli mkuu labda ni editing sababu kuna limit ya win per round ambayo ni 10M hiyo 57M kaipataje?
Ila pia kuna marobot humo wa kutuchota akili wanaweka stake kubwa halafu hacash out mpaka analiwa.
Screenshot_20230118-201516_SportyBet.jpg
 
Sio kweli mkuu labda ni editing sababu kuna limit ya win per round ambayo ni 10M hiyo 57M kaipataje?
Ila pia kuna marobot humo wa kutuchota akili wanaweka stake kubwa halafu hacash out mpaka analiwa.View attachment 2486570
Kila platform Ina limiti yake.
Premier Bet Maximum Win Limit yao ni Milioni 60. sijui unabisha Nini. Nivizuri kufanya upembuzi kabla hujapinga kitu
Screenshot_20230118-222748.png
 
Sawa fuata michezo miwili tofauti kwa maana ili uweze kupata rangi yenye nguvu zaidi na wewe
Mkuu asante sana... Ni kweli upo sahihi nilikomaa na hiyo Hadi nimebakia na elfu 10 tu.. ila nimejifunza nakuwaga na bahati na rangi ya kijani maana hii spell nimewahi ifanya nikashinda laki 3 kwenye spin the bottle.. nikicheza kijani tu.

Nitarudia kutafuta mahitaji na pesa elfu 12 nifanye tena mkuu. Kwa utulivu zaidi.
 
Ni kweli mkuu kushinda pesa kubwa unahitaji ujuzi wa rangi pia.. mfano kipindi nashinda hiyo laki 3 nilivaa red na violet na Jana ndo nimesomea vizuri nikagundua ndio rangi zangu za bahati.
 
Mkuu asante sana... Ni kweli upo sahihi nilikomaa na hiyo Hadi nimebakia na elfu 10 tu.. ila nimejifunza nakuwaga na bahati na rangi ya kijani maana hii spell nimewahi ifanya nikashinda laki 3 kwenye spin the bottle.. nikicheza kijani tu.

Nitarudia kutafuta mahitaji na pesa elfu 12 nifanye tena mkuu. Kwa utulivu zaidi.
Tupo pamoja
 
Ni kweli mkuu kushinda pesa kubwa unahitaji ujuzi wa rangi pia.. mfano kipindi nashinda hiyo laki 3 nilivaa red na violet na Jana ndo nimesomea vizuri nikagundua ndio rangi zangu za bahati.
Sawa sawa,

Pitia na website yangu utajifunza mengi zaidi:

 
Back
Top Bottom