Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Tupp pamoja
Mkuu nitakuwa napitia taratibu naimani nitajifunza vingi....lugha kubwa ni kiingereza inahitaji utulivu sana at least thread 2 kwa siku nitapitia nipate ujuzi kwenye website yako .

Nikipata hiyo pesa nitakutumia ya soda inshallah
 
Mkuu nitakuwa napitia taratibu naimani nitajifunza vingi....lugha kubwa ni kiingereza inahitaji utulivu sana at least thread 2 kwa siku nitapitia nipate ujuzi kwenye website yako .

Nikipata hiyo pesa nitakutumia ya soda inshallah
Sawa. Ipo sehemu ya kutizama makala za kiswahili nimeweka
 
Ni kweli mkuu kushinda pesa kubwa unahitaji ujuzi wa rangi pia.. mfano kipindi nashinda hiyo laki 3 nilivaa red na violet na Jana ndo nimesomea vizuri nikagundua ndio rangi zangu za bahati.
Mkuu huu mchezo wa matunda meridian upo
 
Mkuu Rakims kule kwenye website yako natafuta bandiko la spell ya zaid ya mil 10.... Ninauhitaji sana je unaweza nipa kichwa niitafute kule?
 
Asante mkuu.. je naweza tumia zote 2 na hii mkuu.... Non stop kwa wiki 2?

kwauhitaji wa mil 10 na zaidi yuzi rasi min sari Sasi ni mara 7 siku 9 au 9 mara 7?
Yes lakini tumia kwa kupata muongozo wa kuzipata sio kutokea ghafla kama mazingaombwe
 
Yes lakini tumia kwa kupata muongozo wa kuzipata sio kutokea ghafla kama mazingaombwe
Sawa mkuu asante sana... Ninauhitaji sana nahiyo pesa.. na naimani nitaipata safari hii.

Mada hizi na nyota nimesomea kwenye website..zinanipa motisha Sana na elimu.
 
Sawa mkuu asante sana... Ninauhitaji sana nahiyo pesa.. na naimani nitaipata safari hii.

Mada hizi na nyota nimesomea kwenye website..zinanipa motisha Sana na elimu.
Baada ya kuona wengi wanaishambulia ile game kwa kufuata njia hii jamaa wameona waifute
 
Baada ya kuona wengi wanaishambulia ile game kwa kufuata njia hii jamaa wameona waifute
hahaha ni kweli clovers haipatikani tena.. ipo 7and fruits na ndio naona inanisogeza kias....pia 100 lines ya 7 and fruit ..

Mimi bado yuzi rasi min sari sasi na rose water mpaka nifike 10mil mkuu... sina amani kabisa.

Nikipata hiyo hela lazima nikutengee hata laki 1 mkuu.
 
Mkuu naangalia hizi zinanipa sana motivation ....stake gan unaweka kuwin 700k kwa casino kule...

Na ulicheza game gani?
Screenshot_2023-02-03-02-58-28-760_com.opera.mini.native.jpg
 
Back
Top Bottom