Baba Moreen
Member
- Nov 2, 2019
- 82
- 110
Nakuja muda huu mkuu.... Kuna vingi nahitaji kuvijua.. natarget milion 5 tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuja muda huu mkuu.... Kuna vingi nahitaji kuvijua.. natarget milion 5 tu.
Mkuu nitakuwa napitia taratibu naimani nitajifunza vingi....lugha kubwa ni kiingereza inahitaji utulivu sana at least thread 2 kwa siku nitapitia nipate ujuzi kwenye website yako .Tupp pamoja
Sawa. Ipo sehemu ya kutizama makala za kiswahili nimewekaMkuu nitakuwa napitia taratibu naimani nitajifunza vingi....lugha kubwa ni kiingereza inahitaji utulivu sana at least thread 2 kwa siku nitapitia nipate ujuzi kwenye website yako .
Nikipata hiyo pesa nitakutumia ya soda inshallah
Mkuu huu mchezo wa matunda meridian upoNi kweli mkuu kushinda pesa kubwa unahitaji ujuzi wa rangi pia.. mfano kipindi nashinda hiyo laki 3 nilivaa red na violet na Jana ndo nimesomea vizuri nikagundua ndio rangi zangu za bahati.
Sawa mkuuFuatilia info wanakuwa wameweka
Mkuu baba moreenimekuuliza kuwa huo mchezo wa matunda upo meridianMkuu Rakims kule kwenye website yako natafuta bandiko la spell ya zaid ya mil 10.... Ninauhitaji sana je unaweza nipa kichwa niitafute kule?
Ngoja nimsaidie kujibu upo sportpesaMkuu baba moreenimekuuliza kuwa huo mchezo wa matunda upo meridian
Mkuu sipo meridian lakini niliingia bila kuregister naona ipo michezo ya matunda mingi tu....so nafikiri upoMkuu baba moreenimekuuliza kuwa huo mchezo wa matunda upo meridian
Asante mkuu.. je naweza tumia zote 2 na hii mkuu.... Non stop kwa wiki 2?Ipo yuzi rasi min sari sasi
Yes lakini tumia kwa kupata muongozo wa kuzipata sio kutokea ghafla kama mazingaombweAsante mkuu.. je naweza tumia zote 2 na hii mkuu.... Non stop kwa wiki 2?
kwauhitaji wa mil 10 na zaidi yuzi rasi min sari Sasi ni mara 7 siku 9 au 9 mara 7?
Sawa mkuu asante sana... Ninauhitaji sana nahiyo pesa.. na naimani nitaipata safari hii.Yes lakini tumia kwa kupata muongozo wa kuzipata sio kutokea ghafla kama mazingaombwe
Baada ya kuona wengi wanaishambulia ile game kwa kufuata njia hii jamaa wameona waifuteSawa mkuu asante sana... Ninauhitaji sana nahiyo pesa.. na naimani nitaipata safari hii.
Mada hizi na nyota nimesomea kwenye website..zinanipa motisha Sana na elimu.
hahaha ni kweli clovers haipatikani tena.. ipo 7and fruits na ndio naona inanisogeza kias....pia 100 lines ya 7 and fruit ..Baada ya kuona wengi wanaishambulia ile game kwa kufuata njia hii jamaa wameona waifute
Mkuu naangalia hizi zinanipa sana motivation ....stake gan unaweka kuwin 700k kwa casino kule...Kama hiyo?View attachment 2148545