K88K
JF-Expert Member
- Jul 3, 2019
- 311
- 642
[emoji3][emoji3][emoji3] ni wahuni.uje useme majibu utakayo pata .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3] ni wahuni.uje useme majibu utakayo pata .
Wanakulipa nini mpaka unawatetea hivyo, nimekuwekea ushahidi wote hapo, haya wewe balance yako si ni 2M+ fanya transaction hata ya 10K tu uiweke hapa tuone.Deep down unajua kua wewe ndio Mhuni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaza ubongo kaka.
We toa io 10k muda huu uweke hapa.nime kuwekea transaction ya 1.5 M unataka ya 10
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kampuni gani unatumia? Kama ni meridian unawithdraw kawaida tu na mzigo unatoka fresh tuUnaitoa vp kwangu zipo pending muda wote.
Achan na hizo hii hapa chini inaitwa jupitacasino.Kampuni gani unatumia? Kama ni meridian unawithdraw kawaida tu na mzigo unatoka fresh tu
Shida sio huku, muamala uliofika kwenye simu yako.
inamaana huoni hii picha ?Shida sio huku, muamala uliofika kwenye simu yako.
Sawa kwako zinatoka, kwangu wamezingua wameifungia account baada ya kuwapiga 3M+ wanasema nimefanya unusual transaction.inamaana huoni hii picha ?View attachment 2505821
kumbe wamekupa na reason kabisa ,pita hiyo njia utanishukuru baadaeSawa kwako zinatoka, kwangu wamezingua wameifungia account baada ya kuwapiga 3M+ wanasema nimefanya unusual transaction.
Uliweka kiasi gani ukawapiga hiyo hela?Sawa kwako zinatoka, kwangu wamezingua wameifungia account baada ya kuwapiga 3M+ wanasema nimefanya unusual transaction.
Hamna sababu hapo mimi nimekula pesa nika withdraw miamala kama mitano au sita kwa namba 3 tofauti, kwahiyo hilo ndio kosa langu, hao wauni ni.kumbe wamekupa na reason kabisa ,pita hiyo njia utanishukuru baadae
Walinipa bonus ya 1k baada ya kujiunga nika deposit 1k ikawa 2k, nikacheza mara ya kwanza nikala, nikawa narudia mara kadhaa zote nikawapiga. Ilivyo fika 20, nikaigawa.Uliweka kiasi gani ukawapiga hiyo hela?
Hii hapa screenshots nilivokua nawapiga kabla hawajaleta uzinguzi alama nyekundu ilipokua naliwa na ya kijani nikiwala.Uliweka kiasi gani ukawapiga hiyo hela?
Hongera mkuu. Kama umefanikiwa kutoa hata kidogo inatosha. Ngoja nitafute mtaji nianze na mimi, labda nitatoboaHii hapa screenshots nilivokua nawapiga kabla hawajaleta uzinguzi alama nyekundu ilipokua naliwa na ya kijani nikiwala.View attachment 2506102
Sawa mkuu asante sana... Ninauhitaji sana nahiyo pesa.. na naimani nitaipata safari hii.
Mada hizi na nyota nimesomea kwenye website..zinanipa motisha Sana na elimu.
Wewe ni hatari yani nakufundisha kupata milioni 10 unataka kunipa laki? Si bora ukae nayo tu.hahaha ni kweli clovers haipatikani tena.. ipo 7and fruits na ndio naona inanisogeza kias....pia 100 lines ya 7 and fruit ..
Mimi bado yuzi rasi min sari sasi na rose water mpaka nifike 10mil mkuu... sina amani kabisa.
Nikipata hiyo hela lazima nikutengee hata laki 1 mkuu.
Elfu 16 ni ushindi mdogo sanaMkuu naangalia hizi zinanipa sana motivation ....stake gan unaweka kuwin 700k kwa casino kule...
Na ulicheza game gani?View attachment 2504510
Mkuu hiyo mbona kubwa, huyu mtu anashida na pesa ndefu sana. 10M kuipata through betting siyo mchezo.Wewe ni hatari yani nakufundisha kupata milioni 10 unataka kunipa laki? Si bora ukae nayo tu.