Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani kukemea upuuzi wa mtoto wangu mpaka nipitie procedures [emoji3][emoji3]
Wazungu wanatuharibia jamii
Ni bakora tu kutwa maratatu kama dawa. ATATULIA TU
DAHWakat mwingine ni dalili ya ugonjwa, kuna dogo miaka mi4 ana hiyo tabia basi akiwa na hasira anajipigiza ukutani au anajitupa chini ukimwangalia usoni ana makovu kama vile labda baba yake anazimiaga sigara usoni pake
Hongera Sana,Huyu wangu hope Mungu atamfinyanga upya huyu kiumbe chakePole sana aisee, mimi wa mwisho ndio kidogo mkorofi lkn bado nikimwambia aache anaelewa.
😂😂😂😂😂Dah hivi vitoto vimesahau Kama sisi Wazazi wao Ni waafricaDAH
Mim nina mtoto wa kike, mwaka mmoja na miezi kama minne hivi, asee yaani ni ana lipuka hasira hatari, kanagalagala, kanajipigisha chini then ukikakosea kanasusa... nakasubiri kafike miaka miwili nikaanzishe stick kutwa mara tatu, sipendi ujinga mim
DAH
Mim nina mtoto wa kike, mwaka mmoja na miezi kama minne hivi, asee yaani ni ana lipuka hasira hatari, kanagalagala, kanajipigisha chini then ukikakosea kanasusa... nakasubiri kafike miaka miwili nikaanzishe stick kutwa mara tatu, sipendi ujinga mim
Hongera sana kaka, umekuza sasaHasira,tabia za ajabu kama udokozi nilizizima Kwa bakora Kwa kijana wangu ninayemlea(ni mtoto wa kaka,nilimchukua akiwa mdogo wa miaka Saba).Nina style yangu ya kuchapa namwambia alale chini Ili niyafikie makalio vizuri.Sasa hivi amekuwa kijana mzuri sana ,miaka 15,na amefanya vizuri mno mitihani ya taifa form two(div I points 7)