Jinsi ya kusimamisha matiti yaliyolala

Jinsi ya kusimamisha matiti yaliyolala

Kwani ikilala kuna tatizo? Isimame ili iweje?

Kama umri umeenda haurudi nyuma.
Hata tufanye madoido ya kila aina .

Duuuh! Wanawake tuna mambo mengi aisee.
Sio kila lililolala umri unaenda au kanyonywa sana ....noh n baadh ya mambo husababishwa .....nlikutana na cousins yangu n mzur balaa kila kitu anacho ila chuchu .....duuuh
 
Wanawake wengi nyonyo zao zimelala wengine inatokana na sababu ya kunyonyesha na wengine ni maumbile yao tu ndivyo yalivo.
Kwa wewe dada ambaye nyonyo tits zimelala na unataka zisimame fanya haya yafuatayo

Kila siku usiku chukua alovera then ikate ili kupata ile gel baada ya hapo pakaa hiyo gel kwenye chuchu hakikisha unapakaza chuchu yote,fanya hivi daily hadi utapoona na kuridhika na matokeo.

NB:
Usifanye hivo ukiwa unanyonyesha sababu alovera ni chungu na ukali wake haupotei haraka hivo inaweza pelekea mtoto kukataa kunyonya so kama unanyonyesha subiri umalize kwanza ndo uanze kufanya hii kitu.

Msisahau mrejeshoooooooo
Aina gani ya alovela maana kuna aina nyingi za alovela
 
Wanawake wengi nyonyo zao zimelala wengine inatokana na sababu ya kunyonyesha na wengine ni maumbile yao tu ndivyo yalivo.
Kwa wewe dada ambaye nyonyo tits zimelala na unataka zisimame fanya haya yafuatayo

Kila siku usiku chukua alovera then ikate ili kupata ile gel baada ya hapo pakaa hiyo gel kwenye chuchu hakikisha unapakaza chuchu yote,fanya hivi daily hadi utapoona na kuridhika na matokeo.

NB:
Usifanye hivo ukiwa unanyonyesha sababu alovera ni chungu na ukali wake haupotei haraka hivo inaweza pelekea mtoto kukataa kunyonya so kama unanyonyesha subiri umalize kwanza ndo uanze kufanya hii kitu.

Msisahau mrejeshoooooooo
Usije ukawafanya wanawake wwnzako,wapate kansa za matiti kwa ushauri huu wa ajabu ajabu... Usio na taaluma yoyote ya kitabibu.
 
NB:
Usifanye hivo ukiwa unanyonyesha sababu alovera ni chungu na ukali wake haupotei haraka hivo inaweza pelekea mtoto kukataa kunyonya so kama unanyonyesha subiri umalize kwanza ndo uanze kufanya hii kitu.

Msisahau mrejeshoooooooo
Mkuu na sisi watoto wakubwa tunaonyonyeshwa unashauri tufanyaje tusisikie huo uchungu tunaponyonya?..

sitasahau leta mrejesho
 
Wanawake wengi nyonyo zao zimelala wengine inatokana na sababu ya kunyonyesha na wengine ni maumbile yao tu ndivyo yalivo.
Kwa wewe dada ambaye nyonyo tits zimelala na unataka zisimame fanya haya yafuatayo

Kila siku usiku chukua alovera then ikate ili kupata ile gel baada ya hapo pakaa hiyo gel kwenye chuchu hakikisha unapakaza chuchu yote,fanya hivi daily hadi utapoona na kuridhika na matokeo.

NB:
Usifanye hivo ukiwa unanyonyesha sababu alovera ni chungu na ukali wake haupotei haraka hivo inaweza pelekea mtoto kukataa kunyonya so kama unanyonyesha subiri umalize kwanza ndo uanze kufanya hii kitu.

Msisahau mrejeshoooooooo
Pigeni deki sana, ile ya kizamani ya kuinama, baada ya muda yataendelea kusimama yenyewe.
 
Back
Top Bottom