Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Yap yap...wengine washike spaceHahaha majukumu sasa [emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap yap...wengine washike spaceHahaha majukumu sasa [emoji16][emoji16]
Mm nauza bos ..mNafikiri nitafanya sasa tatizo ni jinsi ya kupata hiyo alovera?????!!!!!
Kaz ya aloevera ya nn ....mbna ukitumia za kisunna linasmama vizurNafikiri nitafanya sasa tatizo ni jinsi ya kupata hiyo alovera?????!!!!!
DuhhhSie tunaonyonyesha watu wazima jee
Atanyonya pengineSie tunaonyonyesha watu wazima jee
Sio kila lililolala umri unaenda au kanyonywa sana ....noh n baadh ya mambo husababishwa .....nlikutana na cousins yangu n mzur balaa kila kitu anacho ila chuchu .....duuuhKwani ikilala kuna tatizo? Isimame ili iweje?
Kama umri umeenda haurudi nyuma.
Hata tufanye madoido ya kila aina .
Duuuh! Wanawake tuna mambo mengi aisee.
Zipo kias ganNaomba mwenye hiyo alovera aniletee tufanye biashara
Unapaka alovera kwenye chanel 0Vipi ukitaka kulisimamisha sambwanda lililolala unafanyaje!!?.
Aina gani ya alovela maana kuna aina nyingi za alovelaWanawake wengi nyonyo zao zimelala wengine inatokana na sababu ya kunyonyesha na wengine ni maumbile yao tu ndivyo yalivo.
Kwa wewe dada ambaye nyonyo tits zimelala na unataka zisimame fanya haya yafuatayo
Kila siku usiku chukua alovera then ikate ili kupata ile gel baada ya hapo pakaa hiyo gel kwenye chuchu hakikisha unapakaza chuchu yote,fanya hivi daily hadi utapoona na kuridhika na matokeo.
NB:
Usifanye hivo ukiwa unanyonyesha sababu alovera ni chungu na ukali wake haupotei haraka hivo inaweza pelekea mtoto kukataa kunyonya so kama unanyonyesha subiri umalize kwanza ndo uanze kufanya hii kitu.
Msisahau mrejeshoooooooo
Usije ukawafanya wanawake wwnzako,wapate kansa za matiti kwa ushauri huu wa ajabu ajabu... Usio na taaluma yoyote ya kitabibu.Wanawake wengi nyonyo zao zimelala wengine inatokana na sababu ya kunyonyesha na wengine ni maumbile yao tu ndivyo yalivo.
Kwa wewe dada ambaye nyonyo tits zimelala na unataka zisimame fanya haya yafuatayo
Kila siku usiku chukua alovera then ikate ili kupata ile gel baada ya hapo pakaa hiyo gel kwenye chuchu hakikisha unapakaza chuchu yote,fanya hivi daily hadi utapoona na kuridhika na matokeo.
NB:
Usifanye hivo ukiwa unanyonyesha sababu alovera ni chungu na ukali wake haupotei haraka hivo inaweza pelekea mtoto kukataa kunyonya so kama unanyonyesha subiri umalize kwanza ndo uanze kufanya hii kitu.
Msisahau mrejeshoooooooo
Mkuu na sisi watoto wakubwa tunaonyonyeshwa unashauri tufanyaje tusisikie huo uchungu tunaponyonya?..NB:
Usifanye hivo ukiwa unanyonyesha sababu alovera ni chungu na ukali wake haupotei haraka hivo inaweza pelekea mtoto kukataa kunyonya so kama unanyonyesha subiri umalize kwanza ndo uanze kufanya hii kitu.
Msisahau mrejeshoooooooo
Pigeni deki sana, ile ya kizamani ya kuinama, baada ya muda yataendelea kusimama yenyewe.Wanawake wengi nyonyo zao zimelala wengine inatokana na sababu ya kunyonyesha na wengine ni maumbile yao tu ndivyo yalivo.
Kwa wewe dada ambaye nyonyo tits zimelala na unataka zisimame fanya haya yafuatayo
Kila siku usiku chukua alovera then ikate ili kupata ile gel baada ya hapo pakaa hiyo gel kwenye chuchu hakikisha unapakaza chuchu yote,fanya hivi daily hadi utapoona na kuridhika na matokeo.
NB:
Usifanye hivo ukiwa unanyonyesha sababu alovera ni chungu na ukali wake haupotei haraka hivo inaweza pelekea mtoto kukataa kunyonya so kama unanyonyesha subiri umalize kwanza ndo uanze kufanya hii kitu.
Msisahau mrejeshoooooooo
Tangawiz mbichi ilosagwa na maj ya limao changanya pamoja kisha sugulia kwenye ziwaNa wenye maziwa makubwa wafayeje