Tetesi: Jinsi ya kutabiri miaka yako ya kuishi kwa kutumia smart phone

Tetesi: Jinsi ya kutabiri miaka yako ya kuishi kwa kutumia smart phone

Unataka kujua utakufa mwaka gani?

Unataka kujua umebakiza miaka mingapi kufa?

Huhitaji kwenda kwa babu. Unaweza kujua yote hayo kwa kutumia smart phone yako.

Unataka kujua inavyo kuwa? Just follow my lead

Step one : Chukua smart phone yako kisha angalia ina asilimia ngapi.


1. Kama asilimia ni kubwa kuliko umri wako basi utakufa pindi umri wako utakapo kuwa sawa sawa na asilimia hiyo.

Mfano una miaka 30 halafu simu yako ina asilimia 36 basi utakufa ukiwa na miaka 36.


2. Kama asilimia ni ndogo kuliko umri wako mfano wewe una miaka 30 na simu yako ina asilimia 25 basi chukua 30 toa hiyo 25 jibu utakalo pata ndio miaka uliyo bakiza. Kwa hiyo hapo umebakiza miaka mitano ya kuishi.


Jitahidi kutenda mema kwa sababu haujui utakufa lini.


Anyways based on this thread please comment miaka uliyo bakiza kuishi.
Crappy
 
Mungu akamwambia Mussa ' Nitakufanya kuwa Mungu wa Farao" . I am.Moses and ur Pharaoh. I am ur god. Thats why u blv in everything that come out of me.

Me i was just playing and u have took it serious!!! U must be sick.

U should worship the ground am walking
 
Mkuu umepiga cha Arachuga au Mbeya
Hivi shule huwa mnaenda kusomea ujinga? Cant u see i was just playing?..

Ur a person of weak intellect. U cant differentiate between overall and all over
 
Mungu akamwambia Mussa ' Nitakufanya kuwa Mungu wa Farao" . I am.Moses and ur Pharaoh. I am ur god. Thats why u blv in everything that come out of me.

Me i was just playing and u have took it serious!!! U must be sick.

U should worship the ground am walking
Good Loord

Umeandika lugha gani

Hii ni crappy zaidi aisee

Me I was
You have took it everything that come


Good Loord
 
Nikiendeleza masala na kilaza hakika nami nitakuwa kilaza. Great thinkers think big they don't think jokes " so far what is you level of education"? Maana education matters.
Ungekuwa sawasawa kichwani ungepaswa kufahamu kwamba this was just a joke.

Umejiona sasa ulivyo kilaza?
 
Unataka kujua utakufa mwaka gani?

Unataka kujua umebakiza miaka mingapi kufa?

Huhitaji kwenda kwa babu. Unaweza kujua yote hayo kwa kutumia smart phone yako.

Unataka kujua inavyo kuwa? Just follow my lead

Step one : Chukua smart phone yako kisha angalia ina asilimia ngapi.


1. Kama asilimia ni kubwa kuliko umri wako basi utakufa pindi umri wako utakapo kuwa sawa sawa na asilimia hiyo.

Mfano una miaka 30 halafu simu yako ina asilimia 36 basi utakufa ukiwa na miaka 36.


2. Kama asilimia ni ndogo kuliko umri wako mfano wewe una miaka 30 na simu yako ina asilimia 25 basi chukua 30 toa hiyo 25 jibu utakalo pata ndio miaka uliyo bakiza. Kwa hiyo hapo umebakiza miaka mitano ya kuishi.


Jitahidi kutenda mema kwa sababu haujui utakufa lini.


Anyways based on this thread please comment miaka uliyo bakiza kuishi.
nahisi jamiiforum itakua watu wenye nyuzi nyingi huenda wakawa wanapata mgao wa maokoto,,maana nmeshuhudia watu weng wanaandika nyuzi hazina mbel wala nyuma lakin ilimradi tu aandike ,,,kwani hivi wakuu mtu akitupia mada mara kwa mara humu jamii forum je kuna malipo hua anapata???
 
Unataka kujua utakufa mwaka gani?

Unataka kujua umebakiza miaka mingapi kufa?

Huhitaji kwenda kwa babu. Unaweza kujua yote hayo kwa kutumia smart phone yako.

Unataka kujua inavyo kuwa? Just follow my lead

Step one : Chukua smart phone yako kisha angalia ina asilimia ngapi.


1. Kama asilimia ni kubwa kuliko umri wako basi utakufa pindi umri wako utakapo kuwa sawa sawa na asilimia hiyo.

Mfano una miaka 30 halafu simu yako ina asilimia 36 basi utakufa ukiwa na miaka 36.


2. Kama asilimia ni ndogo kuliko umri wako mfano wewe una miaka 30 na simu yako ina asilimia 25 basi chukua 30 toa hiyo 25 jibu utakalo pata ndio miaka uliyo bakiza. Kwa hiyo hapo umebakiza miaka mitano ya kuishi.


Jitahidi kutenda mema kwa sababu haujui utakufa lini.


Anyways based on this thread please comment miaka uliyo bakiza kuishi.
Simu ina asilimia 1, na nna miaka 37
 
Unataka kujua utakufa mwaka gani?

Unataka kujua umebakiza miaka mingapi kufa?

Huhitaji kwenda kwa babu. Unaweza kujua yote hayo kwa kutumia smart phone yako.

Unataka kujua inavyo kuwa? Just follow my lead

Step one : Chukua smart phone yako kisha angalia ina asilimia ngapi.


1. Kama asilimia ni kubwa kuliko umri wako basi utakufa pindi umri wako utakapo kuwa sawa sawa na asilimia hiyo.

Mfano una miaka 30 halafu simu yako ina asilimia 36 basi utakufa ukiwa na miaka 36.


2. Kama asilimia ni ndogo kuliko umri wako mfano wewe una miaka 30 na simu yako ina asilimia 25 basi chukua 30 toa hiyo 25 jibu utakalo pata ndio miaka uliyo bakiza. Kwa hiyo hapo umebakiza miaka mitano ya kuishi.


Jitahidi kutenda mema kwa sababu haujui utakufa lini.


Anyways based on this thread please comment miaka uliyo bakiza kuishi.
Taktaka tupu tuondolee wewe ni junun funun aka Samia
 
Back
Top Bottom