Tetesi: Jinsi ya kutabiri miaka yako ya kuishi kwa kutumia smart phone

Tetesi: Jinsi ya kutabiri miaka yako ya kuishi kwa kutumia smart phone

Kama umezaliwa mwaka 86 basi unakufa mwaka huu huu.
Me yakwangu ina 86% [emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960], ila mkuu wewe bangi kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Viroba avipo siku izi iyo ni pombe gan?k-vant au?
Ukiona hivyo mzee umebakiza miezi miwili. Andika wosia mapema mkuu. Shauri yako
Wewe endelea kujifanya hamnazo
 
Duh!jamiiforum ni Raha sana yani mtu anamwambia mwenzake kabakisha miezi 2
 
Aisee inasikitisha, sasa wewe mtoa mada mimi yakwangu imezima kabisa hivi sasa.
Kwahiyo unasemaje sasa kwambaaa...........
 
Unataka kujua utakufa mwaka gani?

Unataka kujua umebakiza miaka mingapi kufa?

Huhitaji kwenda kwa babu. Unaweza kujua yote hayo kwa kutumia smart phone yako.

Unataka kujua inavyo kuwa? Just follow my lead

Step one : Chukua smart phone yako kisha angalia ina asilimia ngapi.


1. Kama asilimia ni kubwa kuliko umri wako basi utakufa pindi umri wako utakapo kuwa sawa sawa na asilimia hiyo.

Mfano una miaka 30 halafu simu yako ina asilimia 36 basi utakufa ukiwa na miaka 36.


2. Kama asilimia ni ndogo kuliko umri wako mfano wewe una miaka 30 na simu yako ina asilimia 25 basi chukua 30 toa hiyo 25 jibu utakalo pata ndio miaka uliyo bakiza. Kwa hiyo hapo umebakiza miaka mitano ya kuishi.


Jitahidi kutenda mema kwa sababu haujui utakufa lini.


Anyways based on this thread please comment miaka uliyo bakiza kuishi.
...Unaposema 'Asilimia' una maana gani? tuanzie hapo kwanza.....chaji, bei ama nini ? [emoji848][emoji848]
 
Hivi jamii forum bado ina hadhi? Ama mayo unaanza kuingia kwenye udaku.
Unataka kujua utakufa mwaka gani?

Unataka kujua umebakiza miaka mingapi kufa?

Huhitaji kwenda kwa babu. Unaweza kujua yote hayo kwa kutumia smart phone yako.

Unataka kujua inavyo kuwa? Just follow my lead

Step one : Chukua smart phone yako kisha angalia ina asilimia ngapi.


1. Kama asilimia ni kubwa kuliko umri wako basi utakufa pindi umri wako utakapo kuwa sawa sawa na asilimia hiyo.

Mfano una miaka 30 halafu simu yako ina asilimia 36 basi utakufa ukiwa na miaka 36.


2. Kama asilimia ni ndogo kuliko umri wako mfano wewe una miaka 30 na simu yako ina asilimia 25 basi chukua 30 toa hiyo 25 jibu utakalo pata ndio miaka uliyo bakiza. Kwa hiyo hapo umebakiza miaka mitano ya kuishi.


Jitahidi kutenda mema kwa sababu haujui utakufa lini.


Anyways based on this thread please comment miaka uliyo bakiza kuishi.
 
We kilaza
Asante sana. Vilaza tupo wengi humu ndo maana nimehoji kama bado forum hii ina great thinkers kama mwanzo naanza kupata picha kwamba kumbe vilaza ni wengi Bali wengine hawajajitambua.
 
Asante sana. Vilaza tupo wengi humu ndo maana nimehoji kama bado forum hii ina great thinkers kama mwanzo naanza kupata picha kwamba kumbe vilaza ni wengi Bali wengine hawajajitambua.

Ungekuwa sawasawa kichwani ungepaswa kufahamu kwamba this was just a joke.

Umejiona sasa ulivyo kilaza?
 
kuna siri kubwa sana kuhusu kifo.
hakuna mwanasayansi, mnajimu, mganga wa kienyeji, sheikh wala mchungaji anayejua kuhusu yeye mwenyewe atakufa lini au binadamu mwenzie atakufa lini.
 
Back
Top Bottom