Jinsi ya kutambua simu fake bila kuumiza kichwa

Jinsi ya kutambua simu fake bila kuumiza kichwa

Wew Ni bure
Wakuu leo nitawapa siri nyepesi ya kutambua kama simu yako ni original au MCHINA yaani fake (feki!). Ni rahisi sana coz haihitaji uwe JF expert technician kufuata hatua hizi

1. Angalia unapoiwasha kama inaweka logo ya apple au neno iphone. Ukiona inaweka logo nyingine yoyote kama samsung, tecno sijui oppo au infinix ujue ni feki itupe haraka.

2. Angalia oparating system yako kama ni iOS. Ukiona inasema ni Android ujue ni fake ivunje haraka kabla haijakulipukia

3. Jaribu kuisync na apple iphone earpods, ukiona inashindwa kuconnect na earpods lakin inakubali earphone zingine za kichina ujue na yenyewe ni ya kichina na fake. Tumbukiza chooni.

4. Angalia nyuma ya cover kama imeandikwa redmi, itel, tecno, samsung, infinix au neno lolote tofauti na iphone ujue ni fake. Tupa kwenye flyover za ubungo idakwe na kunguru.

Kwa ufupi hizo ni clues chache za kutambua simu fake
 
Kiboko ya zote ni app. ya device info pakua play store itakupa full details za simu yako
 
Device information kuijua ni vizuri , swali fikirishi je kujua device information inahalalisha kwamba simu siyo feki? Swali jingine je simu feki ni za kutoka china naomba ufafanuzi
 
Wakuu leo nitawapa siri nyepesi ya kutambua kama simu yako ni original au MCHINA yaani fake (feki!). Ni rahisi sana coz haihitaji uwe JF expert technician kufuata hatua hizi

1. Angalia unapoiwasha kama inaweka logo ya apple au neno iphone. Ukiona inaweka logo nyingine yoyote kama samsung, tecno sijui oppo au infinix ujue ni feki itupe haraka.

2. Angalia oparating system yako kama ni iOS. Ukiona inasema ni Android ujue ni fake ivunje haraka kabla haijakulipukia

3. Jaribu kuisync na apple iphone earpods, ukiona inashindwa kuconnect na earpods lakin inakubali earphone zingine za kichina ujue na yenyewe ni ya kichina na fake. Tumbukiza chooni.

4. Angalia nyuma ya cover kama imeandikwa redmi, itel, tecno, samsung, infinix au neno lolote tofauti na iphone ujue ni fake. Tupa kwenye flyover za ubungo idakwe na kunguru.

Kwa ufupi hizo ni clues chache za kutambua simu fake
Sio kwa ubaya ila hizi clue za kifamba sana
 
Wakuu leo nitawapa siri nyepesi ya kutambua kama simu yako ni original au MCHINA yaani fake (feki!). Ni rahisi sana coz haihitaji uwe JF expert technician kufuata hatua hizi

1. Angalia unapoiwasha kama inaweka logo ya apple au neno iphone. Ukiona inaweka logo nyingine yoyote kama samsung, tecno sijui oppo au infinix ujue ni feki itupe haraka.

2. Angalia oparating system yako kama ni iOS. Ukiona inasema ni Android ujue ni fake ivunje haraka kabla haijakulipukia

3. Jaribu kuisync na apple iphone earpods, ukiona inashindwa kuconnect na earpods lakin inakubali earphone zingine za kichina ujue na yenyewe ni ya kichina na fake. Tumbukiza chooni.

4. Angalia nyuma ya cover kama imeandikwa redmi, itel, tecno, samsung, infinix au neno lolote tofauti na iphone ujue ni fake. Tupa kwenye flyover za ubungo idakwe na kunguru.

Kwa ufupi hizo ni clues chache za kutambua simu fake
JPM alisambalatisha huu upuuzi wa simu feki ndani ya siku chache tu ..ila huyu kahaba mjalana mpumbavu katurudisha tena zama zile zile za simu feki na madawa ya kulevya .
 
Shangazi Bwabwa huyu, hizo iPhone ziko Smooth sana mnatumia kujisugulia Vinene* eeh...?
 
WEKA WI-FI ZA T¡G0 ZINA SPEED KUBWAA MNOO!
HUU SIO MDA TENA WA KUWAZA KUISHIWA NA DATA, ROUTER NI BEI NAFUU SANA!

⚫KWENYE BISASHARA YAKO WEKA WI-FI

⚫KWENYE SHULE WEKA WI-FI
⚫KANISANI WEKA WI-FI

⚫KAZINI WEKA WI-FI
⚫KWENYE KAMPUNI WEKA WI-FI

⚫NYUMBANI KWAKO WEWE NA FAMILIA YAKO WEKA WI-FI
⚫CHUONI WEKA WI-FI

⚫UNA SECURITY CAMERA FUNGA WI-FI

⚫SEHEM ZINGINE AMBAZO SIJAZITAJA WEKA WI-FI

TUMIA DATA UNLIMITED, YANI BILA KUWAZA KUA GB ZITAISHA?

NJOO NIKUPE ROUTER ZENYE UWEZO MKUBWA TECNOLOJIA YA 5G SPEED HADI 200mbps, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO !

MKOA WOWOTE ULIPO DELIVERY NI FREEE!!

GHARAMA NI NAFUU, SPEED KUBWAA (pia laini pekeyake bila router nakuwezeshea bando unlimited kwa bei poa)
NICHEKI: 0717700921
 
Back
Top Bottom