Jinsi ya kutengeneza hair removal wax nyumbani

Jinsi ya kutengeneza hair removal wax nyumbani

Naona wadada wanalalamika kwan inauma kuliko kutolewa Damu ya Bikra???
Hii kitu inauma mkuu asikwambie mtu. kuna siku kuna mdada alikuwa anafanyiwa hii huku naangalia yaani alipopakwa na kuwekewa kitambaa, kitambaa kilipovutwa mpaka damu zilitoka kwenye vishimo vya vinyweleo. Mimi ndo nilikuwa nasubiri kwenye zamu nikasimama na kuondoka maana niliogopa kuona ile damu
 
Sijawah jaribu hii njia [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji12] [emoji2] ila yaonekana kutokana na maelezo si ya mchezo mchezo. Ushauri wangu kama unaona hali ni tete tafuta shaving cream nzuri hasa ya natural extracts (hasa zile ambazo hazitaleta darkening ya ngozi kutokana na kushave) kisha na gillete yako swafii (I recommend maxx 3) vuta ngozi kisha...... songa mbele
Uzuri wa hii ni kwamba ukishafanya unaweza kukaa hata miezi mitatu bila kushave maana nywele zinachukua muda sana kuota ndio maana tunaipenda halafu ngozi haipati vipele wala ule weusi wa makwapani
 
Hii kitu inauma mkuu asikwambie mtu. kuna siku kuna mdada alikuwa anafanyiwa hii huku naangalia yaani alipopakwa na kuwekewa kitambaa, kitambaa kilipovutwa mpaka damu zilitoka kwenye vishimo vya vinyweleo. Mimi ndo nilikuwa nasubiri kwenye zamu nikasimama na kuondoka maana niliogopa kuona ile damu
Pole miss Zomboko Mimi mwenywe natumia Gillete na After shave tuu aisee ila ntaenda parlour mojawapo Ku shave kwa wax nijue ikoje duh
 
Nilifanyia saloon, ila sikurudia tenaaa.
Sasa nawaza kujifanyia mwenyewe si ndio balaa, hapana jamani.
Mwanzoni inauma sana badae yanapungua so jipe moyo utazoea tu mana inatunza sana ngozi..Shaver na viwembe ni majanga
 
Hii kitu inauma mkuu asikwambie mtu. kuna siku kuna mdada alikuwa anafanyiwa hii huku naangalia yaani alipopakwa na kuwekewa kitambaa, kitambaa kilipovutwa mpaka damu zilitoka kwenye vishimo vya vinyweleo. Mimi ndo nilikuwa nasubiri kwenye zamu nikasimama na kuondoka maana niliogopa kuona ile damu
Mhhh hadi damu hao basi wax ilikuwa ya moto sanaa..ama ana tatizo la ngozi,
 

Chukua Kikaangio, bandika jikoni moto usiwe mkali sana, weka sukari ya kutosha.
Anza kukoroga hadi sukari ianze kuyayuka.



Ikisha yeyuka vizuri chukua asali kidogo na ndimu huku ukiendelea kukoroga hadi ichemke vizuri.




Kama ukiona mchanganyiko ni mzito sana ongeza maji kidogo huku ukiendelea kukoroga.
Ikishachemka vizuri, ipua na uache ipoe katika temperature ya kawaida kwa muda wa lisaa 1.




Ikishapoa itakua tayari kutumia, kutunza weka katika container yako kisha weka kwenye fridge.



Jinsi ya kutunza ngozi yako baada ya kuwax:

  1. Hakikisha unapaka moisturizer baada ya kufanya wax.
  2. Unaweza pia ukachukua kitamba na kukilowesha kisha kuwa kama unakanda sehemu uliyowax ili kusikakamae.
  3. Epuka kwenda juani baada tu ya ku wax, au kama inakubidi kutoka hakikisha unapaka sunscreen.
  4. Usioge kwa maji ya moto baada ya kuwax, itaondoa mafuta yako mwilini yanayofanya ngozi kuwa laini.
  5. Mahali ulipopawax pakianza kuwasha na kuwa kwekundu paka talcum powder au kanda kwa barafu.
Hiyo haifai tahadhari kibao
 
Sijawah jaribu hii njia [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji12] [emoji2] ila yaonekana kutokana na maelezo si ya mchezo mchezo. Ushauri wangu kama unaona hali ni tete tafuta shaving cream nzuri hasa ya natural extracts (hasa zile ambazo hazitaleta darkening ya ngozi kutokana na kushave) kisha na gillete yako swafii (I recommend maxx 3) vuta ngozi kisha...... songa mbele
Shaving cream nzuri ni zipi?
 
Hii kitu inauma mkuu asikwambie mtu. kuna siku kuna mdada alikuwa anafanyiwa hii huku naangalia yaani alipopakwa na kuwekewa kitambaa, kitambaa kilipovutwa mpaka damu zilitoka kwenye vishimo vya vinyweleo. Mimi ndo nilikuwa nasubiri kwenye zamu nikasimama na kuondoka maana niliogopa kuona ile damu
Kwenye hizi saloon zetu wanafanya hii mambo,maeneo kama ya Arusha nimependa hayo maelezo yako nataka ndevu niwe natoa kwa style hio
 
Back
Top Bottom