Mahitaji
Strawberries nusu kilo
Sukar robo kilo
Limau kipande.
Namna ya kutaarisha....
Osha na katakata strawberries zako
Kamua limao kwenye kibakuli....
Weka sufuria jikon bila ya kuweka maji mimina strawberries,sukati ikifuatiwa na limao
Pika moto mdogo mdogo huku unakoroga ili visigandie.....
Pika kwa nusu saa hadi jam yako iwe nzito na inaganda.
Jam tayar kwa kuliwa
Strawberries nusu kilo
Sukar robo kilo
Limau kipande.
Namna ya kutaarisha....
Osha na katakata strawberries zako
Kamua limao kwenye kibakuli....
Weka sufuria jikon bila ya kuweka maji mimina strawberries,sukati ikifuatiwa na limao
Pika moto mdogo mdogo huku unakoroga ili visigandie.....
Pika kwa nusu saa hadi jam yako iwe nzito na inaganda.
Jam tayar kwa kuliwa